Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,349
- 8,081
Uliza mkuu
!
!
Swali langu kwa kiingereza ndio litakuwa na maana ninayokusudia, nalo ni hili. WHAT IT TAKES TO BE ONE OF THE BEST WITCHES OF ALL TIMES.
Uliza mkuu
Kwako mshana, nina maswali kadhaa hapa.
1. Ni kitu gani haswa unajutia maishani.?
2. Elimu yako ya mambo ya kiroho imekusaidiaje wewe binafsi na watu wanaokuzunguka.?
3. Je ushawahi kupata woga.? Ilikuwa ni wakati gani na nini kilipelekea wewe kuogopa.?
4. Haya unayoshare nasi jukwaani, je familia yako inajua kuwa unajua.? Wanakuchukuliaje juu ya hilo.?
5. Umeshawahi kuona visivyooneka kwa macho ya kawaida.? Vipoje.?
6. Nakumbuka katika thread mojawapo inayozungumzia budhist college, ulsema kuwa ushawahi shuhudia kafara ya mtu toka kwa waabudu shetani, na ulipewa offer ya kujiunga nao. Je ulifikia nao wapi.?
Tuanze na hayo kisha nitarejea na mengine ninayohitaji kujua toka kwako.
Ni sawa na kutaka kugeuza sumu iwe tiba ama usiku uwe mchana! Dhima ya uchawi ni kuharibu si kujengaKipi kinachowafanya wachawi wasiutumie uchawi kwa faida ya wengi? Shughuli zao nyingi ni za siri na za kafara za kuteketeza?
Tafuta hii post no 93OK asante sorry nimejibu kwa ufupi
Aisee mshana sijaona majibu ya hii post.
Kaka Mshana Jr,vp ile safari ya mafia ulirudi na mafanikio kwa kiwango gani?lini tena utaandaa safari ya kwenda huko maana ilinivutia sana, natamani kwenda kuonana na yule Rasta,anipatie mautundu ya baharini,yan ni kruz kwa ile boti yake.
siendi kwa boat tena
Ule si uchawi ni mazingaombwe na viini macho na wengi huingizwa mkenge kuwa ni uchawiAsante nitautafuta siku moja.
Kuna watu hatujawahi kushuhudia uchawi na huwa hatuamini kama upo. Lakini hapa mjini kuna maonyesho ya hawa watu wa viini macho. Unakuta mtu amejipiga panga limemea kwenye kichwa kabisa na unaliona.
Wengine wanajivunja miguu na unaona kwa macho yako.
Haya mambo yanafanywaje hadi sisi tunayaona hivyo? Au huwa wanatuloga? Wanafanyafanyaje
Weka swali basi mkuu
KaribuNinamaswali kadhaa
Kuna somo la machale takutagHabari Mshana. Karibia mwezi sasa nikiwa namfikiria mtu napokea simu yake. Inanitokea mara nyingi mpaka naanza kujiuliza ni kama ni coincidence. Naweza kumfikira mtu fulani ndani ya sekunde 4 hivi napokea simu yake. Hii imekaaje? Ina ubaya au kuna kitu inaweza kunisaidia?
nami nahitaji kujua mkuu kusema ukweli nikiwa nawaza aidha kutaka kumpigia mtu au kuhisi kuwa tulikubaliana kuongea naye au kuhisi kuwa mbona huyu mtu yupo kimya haipiti sekunde nitaona akipiga simu...imeshanitokea mara nyingi sanaKuna somo la machale takutag