Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,594
- 2,717
Huwezi kuacha kumlaumu rais kwenye failure ya Tbc kwani ni kweli ndie anaechangia kufanya mambo yawe mabaya zaidi, hata ukimuweka kiongozi gani kuisimamia Tbc haitaweza kujiboresha chini ya rais huyu kwa sababu yeye hataki kuona watu wengine wanasifiwa isipokuwa yeye tu na ccm yake, sasa haya makosa makubwa ya rais kwani anachokitaka ndicho kinachoidhoofisha tbc, Anthony Dialo alijaribu kuwapa Uhuru na Nafasi kubwa wapinzani kwenye kituo chake cha StarTV muulize alichofanyiwa na ccmHapo naomba kutofautiana na wewe. Kwa Rais aliepo madarakani swala ni kujenga hoja baada ya kujitathmini. Taasisi kama TBC imezeeka kimuundo na kimfumo. Kwa kutizama tu vipindi vyao unajua jinsi wanavyoplan. In incremental. Ya mwaka ujao ni ya mwaka jana badilisha hapa na pale ...maisha yasonge. TBC inahitaji total overthaul. Unapotafuta mkuu wa taasisi na vitengo unatafuta mtu mwenye vision na uwezo wa kusimamia vision. Nani asieikumbuka National Housing ilivyobadilika baada ya kupata viongozi sahihi? CRDB Je, nk. Taasisi zimekuwa tamu mpaka watu wameanza kupigana vikumbo kwa fitna.
Tubadili mbinu jinsi ya kutafuta CEOs na waachwe watekeleze vision zao. Political interference iwe pia tamed.
Utamlaumu Rais kama kweli anaingilia kazi nzuri. Lakini kama kazi ni mbaya unamtegemea akae kimya?
Tuwasaidie TBC kwa kuwaeleza njia na mbinu sahihi za kupitia watoke hapo walipo maana kweli wana hali mbaya.
Its too sad to see our cash cow being mismanaged.
Ng'ombe huyo alipaswa kutoa lita 20 lakini anayoa lita 5 japo anakula majani yaleyale.
Rahisi sana, Ingawa mimi nina Startimes kuna sehemu ya ku delete channel, sijui huko kwenu Dstv, nadhani kuna hiyo OptionHivi naweza kuuondoa huo uchafu kwenye dstv yangu wakuu, nielekezeni tafadhali
Sasa wewe unachagua aina ya ushauri ?, namba 1 & 2 unaona sio ushauri ?, tangu lini mgonjwa aka chagua/bagua dawa ?, au tangu lini Serious Jobless aka chagua/bagua kazi ?Asante mkuu. Angalau wewe umetoa ushauri elekezi kuanzia namba 3 na kuendelea. Hiki ndicho nilichokilenga. Tutaje ideas kama hivyo. Asante.
Ili TBC ibadilike lazima watangazaji wake waache ushamba na kulamba miguu wanasiasa wa chama tawala.Ndugu WanaJF,
Kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi na hata hapa JF kuhusiana na changamoto ya vipindi vya Televisheni ya Taifa (TBC1). Malalamiko hayo yameegemea zaidi katika eneo la ubora wa vipindi na ubunifu.
Kwa bahati nzuri, Mkurugenzi pamoja na Watendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ni wadau wakubwa wa JamiiForums na huwa wanafuatilia taarifa na mijadala mbalimbali inayoendelea hapa. Hivyo tukiitumia vyema nafasi hii, tutawasaidia kuboresha maeneo ambayo yanatakiwa kurekebishwa kwa haraka.
Naomba tutumie uzi huu kutoa maoni, ushauri na mapendekezo kuhusu aina ya vipindi na ubunifu ambao ukitumiwa utasaidia kuifanya televisheni hii ya taifa kuvutia kutazamwa na kufurahiwa.
Tumeshalalamika sana. Sasa ni wakati wa kuchukua hatua na kutaja suluhu kwa mifano ili kuimaliza changamoto hii kabisa.
Karibuni sana.
Nilikuwa na miaka kadhaa sijaiangalia channel ya TBC, hivi majuzi baada ya kuwa nimefunga Dish la starTimes nilishangaa kukuta bado ile sehemu ya taarifa ya habri za biashara ukitazama matamshi ya mtangazaji yanapishana na sauti inayotoka kwenye TV, hata hili nalo limewashinda kulirekebisha !!, are you serious na soko ?Tuachane na kwenye siasa kidogo. Hayo yameshasikika vya kutosha sasa naamini yatafanyiwa kazi.
Hakuna mawazo mbadala nje ya hayo ya kisiasa ambayo TBC wanatakiwa kuyafanyia kazi?
Jina nalo ni tatizo? Unashauri iitwe jina gani?
Karibu.
Huku hamna mkuu, huku kuna kuiblock kwa mda tuu, bt mm nataka kuitupa jalalani kabisaRahisi sana, Ingawa mimi nina Startimes kuna sehemu ya ku delete channel, sijui huko kwenu Dstv, nadhani kuna hiyo Option
Jamani muwe na huruma hata kidogo, huyo Grace sio mzee kiasi mnataka afukuzwe kazi, (wanaomfahamu vizuri watuambie umri wake) huyo ni unene tu umemzidia mpaka anashindwa kuongea haraka haraka. chukulia kama ni dada yako utafurahi akifukuzwa kazi ?, tatizo ni Tbc kujipachika Ukada wa ccm, wapo watangazaji DW, Aljazeera, BBC na CNN ni watu wazima lakini wako fit sana,Pia ajirini watangazaji warembo wanaovutia jifunzeni hata kwa citizen TV watangazaji wao walivo. Tatizo TBC mna mazoea mno. Ikiwezekana TBC iajiri CEO kutoka nje ya nchi mwenye uzoefu wa mambo ya habari.
Na hao kina grace kingalame kwanini wasipumzike kutangaza yani mvuto zero kabisa
Jamani muwe na huruma hata kidogo, huyo Grace sio mzee kiasi mnataka afukuzwe kazi, (wanaomfahamu vizuri watuambie umri wake) huyo ni unene tu umemzidia mpaka anashindwa kuongea haraka haraka. chukulia kama ni dada yako utafurahi akifukuzwa kazi ?, tatizo ni Tbc kujipachika Ukada wa ccm, wapo watangazaji DW, Aljazeera, BBC na CNN ni watu wazima lakini wako fit sana,
Kumbuka nae alikuwa kipotable wakati wanaanza kazi na yule Ganzel, tatizo wanalipwa mahela bila kutoka jasho.Hahaaaaa sio afukuzwe kazi hata akiwa back stage hamna tatizo, kanenepa sana ka kiboko had Ana shindwa kupumua vzuri aanze mazoezi fani nyingine zinahtaji watu presentable bwana. Sasa TBC sijui wanatumia kigezo cha ukada kuajiriwa.
Kumbuka nae alikuwa kipotable wakati wanaanza kazi na yule Ganzel, tatizo wanalipwa mahela bila kutoka jasho.
Usitulettee mambo ya Lumumba hapa, Jiography ya Nchi hii unajifunza shuleni au maktaba, au unaenda Live mwenyeweBinafsi sina ugomvi na vipindi vingi vya TBC naona viko poa na vimenifanya nielewe mambo mengi ambayo serikali inafanya na hili ndo hasa tv ya taifa iinapaswa kufanya. Mfano wa vipindi nhivyo ni Tunatekeleza, na ziara za viongozi sehemu mbalimbali kiukweli nawapongeza maana nimeijua hii nchi jinsi ilivyo kiasi flani kupitia ziara zinazorushwa mubashara na TBC.
Tatizo la TBC ni colour yao sio nzuri kabisa na sauti pia. Kuhusu watangazaji naona wako poa ila namkubali sana Mwanadada Flourence Mahundi hichi kichwa kipo serious sana na anajua kuitendea haki sauti yake ya kipekee kabisa japo siku hizi simuoni sana.
Television Bora ya CCMEti TBC ndio kitu gani wakuu naomba kufahamishwa
Hahaaaaa sio afukuzwe kazi hata akiwa back stage hamna tatizo, kanenepa sana ka kiboko had Ana shindwa kupumua vzuri aanze mazoezi fani nyingine zinahtaji watu presentable bwana. Sasa TBC sijui wanatumia kigezo cha ukada kuajiriwa.
Mimi nilidhani nimeona vibaya, siku moja nikaona mtu kama Sam Mahela, kumbe ni kweli yuko tbc ?, Nafikiri wote mnaona jinsi alivyofubaa, sijui kuna nini pale ?!, yaweza kuwa Spirit ya CCm, nani alitegemea atapoa hivyo Sam tuliyemjua wa ITVI agree with you kutafta fursa ila naye ndo kanywea sana makeke yote kwishney ka kanyweshea mvua uchangamfu wote kwishney, sio yeye tu Watangazaji wote wako hivo sasa sijui ndo mitambo inawafubaisha hata sielewi.
Mimi nilidhani nimeona vibaya, siku moja nikaona mtu kama Sam Mahela, kumbe ni kweli yuko tbc ?, Nafikiri wote mnaona jinsi alivyofubaa, sijui kuna nini pale ?!, yaweza kuwa Spirit ya CCm, nani alitegemea atapoa hivyo Sam tuliyemjua wa ITV
NAUNGA MKONOAcheni kutumika kisiasa! Tunashindwa kuwelewa kama nyie ni Television ya Taifa au tawi la chama?
Ubora wa picha ni sifuri kabisa!
Nchi hii imejaa vijana zaidi ya 70% nyie asilimia 80 ya vipindi vyenu ni vya kizee!
Mnashindwa hata kuonesha mechi ya Taifa stars mmekalia ziara za viongozi wa chama wakitembelea matawi sijui kigoma gani huko!
Mmetangaza kufunga mitambo mipya ya kisasa na picha ndo kabisa zimerudi zile za kiwango cha chini kabisa!
Subirini na wengine wanakuja na mjiandae kwa POVU ZAIDI
MAVI KWELI WEWEBinafsi sina ugomvi na vipindi vingi vya TBC naona viko poa na vimenifanya nielewe mambo mengi ambayo serikali inafanya na hili ndo hasa tv ya taifa iinapaswa kufanya. Mfano wa vipindi nhivyo ni Tunatekeleza, na ziara za viongozi sehemu mbalimbali kiukweli nawapongeza maana nimeijua hii nchi jinsi ilivyo kiasi flani kupitia ziara zinazorushwa mubashara na TBC.
Tatizo la TBC ni colour yao sio nzuri kabisa na sauti pia. Kuhusu watangazaji naona wako poa ila namkubali sana Mwanadada Flourence Mahundi hichi kichwa kipo serious sana na anajua kuitendea haki sauti yake ya kipekee kabisa japo siku hizi simuoni sana.