Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,372
Wewe ndie ambae unapinga nachokisema huku ukikazia kilekile ambacho toka mwanzoni nilikisema. Huwezi kulazimisha kila mtu awe na mtazamo kama wako, ni mtu asie na maturity ndie anaekuwa na mawazo dhaifu kama hayo.
QUOTE BY SAMARITAN
Thank God you are just typing behind the keyboard. Sasa naona unarudia kile kile ambacho nimekisema toka mwanzo kwamba siko jela au kifungoni sasa hivi kwa vile similiki bastola. Nikaenda mbali zaidi kwamba, nafaham sijawa na uwezo wa kuvumilia/kustahimili mikiki mikiki na baadhi ya wapuuzi, siku nikiwa tayari ntafanya mpango wa kumiliki isiniletee matatizo. Kipi haujakielewa hapo?
QUOTE BY SAMARITAN
Thank God you are just typing behind the keyboard. Sasa naona unarudia kile kile ambacho nimekisema toka mwanzo kwamba siko jela au kifungoni sasa hivi kwa vile similiki bastola. Nikaenda mbali zaidi kwamba, nafaham sijawa na uwezo wa kuvumilia/kustahimili mikiki mikiki na baadhi ya wapuuzi, siku nikiwa tayari ntafanya mpango wa kumiliki isiniletee matatizo. Kipi haujakielewa hapo?