The Interview: mshana Jr.

The Interview: mshana Jr.

Naomba kuuliza maostadhi wanao kusomea dua kukunga'risha nyota ulichafuliwa na kukupa dawa ya kuoga kujisafisha na kuchoma naye ni mganga au uchaiwi au ni dua tu
Kuna nguvu za kiroho na giza zinafanya kazi kwa kisingizio cha mengine
 
Mfupa wa nguruwe chumvi nk wanasema km mtoto halali usiku tuviweke key sehemu au tuzungushie nyumba hii imekaaje? Kuna uhusiano gani kati ya kuweweseka kwa mtoto na chumvi na mifupa ya nguruwe? Au vituu swaumu
 
Mshana tunafahamu kwamba Mwenyezi Mungu ameandaa maisha ya kila mtu hapa duniani na hatma yake. Eg: Utakuwa mtu flani, utamiliki hiki au kile n.k.

Sasa wachawi kwa mfano wanaposema wanakuharibia (kukufunga ) ili usifanikiwe , jambo hili laweza kudumu mpaka mwisho? Kama ndiyo, je? Maana yake ni kwamba wachawi au nguvu za Giza zinaweza kuzuia mpango wa Mungu kwa MTU?

Kama jibu ni hapana,je? Ni kwa muda gani vifungo hivi huweza kumwacha MTU?

Asante
 
Back
Top Bottom