TBC MPYA: Ushauri, Maoni na Mapendekezo ya ubora wa vipindi (Television Content)

Hapo naomba kutofautiana na wewe. Kwa Rais aliepo madarakani swala ni kujenga hoja baada ya kujitathmini. Taasisi kama TBC imezeeka kimuundo na kimfumo. Kwa kutizama tu vipindi vyao unajua jinsi wanavyoplan. In incremental. Ya mwaka ujao ni ya mwaka jana badilisha hapa na pale ...maisha yasonge. TBC inahitaji total overthaul. Unapotafuta mkuu wa taasisi na vitengo unatafuta mtu mwenye vision na uwezo wa kusimamia vision. Nani asieikumbuka National Housing ilivyobadilika baada ya kupata viongozi sahihi? CRDB Je, nk. Taasisi zimekuwa tamu mpaka watu wameanza kupigana vikumbo kwa fitna.
Tubadili mbinu jinsi ya kutafuta CEOs na waachwe watekeleze vision zao. Political interference iwe pia tamed.
Utamlaumu Rais kama kweli anaingilia kazi nzuri. Lakini kama kazi ni mbaya unamtegemea akae kimya?
Tuwasaidie TBC kwa kuwaeleza njia na mbinu sahihi za kupitia watoke hapo walipo maana kweli wana hali mbaya.
Its too sad to see our cash cow being mismanaged.
Ng'ombe huyo alipaswa kutoa lita 20 lakini anayoa lita 5 japo anakula majani yaleyale.
Huwezi kuacha kumlaumu rais kwenye failure ya Tbc kwani ni kweli ndie anaechangia kufanya mambo yawe mabaya zaidi, hata ukimuweka kiongozi gani kuisimamia Tbc haitaweza kujiboresha chini ya rais huyu kwa sababu yeye hataki kuona watu wengine wanasifiwa isipokuwa yeye tu na ccm yake, sasa haya makosa makubwa ya rais kwani anachokitaka ndicho kinachoidhoofisha tbc, Anthony Dialo alijaribu kuwapa Uhuru na Nafasi kubwa wapinzani kwenye kituo chake cha StarTV muulize alichofanyiwa na ccm
 
Asante mkuu. Angalau wewe umetoa ushauri elekezi kuanzia namba 3 na kuendelea. Hiki ndicho nilichokilenga. Tutaje ideas kama hivyo. Asante.
Sasa wewe unachagua aina ya ushauri ?, namba 1 & 2 unaona sio ushauri ?, tangu lini mgonjwa aka chagua/bagua dawa ?, au tangu lini Serious Jobless aka chagua/bagua kazi ?
 
Ndugu WanaJF,

Kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi na hata hapa JF kuhusiana na changamoto ya vipindi vya Televisheni ya Taifa (TBC1). Malalamiko hayo yameegemea zaidi katika eneo la ubora wa vipindi na ubunifu.

Kwa bahati nzuri, Mkurugenzi pamoja na Watendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ni wadau wakubwa wa JamiiForums na huwa wanafuatilia taarifa na mijadala mbalimbali inayoendelea hapa. Hivyo tukiitumia vyema nafasi hii, tutawasaidia kuboresha maeneo ambayo yanatakiwa kurekebishwa kwa haraka.

Naomba tutumie uzi huu kutoa maoni, ushauri na mapendekezo kuhusu aina ya vipindi na ubunifu ambao ukitumiwa utasaidia kuifanya televisheni hii ya taifa kuvutia kutazamwa na kufurahiwa.

Tumeshalalamika sana. Sasa ni wakati wa kuchukua hatua na kutaja suluhu kwa mifano ili kuimaliza changamoto hii kabisa.

Karibuni sana.
Ili TBC ibadilike lazima watangazaji wake waache ushamba na kulamba miguu wanasiasa wa chama tawala.
 
Tuachane na kwenye siasa kidogo. Hayo yameshasikika vya kutosha sasa naamini yatafanyiwa kazi.

Hakuna mawazo mbadala nje ya hayo ya kisiasa ambayo TBC wanatakiwa kuyafanyia kazi?

Jina nalo ni tatizo? Unashauri iitwe jina gani?

Karibu.
Nilikuwa na miaka kadhaa sijaiangalia channel ya TBC, hivi majuzi baada ya kuwa nimefunga Dish la starTimes nilishangaa kukuta bado ile sehemu ya taarifa ya habri za biashara ukitazama matamshi ya mtangazaji yanapishana na sauti inayotoka kwenye TV, hata hili nalo limewashinda kulirekebisha !!, are you serious na soko ?
 
Umenisaidia, kumbe Tbc hawawezi kusikia ushauri wa Nje kwa sababu wamefungwa na minyororo ya utumwa wa ccm sio ?, kwa maan ahiyo wanatakiwa kufanyiwa maombi ili kuondoka na hilo pepo au jinamizi ccm ili wawekwe huru, Mhubiri gani atafaa hapa ?
 
Pia ajirini watangazaji warembo wanaovutia jifunzeni hata kwa citizen TV watangazaji wao walivo. Tatizo TBC mna mazoea mno. Ikiwezekana TBC iajiri CEO kutoka nje ya nchi mwenye uzoefu wa mambo ya habari.

Na hao kina grace kingalame kwanini wasipumzike kutangaza yani mvuto zero kabisa
Jamani muwe na huruma hata kidogo, huyo Grace sio mzee kiasi mnataka afukuzwe kazi, (wanaomfahamu vizuri watuambie umri wake) huyo ni unene tu umemzidia mpaka anashindwa kuongea haraka haraka. chukulia kama ni dada yako utafurahi akifukuzwa kazi ?, tatizo ni Tbc kujipachika Ukada wa ccm, wapo watangazaji DW, Aljazeera, BBC na CNN ni watu wazima lakini wako fit sana,
 
Hahaaaaa sio afukuzwe kazi hata akiwa back stage hamna tatizo, kanenepa sana ka kiboko had Ana shindwa kupumua vzuri aanze mazoezi fani nyingine zinahtaji watu presentable bwana. Sasa TBC sijui wanatumia kigezo cha ukada kuajiriwa.
Jamani muwe na huruma hata kidogo, huyo Grace sio mzee kiasi mnataka afukuzwe kazi, (wanaomfahamu vizuri watuambie umri wake) huyo ni unene tu umemzidia mpaka anashindwa kuongea haraka haraka. chukulia kama ni dada yako utafurahi akifukuzwa kazi ?, tatizo ni Tbc kujipachika Ukada wa ccm, wapo watangazaji DW, Aljazeera, BBC na CNN ni watu wazima lakini wako fit sana,
 
Hahaaaaa sio afukuzwe kazi hata akiwa back stage hamna tatizo, kanenepa sana ka kiboko had Ana shindwa kupumua vzuri aanze mazoezi fani nyingine zinahtaji watu presentable bwana. Sasa TBC sijui wanatumia kigezo cha ukada kuajiriwa.
Kumbuka nae alikuwa kipotable wakati wanaanza kazi na yule Ganzel, tatizo wanalipwa mahela bila kutoka jasho.
 
Binafsi sina ugomvi na vipindi vingi vya TBC naona viko poa na vimenifanya nielewe mambo mengi ambayo serikali inafanya na hili ndo hasa tv ya taifa iinapaswa kufanya. Mfano wa vipindi nhivyo ni Tunatekeleza, na ziara za viongozi sehemu mbalimbali kiukweli nawapongeza maana nimeijua hii nchi jinsi ilivyo kiasi flani kupitia ziara zinazorushwa mubashara na TBC.

Tatizo la TBC ni colour yao sio nzuri kabisa na sauti pia. Kuhusu watangazaji naona wako poa ila namkubali sana Mwanadada Flourence Mahundi hichi kichwa kipo serious sana na anajua kuitendea haki sauti yake ya kipekee kabisa japo siku hizi simuoni sana.
Usitulettee mambo ya Lumumba hapa, Jiography ya Nchi hii unajifunza shuleni au maktaba, au unaenda Live mwenyewe
 
Hahaaaaa sio afukuzwe kazi hata akiwa back stage hamna tatizo, kanenepa sana ka kiboko had Ana shindwa kupumua vzuri aanze mazoezi fani nyingine zinahtaji watu presentable bwana. Sasa TBC sijui wanatumia kigezo cha ukada kuajiriwa.
I agree with you kutafta fursa ila naye ndo kanywea sana makeke yote kwishney ka kanyweshea mvua uchangamfu wote kwishney, sio yeye tu Watangazaji wote wako hivo sasa sijui ndo mitambo inawafubaisha hata sielewi.
Mimi nilidhani nimeona vibaya, siku moja nikaona mtu kama Sam Mahela, kumbe ni kweli yuko tbc ?, Nafikiri wote mnaona jinsi alivyofubaa, sijui kuna nini pale ?!, yaweza kuwa Spirit ya CCm, nani alitegemea atapoa hivyo Sam tuliyemjua wa ITV
 
Sam yuko TBC siku hizi naye kafubaa uweledi wake umekuwa zero had kuvaa. Nadhani TBC Wana mazoea ya kufanya mambo ya business as usual. Waajiri wataalamu na sio kufanya mambo bora yaende huku wakisubiria mshahara wa bure. Na kubaki na ubunifu zero wa kila mambo
Mimi nilidhani nimeona vibaya, siku moja nikaona mtu kama Sam Mahela, kumbe ni kweli yuko tbc ?, Nafikiri wote mnaona jinsi alivyofubaa, sijui kuna nini pale ?!, yaweza kuwa Spirit ya CCm, nani alitegemea atapoa hivyo Sam tuliyemjua wa ITV
 
Acheni kutumika kisiasa! Tunashindwa kuwelewa kama nyie ni Television ya Taifa au tawi la chama?
Ubora wa picha ni sifuri kabisa!
Nchi hii imejaa vijana zaidi ya 70% nyie asilimia 80 ya vipindi vyenu ni vya kizee!
Mnashindwa hata kuonesha mechi ya Taifa stars mmekalia ziara za viongozi wa chama wakitembelea matawi sijui kigoma gani huko!
Mmetangaza kufunga mitambo mipya ya kisasa na picha ndo kabisa zimerudi zile za kiwango cha chini kabisa!
Subirini na wengine wanakuja na mjiandae kwa POVU ZAIDI
NAUNGA MKONO
 
FANYA HAYA

Mosi, Fufua TBC 2 Kisha iwe SIYO YA KULIPI!! na Iwe na Maudhui Kma ya Clouds, EATV, ETV & DIRA TV na Ikiwezekana Iwe Ya Kisasa Zaidi!! Hamjifunzi kwa ZBC 2 ???

Nunueni HD Camera muwape Ma_reporters wenu!! Ni Aibu Kwa TBC Tena ni Aibu!! Hta KBC Wanawashinda!! Sawaaa naweza kwenda mbali labda kuwafananisha nao Hata Ma Blogger pia Wanawashinda Kwa Quality Ya Picha ??

Animation Zenu Bado Low Quality Kabisa Tna Kabisa!! Hamna ma Creator wakuzibadilisha zikawa na Muonekano mzuri?? Mnatia Aibu tna Mnatia Aibu
 
Binafsi sina ugomvi na vipindi vingi vya TBC naona viko poa na vimenifanya nielewe mambo mengi ambayo serikali inafanya na hili ndo hasa tv ya taifa iinapaswa kufanya. Mfano wa vipindi nhivyo ni Tunatekeleza, na ziara za viongozi sehemu mbalimbali kiukweli nawapongeza maana nimeijua hii nchi jinsi ilivyo kiasi flani kupitia ziara zinazorushwa mubashara na TBC.

Tatizo la TBC ni colour yao sio nzuri kabisa na sauti pia. Kuhusu watangazaji naona wako poa ila namkubali sana Mwanadada Flourence Mahundi hichi kichwa kipo serious sana na anajua kuitendea haki sauti yake ya kipekee kabisa japo siku hizi simuoni sana.
MAVI KWELI WEWE
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom