turbocharger
Member
- Dec 14, 2016
- 52
- 67
Aisee huu mlolongo wa kumiliki silaha naona ni mrefu sana bora ninunue panga tu
Rais!!!!! Rais gani huyo??? wala hajasema yeye ni Rais, hata utambulisho wake ni Dr. W. Slaa anakula bata ughaibuni baada ya hotuba yake ya mwisho pale Serenanashukuru raisi wangu wa moyoni.hakika sarakasi hizi za utawala wa kibabe zitafika mwisho..muda si mlefu uhuru wa kweli utapatikana.
Noel Kwai, Sikubaliani na wewe hata kidogo. Kizazi kipya kimegawanyika kuhusu hali ya kisiasa nchini. Hii imetokana na mifumo na namna jinsi vyama vya siasa vinavyoendeshwa na hususan ni sera zipi vyama vinasimamia. Ndani ya CDM unayoizungumzia tayari vijana wengi hawana imani tena na chama hicho na wala usimpotoshe Dr. Slaa akarudi bure badala ya kuendelea kula bata huko aliko.Dr. Slaa hakuna haja ya kumpa pole kwa sasa bali kukumpongeza yeye na wenzake naanza kuona mbele ya safari kama mwanga utaonekana, safari ya haki lazima wachache wataumia kwa niaba ya wengine.
Dhuluma na uzalilishaji wanaofanyiwa viongozi wa CDM na upinzani kwa ujumla ni maandiko na alama ndani ya mioyo ya watu hususani kizazi kipya ambacho hakioni faida ya mfumo wa sasa wa utawala. Ninacho shukuru bado viongozi wa CDM wanatumia busara kubwa sana kuongoza kundi kubwa la walalahoi lakini iko siku watashindwa na walalahoi wataamua kivyao, tusifike huko.
Mawazo gani haya sasaHivi unajua kama watu wanataka kukuibia alafu wakajua kuwa una bastola, hatua ya kwanza ni kuuawa ili usimzuru yeye hivyo ni bora usiwe nayo ili hata akitaka Mali kwako anaweza kuchukua alafu akakuacha
Hapana Mkuu nisaidie kaushauriKwa uandishi huu nashauri wasikupe...
Mkuu nipe maelekezo nimiliki chombo maana huwa napatwa sana na matukio ya kuvamiwa hasa kwenye biashara zanguKumiliki pistol inahitaji umakini mkubwa sana na kwa dizaini ulivyoandika hiyo post ni wazi ukikabidhiwa hicho kitu unaweza ukajikuta umejiua. Achana na wazo hilo mkuu.
Nenda wizara ya mambo ya ndani pale utapata kila kitu ila huku utachanganywa toMkuu nipe maelekezo nimiliki chombo maana huwa napatwa sana na matukio ya kuvamiwa hasa kwenye biashara zangu
Mkuu Si kila kitu tunaweza share hapa,kutokana na unyeti wake naomba ufike kwa mtu mwenye cheo cha msajili wa silaha pale polisi makao makuu ghorofa ya 5 utapata majibu yote.Za asubuhi wanaJF. N siku nyingine tena mapambano yanaendelea. Tunapambana.
Nataka kumiliki bastola kisheria kwa ajili ya ulinzi binafsi kutokana na nature ya shughuli yangu.
1. Je, taratibu zake zikoje?
2. Gharama za kununua bastola zikoje?
3. Ipi bastola nzuri?
4. Kuilipia kwa mwaka ni TZS ngapi?
5. Mchakato mpaka unaimiliki unachukua muda gani?
6.Criteria au vigezo vya kuimiliki vikoje?
Naombeni mawazo yenu wakuu.
Asanteni.
Hahaaaa.....kipindi hiki washauri wa kisaikolojia walitakiwa wawe wengi sana........mtu anaweza kumpiga mashine yeyote aliye mbele yake!Jamaa asubuhi asubuhi yote hii unaanza kuulizia upatikanaji wa bastola,vibaka walitikisa dirisha nini?