Tanesco Kilimanjaro kuna shida gani? Umeme Toka jana unatusumbua , hamsemi tatizo, Leo Toka asb hakuna umeme na simu zenu zote hazipatikani ,mna shida gani? Je mtu akiwa na dharura Nini afanye?? Naomba majibu.Ndugu Mteja!
Tunashukuru kwa kuwasiliana na TANESCO Huduma kwa Wateja, Tunakujulisha kuwa sasa TANESCO imekurahisishia huduma ya wewe kuweze kufanya maombi ya kuunganishiwa umeme kwa kutumia mfumo bora wa Nikonekt popote ulipo na wakati wowote, Unaweza kufanya maombi kwa njia zifuatazo:
- Nikonekt.tanesco.co.tz
-Nikonekt App (Ipo Play store na Apple store)
- Kubofya *152*00#
-Kwenye ofisi za TANESCO
Kwa Maulizo au msaada wowote tafadhali wasiliana na kituo chetu cha huduma kwa wateja kwa
Simu;0748550000
WhatsApp: 0758346869^EB
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app