The Interview: mshana Jr.

The Interview: mshana Jr.

Mshana Jr nafuatilia sana posts zako hususani ile ya Budha college, mengi unayoongelea inaonyesha yanatokana na experience either ya kazi au mapitio, naomba nikuulize yafuatayo 1.Nini imani yako ktk ukristo (umeokoka?)
2.Nini shughuli yako Kuu kwa sasa inayokufanya uishi mjini.
3.Unaonaje maandishi yako /elimu ukaiweka kwenye vitabu?
Mkuu nami swali langu ni
Kuna somo la machale takutag
 
Mshana nataka unifundishe namna ya kuwaroga meridianbet wanirudishie pesa zangu pls. Mpaka nimelia kama mtoto.
 
Mkuu ,kuna watu wanalalamika kuwa kuna nguvu zinawakaba usiku yaani mtu anajikuta amegandamizwa hata kugeuka hawezi na sauti haitoki ,je hizi nguvu zitokea wapi na ni zipi njia za kuziepuka?
 
Mungu mmoja katika utatu mtakatifu
Mkuu,hapo ndo unapo waaancha wengi njia pandaa,maana kwa jinsi uelewa wako wa haya mambo wengi wanashangaaa unaposema una mwamini mungu mmoja katika nafsi tatu.pamoja sana mkuu.
 
Back
Top Bottom