kikosi.group
Member
- Oct 5, 2014
- 22
- 3
ili kujua hatua zalizofikiwa nitabidi nisubiri muda gani?Tulifika eneo lako mwezi wa Tisa na kugundua kuwa upo umbali wa zaidi ya mita 120 hivyo mpaka tusogese miundombinu ya umeme ndio unaweza kupata huduma, tumepokea taarifa kwa hatua zaidi