We utakuwa shoga yake nini ndio maana unajua hayo mambo? sema umenifananisha mie kidume nataka nijiweke hapo kwa shangazi Fatma,nimemuelewa sana na naahidi kumuondoa stress zote.Kwa sababu mwanaume aliyekua amuoe amekuoa wewe.
Kweli kabisa.Umeme kila kijiji safi
Kweli kabisa.
Ukiona unakula hulali njaa ndo uchumi wa kati huo