Kuweni na huruma, vibarua wale wa miaka na miaka wapeni ajira rasmi nao familia na ndugu zinawategemea sio mikataba mikataba tu.Mpendwa mteja, asante kwa pongezi endelea kufurahia huduma zetu
Ndugu mteja ahsante kwa wasiliana nasi kupitia ukurasa huu, na pole kwa changamoto hio,utaratibu ni kwamba lazima upate loss report kutoka polisi kisha nenda ofisi za tanesco karibu yako utapewa utaratibu mwingine wa kulipia.^EBHabari. Nini cha kufanya inapotokea submeter au kile kifaa cha kuingizia umeme kinapopotea? Hatua gani zifuatwe kupata kingine na gharama gani unaweza kuingia?
sasa mbona sioni kinachoendelea licha ya kuomba niwatumie details za lalamiko langu inboxTANESCO MIMI NI.MKAZI WA KILOMBERO-SIKU ZA NYUMA TANESCO WALIPITISHA WAYA WA UMEME KATIKATI YA UWANJA WANGU LEO NIMEJENGA BOMA NIMEMALIZA NAWAAMBIA WAONDOE WAYA WA UMEME WA UPITISHE KWA PEMBENI ILI NIWEZE EZEEKA MWAKA WATATU SASA NAOMBA MNISIDIE HUKU TUNATESEKA SANAA.
Ndugu Mteja!mitaa ya ipogolo hukuu mariasili nguzo hamleti kila muda tunashinda kwa mwenyekit jaman tunaomba tuletewe nguzo ipogolo mtaa mariasili machinjio ya nguruwee haiwezekan manspaa harafu kuna sehem umeme hmna
naitwa steve george nipo iringa mjin kata ya ruaha mtaan wa machinjio ya nguruwe /mariasili tatizo nikwamba tanesco hawajaleta nguzo mtaan apa nawalituahid kutuletea toka mwaka jana mwezi wa sita adi sasa hakuna kitu✅Ndugu Mteja!
Tunafurahia kukuhudumia, tafadhali onesha taarifa kamili kwa huduma bora
Jina
Namba ya simu
Mkoa
Wilaya
Eneo
Namba ya meter
Tatizo
makao makuu 0748550000^NM
Toka lininaitwa steve george nipo iringa mjin kata ya ruaha mtaan wa machinjio ya nguruwe /mariasili tatizo nikwamba tanesco hawajaleta nguzo mtaan apa nawalituahid kutuletea toka mwaka jana mwezi wa sita adi sasa hakuna kitu✅
Ndugu Mteja!IVI KUINGIZA UMEME NI SHINGAPI IKIWA SEHEMU INAHITAJI NGUZO MOJA??