wakuja town
JF-Expert Member
- Oct 26, 2020
- 898
- 1,342
Mitano tenaaa, good news ni kwamba mpk vindaki ndaki nao wapo humo wanalia.
Hapo kuna watu kibao hewa... Yaani unawezakuta wameajiri 2000 tu.. majina mengine ni yale ya kama kura hewaNimeona jina la huyo msela,halafu majina yamewekwa bila namba so idadi ya walioajiriwa inakua ngumu kuijua kwa haraka
Ndio, MITANO tenaMitano tenaaa, na akimaliza hii mitano inabidi alazimishwe aendereee manake akiondoka hatutapata mwingine kama hyu
Kakudanganya nani kigezo kilichotumika ni GPA?acha kuichafua serikali wewe, serikali haiwezi kufanya huo ujinga kama umekosa kwasababu una GPA ndogo acha tuliochaguliwa tukaanze kazi jumanne (1.12.2020)
Hapana sio GPA wala nini....kama haya majina nayoyaona mitandaoni yametoka kwa viongozi wa umma tena wa taasisi nyeti basi tunasafari ndefu...kama haujachaguliwa kwaajili ya GPA yako ndogo tulia kabisa, usimgomanishe raisi wetu na wananchi, tena muache kabisa raisi wetu afanye majukumu makubwa ya kuijenga tanzania
Kwa jina la Yesu na la MuhammadMitano tena
MHK.Nimekutana na mtu kachaguliwa kufundisha sekondari masoma ya basic Mathematics History na Kiswahili.
Nimejiuliza huyu jamaa atakuwa amesoma kombi gani