The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

Hii inanikumbusha vita ya Uganda maana yake mwana kijj unavyoriport!! Da! !! si mchezo,tuko nyuma yako
 
Ila huyu billionea ni noma.MKjj,plz hebu tunga hadithi ya Bilionea kutoka Ahera.


Ila mkjj,unatisha kufanya interview na mizuka.Kweli KLH news inatisha hadi kuzimu.


Btw huyu jamaa mbona sasa ankua na hasira na kila mtanzania kwani sisi tumemkosea nini? Yeye ndio anatakiwa awe in the humble mood maanake katuibia halafu analeta jeuri.

Ndio maana hata nhaonewi huruma na kuzushiwa kwake kifo
 
Kwanini asijibu ili uendeleze uvumi kuwa kafa ndio maana hajibu. Huwa hamjui mtakalo ndio shida ya wabongo. Sasa baada ya kusikia sauti yake umejua yu hai au bado una wasi wasi


Mhh,mkuu kwani una matatizo gani wewe? Unaongea kama vile uko nae sana kimawazo
 
Hapana Mkuu! Hauwezi kulinganisha hata siku moja hali iliyojiri Tanzania na ile iliyokuwa Afrika Kusini. Hatujawahi sisi kuwa na utawala dhalimu kama wa makaburu. Mandela angeweza kuamua kulipiza kisasi na wengi wetu tungemuelewa. Sijui kama unakumba lakini mapigano na mauaji baina ya wafuasi wa ANC na wale wa chama cha Chief Buthelezi yaliishaanza. Watu walikuwa wanuana ovyo kwenye hostels. Si hizi ngonjera zetu za kila siku, kule chuki na fujo viliishaanza. Ni yeye aliyeweza kuzima kwa kumkaribisha Buthelezi na kumfanya makamu wa rais ingawa ANC ilishinda uchaguzi kwa kishindo. Ilifika hata kuna wakati alisafiri na kumuachia Buthelezi nchi! Ni kiongozi gani wa kiafrika angeweza kufanya hivyo? Sisi hapa tunapata kigugumizi kukabili matatizo ya Zanziba ambako wote tunajua CUF wanakubalika na sehemu kubwa ya jamii? Makaburu waliishaanzisha kasehemu kao mpaka hapo Mandela alipowafuata kuongea na mjane wa nadhani Vorster! Hawa waliomfunga kwa miaka 27! Nani katika viongozi wetu angeweza kufanya hivyo? Nchi ilikuwa imegawanyika imewagawanyika katika michezo ( na kuna ushabiki gani unaoshinda wa kwenye michezo, pengine wa dini) akawaunganisha wakati wa mashindano ya dunia ya Rugby. Huyu bwana aliitwa kama shahidi (akiwa rais) mahakamani akaenda na kukubali kuapishwa kama raia mwingine. Huyu ndiye aliyeanzisha the Truth and Reconciliation Commission kujaribu ku'heal' jamii ya watu wake badala ya kukimbila kwenye visasi. Sasa hivi nchi nyingi zinaiga mfano huu. Na zaidi ya yote, baada ya term moja akaamua kuachia ngazi! Ana matatizo yake kama binadamu wengine lakini hatuwezi hata siku moja kumfananisha na hawa wa kwetu. Yeye na huyo mwengine ambaye hawa arm chair revolutionaries wana gall ya kumuita kibaraka, Archbishop Tutu, ni watu ambao mimi kama mwafrika wananihakikishia kuwa SIVYO TULIVYO.

Amandla!

Hata Nyerere ana mazuri na mabaya yake. Lakini nitajifunza mengi kwa Nyerere kuliko Mandela. Naona hamnielewi, i just prefer the other. Ni sawasawa na kuprefer mwanamke mwenye kitunguu, lakini haina maana aliyepgigwa pasi simpendi. Maana watu wengine ukiwapa mfano wa mwanamke ndio wanaelewa.

Hiyo mentality ya kibongo, peace first, ndio umasikini utatumaliza. Mandela alileta peace, yes, kwa masharti, now they are paying for it, with crime, people with no jobs, black people even dare to say it was better under apartheid cos they had guaranteed jobs (sounds absurd, but when people are desperate anything goes). Na ndio maana mpuuzi Zuma anashinda. Now, if that is not Mandela and crew's weaknesses ni nini?

Huyo huyo Mandela alikua hajiamini kuendeshwa na rubani mweusi, wakati huo huo anaenda kuomba misaada kwa viongozi weusi around africa. Kama alikuwa anapata hizo degree jela, hakujifunza kwamba weusi wanaweza kufanya vitu kama wazungu??

Would you rather be a vocal prisoner or a controlled free man? Well, kama Mandela, Tanzanians are controlled free men! Take that.

Naheshimu mapigano yake, lakini hayo mapigano hata sisi watanzania tumechangia!
 
Hivi kama contract kachemsha hivyo, waTanzania wanasubiri nini kuzibadilisha sasa? All you do is complain and complain, kama uchungu wa nchi upo, nini kinawazuia hayo mabadiliko?

Damn grown-ass man sounding like some pissy spoilt kid again. Only a moron could make such a shallow and corny statement! Has somebody ever told you that revocation of mining contracts etc with multinationals like Barrick could lead to potentially serious legal and economic ramifications that a dirt-poor country like Tanzania possibly would have a really tough time dealing with?
 
Hivi kama contract kachemsha hivyo, waTanzania wanasubiri nini kuzibadilisha sasa? All you do is complain and complain, kama uchungu wa nchi upo, nini kinawazuia hayo mabadiliko?

Unafikiri contracts ni sawa na nguo na unaweza kuzibadilisha kirahisi? Ndio maama inaitwa contract, ukishajiingiza humo kutoka ni very expensive, ndio maana tunaendelea kulipa mabilioni shauri ya hao wasomi wa Havard university, hata aliyesoma sheria kile chuo cha Iringa bado angeweza kutengeneza contracts za maana.
 
Damn grown-ass man sounding like some pissy spoilt kid again. Only a moron could make such a shallow and corny statement! Has somebody ever told you that revocation of mining contracts etc with multinationals like Barrick could lead to potentially serious legal and economic ramifications that a dirt-poor country like Tanzania possibly would have a really tough time dealing with?

Brilliant job Kokolo! Mayn, we truly must be f#cked! Bila mtutu, Watanzania will continue taking it up their arses for real. And thats no lie.

Under normal circumstances, with the garbage coming out of your mouth, I would prefer to ignore you.

But I note you suffer from selective quotation disorder;

FM just put a thread that Karamagi's contract is being terminated....You will say, yeah but he is Tanzanian. And thats why I say 'Tanzanians are controlled free men! Take that'. If people want change, change will happen.
 
Under normal circumstances, with the garbage coming out of your mouth, I would prefer to ignore you.

But I note you suffer from selective quotation disorder;

FM just put a thread that Karamagi's contract is being terminated....You will say, yeah but he is Tanzanian. And thats why I say 'Tanzanians are controlled free men! Take that'. If people want change, change will happen.

One fisadi, one bullet! And your big-headed, Harvard educated, thieving and scamming uncle Chengay deserves nothing less! Nyambaaf!!
 
One fisadi, one bullet! And your big-headed, Harvard educated, thieving and scamming uncle Chengay deserves nothing less! Nyambaaf!!

Mimi natoa arguments for debates sake. Sasa ukianza accusations na matusi, uwe tayari kutoa proof. With such an insult, i think I have grounds for asking the Admin/Moderator for your details as you are publicy slandering me by assuming I am related to Chenge.

Respect the technology and the freedom you have infront of you and it shall respect you!!
 
Kama logic ya kuwahukumu mafisadi ndiyo hii, basi pole kwa watanzania wote wenye logic yako.

MEANING WATANZANIA WOTE WENYE KUPIGA KELELE INCOME YA CHENGE HAWANA AKILI, WEWE NDIO MWENYE AKILI NA HIZO CHEAP STATISTICS WHICH ARITHIMETICALLY DONT MAKE LOGIC COME 30 YEARS, GO BACK TO SCHOOL.
 
Mimi natoa arguments for debates sake. Sasa ukianza accusations na matusi, uwe tayari kutoa proof. With such an insult, i think I have grounds for asking the Admin/Moderator for your details as you are publicy slandering me by assuming I am related to Chenge.

Respect the technology and the freedom you have infront of you and it shall respect you!!

What realistic and persuasive arguments have you provided so far other than peddling infantile fantasies and silly lies? What's clearly obvious here is that so-called "well-educated" people like you and your uncle Chengay think Tanzanians are all a bunch of illiterate fools that can be cheated and deceived at will anytime anywhere.

As for your claim concerning the Buzwagi contract being repealed, can you provide any reliable official source to back it up?
 
MEANING WATANZANIA WOTE WENYE KUPIGA KELELE INCOME YA CHENGE HAWANA AKILI, WEWE NDIO MWENYE AKILI NA HIZO CHEAP STATISTICS WHICH ARITHIMETICALLY DONT MAKE LOGIC COME 30 YEARS, GO BACK TO SCHOOL.

With good accounting and smart lawyers, they will make sense. Mmeshaambiwa mtu kaenda Finland kufanya cheap statistics which arithmetically dont make logic. Now who needs to go back to school?

Issue sio kupiga makelele kama kondoo nyuma ya kompyuta.
 
Mimi natoa arguments for debates sake. Sasa ukianza accusations na matusi, uwe tayari kutoa proof. With such an insult, i think I have grounds for asking the Admin/Moderator for your details as you are publicy slandering me by assuming I am related to Chenge.

Respect the technology and the freedom you have infront of you and it shall respect you!!

Nzoka, nakubali kuwa Nyama Hatari tangia kwenye post yake ya kwanza kwenye thread hii amekuwa VICIOUS & RECKLESS kwa maneno makali makali..... lakini nawe kutuambia kuwa tunafanya nini kubadilisha mikataba mingi ya Tz aliyo isimamia yeye , nako kunaonesha hali fulani hivi ya incitement......

Mimi nimependa hoja yako kwani ulitaka ku- conceptualize kitu ambacho unaona kitawafanya Wabongo wafikirie upande mwingine wa shillingi. Na kama ulivyosema kwenye post moja kumjibu FMES, wengi tumekuelewa lengo lako. Tatizo ni statement kama hiyo hapo juu, inayosema si kingine bali: Wabongo Mtajiju.... kwa kweli hata mimi imenikwaza sana kuona mtu kama wewe unaitoa hapa... anyway, ng'wanone.... inabidi upumzike sasa, jumamosi leo...

SteveD.
 
What realistic and persuasive arguments have you provided so far other than peddling infantile fantasies and silly lies? What's clearly obvious here is that so-called "well-educated" people like you and your uncle Chengay think Tanzanians are all a bunch of illiterate fools that can be cheated and deceived at will anytime anywhere.

As for your claim concerning the Buzwagi contract being repealed, can you provide any reliable official source to back it up?

At no point in this thread did i say I am well educated.

And I would like to kindly request you, infront of everyone here, that you retract your statement that Chenge is my uncle. By that, not only are you putting yourself in difficult position but JF too, as your words will rely on JF's collaboration and time wasting.

Nobody is talking about Buzwagi. Soma thread huko utaona mwenyewe.
 
Nzoka, nakubali kuwa Nyama Hatari tangia kwenye post yake ya kwanza kwenye thread hii amekuwa VICIOUS & RECKLESS kwa maneno makali makali..... lakini nawe kutuambia kuwa tunafanya nini kubadilisha mikataba mingi ya Tz aliyo isimamia yeye , nako kunaonesha hali fulani hivi ya incitement......

Mimi nimependa hoja yako kwani ulitaka ku- conceptualize kitu ambacho unaona kitawafanya Wabongo wafikirie upande mwingine wa shillingi. Na kama ulivyosema kwenye post moja kumjibu FMES, wengi tumekuelewa lengo lako. Tatizo ni statement kama hiyo hapo juu, inayosema si kingine bali: Wabongo Mtajiju.... kwa kweli hata mimi imenikwaza sana kuona mtu kama wewe unaitoa hapa... anyway, ng'wanone.... inabidi upumzike sasa, jumamosi leo...

SteveD.
Hahaaaa,

Nimekupata Ngosha, ila nasubiri Manure hapa na West Ham...
Kuna vitu vingine mtu unakuwa na sababu ya kudondosha, kama unawasiwasi nione chemba......
 
mie nakua nareflect mambo haya na ile hadithi ya marehem Chachage S. Chachage ya makuadi wa soko huria waliotaka kuiuza rufiji wakapambana na mamba na mizimu ya huko,,,ndio haya yanayotokea kwa kina chenge
 
At no point in this thread did i say I am well educated.

And I would like to kindly request you, infront of everyone here, that you retract your statement that Chenge is my uncle. By that, not only are you putting yourself in difficult position but JF too, as your words will rely on JF's collaboration and time wasting.

Nobody is talking about Buzwagi. Soma thread huko utaona mwenyewe.

Ok, to be completely honest you may not be related to Chenge but hey, why deny that Chengay is your uncle?

Moreover, was it not a few posts ago you gave the impression that it shouldn't be a big deal to do away with all dubious and exploitative investment contracts in Tanzania while specifically bringing up Buzwagi as a potential example? Now when cornered, you are all of a sudden invoking irrelevance and feigning disinterest. Just like the true "well-educated" house negro you probably are, you happen to place great faith in your ability to take everybody for a long ride, don't you?
 
Back
Top Bottom