Habari Tanesco

Nauliza hivi hii technology yenu ya kizamani ya kulipia umeme electronically alafu nipande kistuli nikaiweke kwa mita ukutani wengine wenye vile vicalculator muda huo hakina bettry mpaka ukanunue battry dukani uweke ndo kiwake uweze kuweka token

Huu uprimitive mtauacha lini TANESCO,,, yani huku tutatoka lini??? Au nyie mnachojua ni kucheza tu na units tukiweka umeme units kadhaa ndani ya siku 2 umeisha
 
Mpendwa mteja ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu, poleni sana kwa adha hio Tumepokea taarifa za changamoto ya umeme kwa baadhi ya maeneo ya mkoa wa mwanza , Tunawaomba radhi kwa adha yeyote mliyopitia wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kutatua tatizo
TANESCO Huduma Ndugu Mteja.kwa Wateja
0748550000^EB
Fanyieni Kazi kweli,hii habari yw umeme leo upo kesho haupo iishe kama leo Mkuyuni tumeshinda umeme hakuna,umeme umerudi saa 1 kesho umeme utakuwepo lakini keshokutwa hauta kuwepo,mtuambie shida ni nini
 
Mpendwa mteja Ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu,poleni sana kwa adha hio mnayopitia kwa sasa. tafadhali tunaomba kujua ni eneo gani mnakosa huduma kwa sasa ^EB
Mkoa was Tabora Tang saa 8 mchana mpaka saa 12 asubuhi hatuna umeme
 
Mpendwa mteja Ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu,poleni sana kwa adha hio mnayopitia kwa sasa. tafadhali tunaomba kujua ni eneo gani mnakosa huduma kwa sasa ^EB
Hamko serious kabisa, wengine tunaingia wiki ya nne, karibu ila siku tunashinda bila umeme. Ukiwauliza mara tunabadilisha nguzo tunaweka za zege, na huoni hizo nguzo zinazobadilishwa, mnakera sana.
 
Mpendwa mteja ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu, poleni sana kwa adha hio Tumepokea taarifa za changamoto ya umeme kwa baadhi ya maeneo ya mkoa wa mwanza , Tunawaomba radhi kwa adha yeyote mliyopitia wataalamu wetu wanaendelea na jitihada za kutatua tatizo
TANESCO Huduma Ndugu Mteja.kwa Wateja
0748550000^EB
Wengine tunaogopa kupigwa ban tu, ila nyie ni bure kabisa kuanzia kwa huyo Waziri wenu kanjanja. Sisi ngozi nyeusi ubinafsi unatumaliza.
 
TANESCO leo Kimara mwisho ni kuzima na kuwasha umeme kama vile kuna mtoto huko kwenye switch yenu anachezea.
Uchumi huu ulivyo mgumu halafu mnakata tena
Yaani inasikitisha, nilifikiri ni kwa sisi wa mikoani. Kuna siku wanakata umeme saa 12 kasoro asubuhi, wanarudisha jioni kabisa. Baada ya hapo ni kata washa kila baada ya dakika 1 au 2. Yaani hata king'amuzi hakijamaliza kuapload wanakata tena. Inakwenda hadi saa mbili kasoro au saa tatu na kitu usiku ndio unastabilise. Asubuhi tena wanaanza nao, kwa wiki wanaweza kuwaachia siku 1 au 2 bila kukata, hizo siku nyingine ni kujipanga mapema.
 
Yaani inasikitisha, nilifikiri ni kwa sisi wa mikoani. Kuna siku wanakata umeme saa 12 kasoro asubuhi, wanarudisha jioni kabisa. Baada ya hapo ni kata washa kila baada ya dakika 1 au 2. Yaani hata king'amuzi hakijamaliza kuapload wanakata tena. Inakwenda hadi saa mbili kasoro au saa tatu na kitu usiku ndio unastabilise. Asubuhi tena wanaanza nao, kwa wiki wanaweza kuwaachia siku 1 au 2 bila kukata, hizo siku nyingine ni kujipanga mapema.
Mpendwa mteja poleni sana kwa changamoto hio mnayopitia kwa sasa, tafadhali tunaomba kujua ni mkoa,wilaya, eneo gani mnakosa huduma ^EB
 
TANESCO Habari zenu ??? Kuna tatizo gani kwa sisi wakazi wa gongo la mboto??? Tangu juzi mmeanza kukata umeme, jana toka asubuh hakuna umeme na leo tenaa???? Kwani kuna mgao wa umeme???
 
Habari yenu?
Kwa sisi wa kazi wa Tabata tunapata changamoto kwenye namba yenu ya dharula (0748 550000) haipatikani hewani, na tukifika ofisini wanatushauri tuwasiliane kwenye namba hiyo ambayo haipatikani.
MSAADA WA NAMBA YA SIMU INAYOPATIKANA TAFADHALI.
 
Jaman kama ni mgao bora mseme. Nipo Uyole Mbeya utaratibu wenu haueleweki. Mnakata umeme zaidi ya masaa12 kwa siku na ni kila siku mnafanya kubadili tu leo mnakata mchana kesho usiku. Mnakera sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kuanzia Ijumamosi na ijumapili iliyopita, ndo Mgao wa umeme Jijini mwanza ulipoanza, Mpaka leo hii mgao unaendelea, TANESCO Tatizo ni nini mpaka kuwe na mgao tena wa kimya kimya?
 
Mpendwa mteja Ahsante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu,poleni sana kwa adha hio mnayopitia kwa sasa. tafadhali tunaomba kujua ni eneo gani mnakosa huduma kwa sasa ^EB
Hivi we jamaa ni mgeni Tanzania ?!!!!

Yaani hili suala ni la kuuliza Tanzania ni wapi hakuna umeme ? Kwani mnakata umeme bila kujua mnakata wapi ?

Au tunaongea na Bot na sio Binadamu yupo programmed kujibu maswali..., ila nadhani tunakuonea kwenye hizi kadhia nakupa ushauri mpeni ushauri Januari aje afanye kazi customer care siku moja ili aone kazi yake nzuri inavyoendelea....

Bure Kabisa !!!!!
 
Back
Top Bottom