The Interview: mshana Jr.

The Interview: mshana Jr.

Mh! We Mshana ni shemeji yangu kabisa kwa kuwa nimeoa kwa Washana, ila wa kule Gonja milimani, huko Lushoto mh! Anyway, issue yangu kubwa hapa ni hizo imani zenu za 'kichawi', kama ni kweli zipo hivyo, si tungekuwa mbali sana ki-teknolojia na kimaendeleo kwa ujumla na kuwaacha 'Wadhungu' mbali sana? Nihakikishie kuwa hii dhana ya uchawi au 'black magic' kama waitavyo Wazungu sio imani au mila na desturi zisizo na outputs zozote ambazo zaweza onekana kwa macho ya kawaida!
 
Mh! We Mshana ni shemeji yangu kabisa kwa kuwa nimeoa kwa Washana, ila wa kule Gonja milimani, huko Lushoto mh! Anyway, issue yangu kubwa hapa ni hizo imani zenu za 'kichawi', kama ni kweli zipo hivyo, si tungekuwa mbali sana ki-teknolojia na kimaendeleo kwa ujumla na kuwaacha 'Wadhungu' mbali sana? Nihakikishie kuwa hii dhana ya uchawi au 'black magic' kama waitavyo Wazungu sio imani au mila na desturi zisizo na outputs zozote ambazo zaweza onekana kwa macho ya kawaida!
Sawa shemeji uchawi ni dhana ya dunia nzima na sio huku kwetu tu huko kwao kuna mpaka vyuo kabisa
 
Mshana Jr ni uchawi wa aina gani ambao wanatumia hao wazungu kuwashinda waafrika hususani wale wanaotafuta Vito vilivyofukiwa enzi za ukoloni
Hizo story za vito kwa sehemu kubwa ni changa la macho hebu ngoja tutakuja na mada yake
 
Mshana Jr ni uchawi wa aina gani ambao wanatumia hao wazungu kuwashinda waafrika hususani wale wanaotafuta Vito vilivyofukiwa enzi za ukoloni
In addition to that, uchawi gani wanatumia hao wazungu kiasi kuwa tunaona ndege zao zikipaa angani na kuzipanda pia wakati 'nyungo' zetu hazionekani wala haziko accessible kuzitumia?
 
Mkuu ,mchawi anaweza kutumia chakula,kinywaji au kukudhuru?je,mchawi anaweza kutumia macho take kukudhuru?mfano wakati unakula au mama akiwa ananyonyesha mtoto.
 
Kwa mimi ninayeamini uchawi haupo,je unaweza kutafuta mchawi aniloge ili niamini uchawi upo?
 
Mkuu ,mchawi anaweza kutumia chakula,kinywaji au kukudhuru?je,mchawi anaweza kutumia macho take kukudhuru?mfano wakati unakula au mama akiwa ananyonyesha mtoto.
Hakuna uchawi mbaya kama macho ya mtu, watu wa Tanga wana hii tech ya zongo ni uchawi unaokaa machoni
Mchawi wa kawaida anaweza kukudhuru tu kwa kukuwekea kitu kwenye chakula ama kinywaji, wanaotumia wireless ni level ya juu Sana
 
Kwa mimi ninayeamini uchawi haupo,je unaweza kutafuta mchawi aniloge ili niamini uchawi upo?
Hapana siwezi. Kila kitu kina mifumo na taratibu zake
BTW mtu atakayeniambia haamini katika uchawi nikamuani ni yule tu asiyetambua uwepo wa Mungu ama miungu
 
Kutafuna vitunguu saumu na kuweka ndimu chini ya mto wakati wa kulala hivyo vitu vilivyojificha ambavyo ulisema vitaonekana je ni kwa ndoto au live
 
Back
Top Bottom