Mzee Wa Republican
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 1,663
- 840
Yaani jamaa amegusa kwenyewe. Ninategemea kuiona TBC ikiwa na vipindi dizaini ya Hardtalk, Leaders with Laqua, Empire (Al Jazeera), The Heat (CGTN) na dialogues kadhaa zinazoongozwa na watu wenye kuuliza maswali magumu na sio mepesi mepesi. Naamini huwa wanaziona hizi channel lakini mpaka inafika wakati unajiuliza kama wanajifunza chochote kutoka kwa wenzao waliowatangulia kama hawaPili, boresheni ubora wa vipindi pamoja na ubora wa picha.