The Radar Scandal: Investigation & Progress

The Radar Scandal: Investigation & Progress

hata siku moja. unlike you, I value my education, I value world issues. So far you've proved your ignorance and foolishness. Endelea na lugha yako yakitaifa sijuwi itakufikisha wapi na ulimwengu hu?

Mhh,

You can always get back to "internationa language" if you can!
 
Kisomo unachosema ni hiki chako? KUna watu wamesoma na watoto wao wanasoma na so far you are not one of them.


Kusoma pia sio kuelimika. Na wewe una kachuki wenzako wataendelea kusoma tu na wewe utachukia lakini hutafanya kitu utabaki kulalamika mpaka mwisho. Wewe umesoma wapi? Wasomi na wewe umo kweli angalau wengine bado wako shule na wewe?
 
Hapa amekosekena Fausta/Hollo....
kweli weekend imeanza.
 

Sikutaka kuingia humu lakini kwa hili imenibidi! Unamlinganisha Chenge na Madiba? Inaelekea wewe kipimo chako ni fedha, basi niambie Bill Gates,Steve Jobs, Ted Turner,Carlos Slim n.k. wana madigrii mangapi na kutoka wapi? Hata huyo unayemtetea atakuona punguani akisikia unamlinganisha na Madiba!

With all due respect, hiyo font of knowledge aliyoipata kama Attorney General Tanzania ni ipi ambayo itamfanya Mheshimiwa awe hot cake katika the lecture circuit? Mchango wake katika fani yake hapa DUNIANI ni upi?

Wakati mwingine naona JF walifanya makosa kutuvisha hivi vilemba vya ukoka vya SENIOR EXPERT MEMBER maana wengine kweli tunaanza kuamini kuwa kweli ni wakali wakati hamna kitu!

With all due respect,
Sikubaliani nawe. Mandela is overrated.
Nina uhakika mimi kama natakakutanua akili yangu, nitajifunza zaidi kutoka kwa mtu kama Chenge (in terms of knowledge, weka pembeni 'ufisadi' anaohukumiwa bila 'proof') kuliko Mandela. Nitakachojifunza kwa Mandela ni wisdom tu ambayo nimeweza kupata kwa marehemu babu yangu!! Kukaa ndani miaka 27 messes up ur head. Hii inaweza kuwa argument nyingine. Its one thing giving someone respect for what they achieved in their sufferings.......Yaani hata mara mia ningemsikiliza Steve Biko....I like action. Thats me.
 
Mhh,

You can always get back to "internationa language" if you can!

kweli umeshindwa maana hamna kitu ulichoweza kujibu. Je chenge alikuwa civil servant tu? je alikuuliwa wangapi? Je umecheki na harvard alumni kama chenge alisoma pale au unachonga tu? Je hayo mabilioni unauhakika gani anayo?
 
umeshindiwa kujibu alikuulia wangapi? aisee kweli huyu mzee amekuchokonoa


Hapa nadahani huyo unayemjibu ndio wale ndugu zetu ambao walidhani sukuma ni ya kina fulani weweeeee karne ile imeisha hapa ni kuingia kwa kipaji sio jina la ukoo wala daftari takatifu la hao wanaojiita kina fulani
 
Wasukuma ndugu zangu tuwapige vita hao jamaa zetu ambao wanataka kutudidimiza kwa visingizio kuwa wao ndio wakubwa kuliko wasukuma wote na kuwa chenge hapaswwi kuingia katika kitabu cha wasukuma hata kama kasoma
 
kweli umeshindwa maana hamna kitu ulichoweza kujibu. Je chenge alikuwa civil servant tu? je alikuuliwa wangapi? Je umecheki na harvard alumni kama chenge alisoma pale au unachonga tu? Je hayo mabilioni unauhakika gani anayo?

Haya yote ni maswali uliyoulizwa hapa!
So kama unahitaji siku zaidi kumaliza hii homework unaweza kuomba tu ukapewa!

Next.......
 
Hapa nadahani huyo unayemjibu ndio wale ndugu zetu ambao walidhani sukuma ni ya kina fulani weweeeee karne ile imeisha hapa ni kuingia kwa kipaji sio jina la ukoo wala daftari takatifu la hao wanaojiita kina fulani

Naona hii inakutafsiri wewe zaidi!
 
FM sikia mkuu.
Mimi niliyotoa ni logic kwamba hiyo pesa inaweza kutengenezeka...

So on that note, I am happy to be different unless people prove otherwise...

Binafsi nakupongeza kwa kidiriki kutofautiana. Umekuwa kichochezi kama moto wa Bunsen Burner kwenye maabara ya mawazo. Zidumu fikra zako huria. Kwa wale walio kuita dunce, huhitaji kuambiwa pole maana shukuru hukukatwa kichwa kama Baba wa Sayansi ya Utafiti G.Galilei alivyo nusurika, akahukumiwa kufungwa maisha, kwa mawazo yake ya kudiriki diriki. Madai yake, jua halizunguki dunia. Ya kwako, chambueni hii logic yangu, na ukawa tayari kubadilika kama wakiweza kukuonyesha vinginevyo. Hata mitume hawakuongea habari hizo. Ni wana Sayansi ndio wanatumia hiyo lugha. Heshima mbele mkuu!

Hata hivyo nadhani umeleta fallacy isiyo kubali vipodozi ukaivalisha baibui ya logic. Umesemema alicho takiwa kufanya Chenge ni X, apate hela za kuwekeza ndani ya kipindi Y, zizae kiasi Z. Huo mlolongo umeudhihirisha kwa mahesabu ya kihasibu, (au yanayo fanana na ya kihasibu) kwa hiyo hushangai hayo matokeo Z. Lakini wajua fika jambo X halikuwa na uwezekano wa kutokea, na kwamba mjadala sio huo mlolongo bali ni proposition X. Pasipo ya X yanayofata yote ni nadharia.

Wajua kwamba ni vigumu kwa Chenge kuingia kwenye Lecture Circuits za ugenini kwa sababu utaalam wake ni irrelevant huko. Kama mtaalam wa sheria za Bongo itakuwa vigumu kupata demand nje. Kumbuka Chenge hana JD ya US, bali ni LLM, ambayo kwa kweli hata hawaihesabu kama ni shahada ya Sheria. Na kama akiongea kama Attorney General, huo ukuu ameupata miaka ya tisini. Kwa hiyo hata huo mlolongo wa logic za kihasibu, (au zizofanana na za kihasibu) nao unaanza kuingia doa katika argument Y, au muda wa hayo malimbikizo.

Taifa linajiuliza amezipata pata vipi, hatujasema hazipatikaniki. Ni fallacy kwa sababu ni nadharia ambayo haijibu swali lakini umeileta kama logic inayo weza kujibu swali. Tunataka tuone daftari la kurekodi mali.

Ni kweli hakuwa na mzigo wa kisheria wa kuthibitisha manake sisi ndio tumemshuku, lakini nadhani alikuwa na mzigo wa Kisiasa na nadhani umeona alivyo utua bwana Nzokanhyilu, ewe mwenye mawazo ya kudiriki, au niruhusu niseme ya kufikirika bila uwezekano wa kiutekelezaji. Aksante!
 
Haya yote ni maswali uliyoulizwa hapa!
So kama unahitaji siku zaidi kumaliza hii homework unaweza kuomba tu ukapewa!

Next.......

chenge kweli kakuweza. huna lakujibu maana huna ushahidi wowote zaidi ya longolongo, tumia daftari vema dada achana na upumbavu wa dunia
 
hata siku moja. unlike you, I value my education, I value world issues. So far you've proved your ignorance and foolishness. Endelea na lugha yako yakitaifa sijuwi itakufikisha wapi na ulimwengu hu?
....Zeenam, hapa sina uhakika napo ndugu..... wewe haya; utapata wagomvi wengi kwa maneno kama haya mwenzangu... pls watch ya emotions, they ain't advisable artillery in a debate...
 
yaani angesinzia kidogo tu ningemchomekea "vijisenti" vyake vya safari toka Ahera madukani. Well kuna Hadithi kule kwenye "Burudani" kwa wapenzi wa hadithi za Kiswahili.
 
....Zeenam, hapa sina uhakika napo ndugu..... wewe haya; utapata wagomvi wengi kwa maneno kama haya mwenzangu... pls watch ya emotions, they ain't advisable artillery in a debate...

SteveD,

Sidhani kama anajua hili! ngoja niendelee kumchezesha kama katuni huku nikipanga pa kwenda hii weekend!
 
..... kwa hiyo utatumia mbinu zote including elimu yako kum-squeeze mtu asiyeelimika/masikini hadi abadilike rangi na kuwa wa manjano na adondoke kama bua la mhindi lililo kavu?!........ Wakoloni ndivyo walivyotufanyia hivi, kwa maandishi yako nasi tuamue kufanyiziana sisi kwa sisi na siyo kuwafanyizia wao....duuuuh.... ng'wanone, ngoja tu nikuache na dhana yako ya ushing'weng'we/shirikale hiyo!! lol

Hujanielewa, nadhani umebimbelwa na manumbo na mabele. Nadhani FM alinielewa a few posts back.

Ninachosema, waTanzania wanaangalia SFO watafanya nini....Ball itarudi kwa serikali, regardless guilty or not......case closed
Ditto.......
Mahalu.......
Balali........
etc etc, the list goes on. Kama kweli kinawauma watanzania, wanafanya nini kujikwamua?
 
Back
Top Bottom