Tanzania kuingia Uchumi wa Kati maana yake nini?

Wallahi lazim Elimu ya Tanzaniaaiboreshwe. Kumbe tumewekwa kwenye KUNDI la LOWER MIDDLE INCOME kwa sababu WORLD BANK wamebadilisha MFUMO wakupima Utajiri wa Nchi na wameondoa LOW INCOME-Fatma Karume on twitter






View attachment 1495087
hii narrative ipo sahihi kabisa.

ndiyo maana Tanzania bado ipo nafasi ya 158 kati ya nchi 186 duniani kwenye income ranking.
tafsiri yake ni kwamba Tanzania pamoja na hii latest "upgrade" (sic!) ya WB bado ni one of the top 30 poorest countries in the world!
 
Hapo shangazi Fatma sielewi anataka kumanisha nini . jedwali hapo juu Vigezo vya kufuzu vimepandishwa havijashushwa. Kweli mwanasheria kuelewa uchumi ni shida. Yeye ajikite kutetea watu mahakamani sio kutuzuga. Mbona jedwali liko wazi wamepandisha vigezo.
 
Halafu Muzungu kaleta hii habari kipindi cha Uchaguzi, yaani hardtalk ya Tundu lisu, Zito Kabwe kujiuza ofisi za benki ya Dunia kuichongea nchi yetu iwekewe vikwazo, halafu mwishowe Muzungu huyo huyo anaipatia Tanzania yetu middle income status tena kipindi cha Uchaguzi? Duh!
 
yaaani anatufanya sisi sote watoto na hatuna uwezo wa kufikiri, nadhani anatumika vibaya sio yeye lazima kuna mtu anampenyezea ili apotoshe watanzania kwa maksudi.
 
Anyway,labda hamna nchi iliyomo tena katika hilo kundi.

Na hii je?

View attachment 1495106
Hapo shangazi Fatma sielewi anataka kumanisha nini . jedwali hapo juu Vigezo vya kufuzu vimepandishwa havijashushwa. Kweli mwanasheria kuelewa uchumi ni shida. Yeye ajikite kutetea watu mahakamani sio kutuzuga. World bank wanasema " This year 2020 thresholds have moved up comparing 1/7/2019 and 1/7/2020"
 
So what?
Mbaki huko low income basiiii.
Inawaumiza kweli kazi mnayo
Wenzenu tuko middle income nation....!
 
hiyo taarifa imetolewa na Bank ya Dunia haijatolewa na serikali ya Magufuli, sasa chuki ya nini kwa Magufuli,
 
Zanzibar watu wana akili sana, Fatma Karume ni mwanamke ambaye kichwa chake kinafanya kazi sana kwenye mambo mbali mbali, kule Tanganyika wakisikia uchumi wa nchi ni wakati wanapiga kofi na vigelegele tu na kumpongeza mkuu,

Ndio mana kule Tanganyika hadi sasa hakuna aliyesubutu kujaza fomu ya urais ukitoa mkuu. Wanapelekeshwa kweli kweli
 
Back
Top Bottom