Calnde
JF-Expert Member
- Oct 7, 2008
- 1,373
- 277
Tatizo kubwa ambalo linaumiza nchi yetu ni mfumo wa kuwapata wale ambao wanasimama katika nafasi mbalimbali. Tunampata raisi si kwa sababu
yeye ni bora bali kwa sababu genge la watu fulani kwa pesa walizowaibia watanzania na kwa nia yakuonekana kwamba matakwa yao yanasimama
wamemtaka awe raisi. Hii inafanya tuwe na kuchagua raisi bora kati ya wengi waliohafifu. Its like trying to make sense out of nonsense! Matokeo yake
tunapata mtu bomu ambaye kwa sera za chama analazimika kutawala kwa miaka kumi! Imagine watu chini ya kumi wanaamua hatima ya Tanzania
for the next ten years! mfumo huu ndio uliopekea Mkapa 1995, JK 2005 and who knows!? (kama hatutakuwa makini) May be EL/Mwinyi/Nahodha
/Membe or Pinda 2015! Disastor!
yeye ni bora bali kwa sababu genge la watu fulani kwa pesa walizowaibia watanzania na kwa nia yakuonekana kwamba matakwa yao yanasimama
wamemtaka awe raisi. Hii inafanya tuwe na kuchagua raisi bora kati ya wengi waliohafifu. Its like trying to make sense out of nonsense! Matokeo yake
tunapata mtu bomu ambaye kwa sera za chama analazimika kutawala kwa miaka kumi! Imagine watu chini ya kumi wanaamua hatima ya Tanzania
for the next ten years! mfumo huu ndio uliopekea Mkapa 1995, JK 2005 and who knows!? (kama hatutakuwa makini) May be EL/Mwinyi/Nahodha
/Membe or Pinda 2015! Disastor!