mtokeibwima
Member
- Aug 2, 2014
- 66
- 22
Tanesco tawi la kibiti ubabaifu mwingi, umeme unakatika hovyo na baadhi ya mitaa SIKU mbili hauwaki, na hakuna TAARIFA yoyote juu ya kukatika kwake. Maelezo ya jumla eti " gari za emergency hazipo na zilizopo mbovu mathalani pancha, nyaya" n.k majibu mepesi kwa hoja sensitive. Mjifunze kujali wateja