Nipo jirani na njia ya umeme ya kutoka Rusumo kwenda Nyakanazi.
Upana wa njia (line) ni mita 40.
Natamani kulima mazao mafupi kwenye eneo la njia hii ambalo ni mali ya Tanesco,
Napenda nilime
maboga,
mboga (bustanI),
maharage,
Kunde,
Nanasi,
Mihogo,
Mahindi,
Njegere.
Nifuate taratibu zipi kuomba kulima?
Upana wa njia (line) ni mita 40.
Natamani kulima mazao mafupi kwenye eneo la njia hii ambalo ni mali ya Tanesco,
Napenda nilime
maboga,
mboga (bustanI),
maharage,
Kunde,
Nanasi,
Mihogo,
Mahindi,
Njegere.
Nifuate taratibu zipi kuomba kulima?