Nani anayepeleka kesi mahakamami bila kuamini kuwa anayemtuhumu ni guilty?
Mona unaji-contradict hapa? Unajuaje kama wana madhambi? Wewe Mungu?
loh mbavu sina, siamini kama ni Andrew Chenge huyo, haaa!
Ningekuwa mshauri wa Chenge ningemuomba atulie, aandae utetezi wake au kukiri makosa. Inavyoonyesha sasa 'ameformat'.
"Hapa sheria lazima zitachukua mkondo wake na nguvu ya umma inaweza kuwa the last option... so be ware![/"
1)ndio mana nakuambia una jazba kafanye kazi acha kutupotosha hapa kama maisha yanakushinda usiweke visingizio(2) kuna theory moja inasema kuwa watu wengine(2) wakishindwa maisha au wakipata matatizo hawataki kuyakabili bali husingizia kua kama si fulani nisingekuwa hapa nilipo(3) Nadhani kama sikosei inaitwa "substitution theory"
Ama kweli watanzania wengine wa ajabu Keep on preaching siku ya siku ndio utajua ukweli. I dont think kama hata yeye anajua kuwa kuna kitu kama hiki kinaendelea katika mtandao. Waulize aliofanya nao kazi watakuambia lakini hata sisi hatuwezi kukaa kimya tukawangalia mkitoa hoja tusijibu kwani na sisi pia tunamjua kwa upande huo mzuri wa shiling wewe kaa na upande wako wa shilingi lakini usitufanye tusiandike kwa kisingizio kuwa atulie yeye atulie tu lakini wapambe tuko naye kama wewe ulivyo mpambe wa magazeti na tutaendelea kuchangia hoja mpaka kieleweke
Kweli hizi ni kelele za mfamaji?sawa mwananchi unayejiita wananchi lakini atakufa cha mungu kama wewe na kama unasubiri afungwe ngoja majibu ya SFO ndio yatatoa mwelekeo. Jazba unayo nyie ndio wale mnaodhani maisha yenu yamekuwa hivyo kwa ajili ya watu fulani. Gangamala kaka au dada katika kujitafutia maisha maana vijisenti vya huyu unayemwita fisadi hutavipata na wala havitakuongezea tija. zaidi zaidi utaishia kupiga kelele za mfa maji.
Huku ni kulewa kwa madaraka,Mie nimeshtushwa na majibu ya kihuni ya Mhe. Chenge,Na nilikuwa namtafuta kumuuliza alikuwa katika Khali ganii wakati akijibu,nadhani alikuwa ameshapiga maji kidogoMkuu Matiksa kuna shida gani ? Mbona unazuia watu kusema ? Hatikumwambia aibe pesa zetu bwana na kuingia mikataba ya ajabu .Kila lenye mwanzo lina mwisho na mwisho wa Chenge upo niamini .Wanaweza kumlinda CCM lakini wajue wanakali moto.
Si kweli kwamba Chenge hajui JF ni moto .Hata JK anakuwa sembuse Chenge .Jamani acheni watu wasema .Chenge nadhani kapata wehu kidogo maana hajui kesho itakuwaje .Si kawaida mtu mkubwa kama yeye kusema anatoka Ahela anaenda Tanzania .Si akili ya kawaida hii .
Mkuu Matiksa kuna shida gani ? Mbona unazuia watu kusema ? Hatikumwambia aibe pesa zetu bwana na kuingia mikataba ya ajabu .Kila lenye mwanzo lina mwisho na mwisho wa Chenge upo niamini .Wanaweza kumlinda CCM lakini wajue wanakali moto.
(1)sawa mwananchi unayejiita wananchi lakini atakufa cha mungu kama wewe na kama unasubiri afungwe ngoja majibu ya SFO ndio yatatoa mwelekeo. Jazba unayo (2)nyie ndio wale mnaodhani maisha yenu yamekuwa hivyo kwa ajili ya watu fulani. (3)Gangamala kaka au dada katika kujitafutia maisha maana vijisenti vya huyu unayemwita fisadi hutavipata na wala havitakuongezea tija. zaidi zaidi utaishia kupiga kelele za mfa maji.
Ama kweli watanzania wengine wa ajabu Keep on preaching siku ya siku ndio utajua ukweli. I dont think kama hata yeye anajua kuwa kuna kitu kama hiki kinaendelea katika mtandao. Waulize aliofanya nao kazi watakuambia lakini hata sisi hatuwezi kukaa kimya tukawangalia mkitoa hoja tusijibu kwani na sisi pia tunamjua kwa upande huo mzuri wa shiling wewe kaa na upande wako wa shilingi lakini usitufanye tusiandike kwa kisingizio kuwa atulie yeye atulie tu lakini wapambe tuko naye kama wewe ulivyo mpambe wa magazeti na tutaendelea kuchangia hoja mpaka kieleweke
... Nimesema atulie kwamba ASIROPOKE, kwa mfano amesema 'vijisenti' baada ya siku mbili akaomba msamaha. Katika mahojiano na Mzee mwanakijiji anaonyesha kila dalili za mtu asikuwa na utulivu rohoni, ubongoni na ulimini.Inakuweje mtu mzima kama Chenge asema anatoka ahera kwenda Tanzania.
jamani mlioko US hebu tupatieni appearance na reputation ya wakili wa chenge ili tujaribu kuestmate anamlipa bei gani
mkuu SIKIZA HAKUNA VITU HIVYO MAFYA WALIPETA SANA 1800 HADI DAADA YA VITA YA KWANZA SASA HIVI HAWAFANYI WATAKALO KAMA AKINA DON COREON WALIVYOKUWAWEKA POLITICIAN AND LAWYERS KENYE MIFUKO TZ MAMBO YAMEBADILIKA NYERERE TU ALIENJOY U- CHIF BUT NOT JK NA HAWA WENGINE HAKUNA TENE BISSNES AS USUALLY SI UTAONA MKUU.PIA TARATIBU KUHUSU BINTI BABA FISADI SI MTOTO,ACHANA NAYE SISI TU DEAL NA HUYU 50CENT.Most probably watasubiri wananchi wasahau then the man atapeta kama kawa.. au kesi kama yakina Kiula which will take 10 years plus appeal etc.. end of the day mkulima loses.. Thats what it is.. watoto wa Chenge wataendelea kusoma Waterford na UK private schools.. yule wakike anamalizia masters sasa so its all good..and about the BILLIONS 4get it.
(1)Kitu ambacho nimeki-note kwenye majibu ya Chenge siyo kwamba niyakibri, isipokuwa kule kwenye asili yake usukumani hasa maeneo anayotokea wanapenda mzaha sana! Lakini anakuwa hafikirii kuwa anazungumza na watu serious. Mfano. (2)Cheyo wa UDP nitawajazeni "mapesa"...hanatofauti na "vijisenti"
(3)Kwa upande wa matumizi ya lugha tumsamehe, Lakini Pesa zetu arudishe..hapo hakuna msamaha!
Kila taabu ya mtanzania ni kwa sababu ya ufisadi? come on give me a break. Mtu akieleza jambo positive kuhusu chenge anakua adui yako. Endelea basi kama maneno yako yatakufanya uboroshe maisha yako Nawaonea huruma Viongozi wa Afrika mna kazi. Kwaheri ndugu yangu kaa na chuki yako sisi wacha tufanye kazi ya kujikwamua kimaisha. Nenda kwa mengi akakufundishe namna ya kujisaidia hasa katika kuwekeza hata hako kadogo uliko nako. wenzako tulifaidi ushauri wake tuko mbali1)Are you sure ni mimi mwenyewe ninayekerwa na ufisadi? So far ni Chenge na Mh rais pamoja na wewe mnaofikiri wananchi ni delusional!
2)Kuna waliopoteza maisha yao kwasababu ya ufisadi so be carefull with your statement!
Kuna ambao hawana dawa wala kazi wala chakula!Mimi naweza kujihesabu kuwa nimeshafikia self actualization kwenye maslow hierachy!
3)Kugangamala nafanya hivyo ila naona huruma napotembea mitaani na kuona taabu ambayo mtanzania anayo! Na kama ningekuwa na hivyo vijesenti nilivyowaibia..Ningeweka ubinadamu na kuwasadia kabla hawajafa!
Lack of empathy will hunt you,Chenge and the rest of fisadis!
Time will come and we will be victorious!