Napatikana mbagala kongowe A mzinga tatizo langu siku ya tatu leo nalal giza umeme auwaki luku inasoma hipo lakini umeme auwaki tatizo ni nini arafu nilikuwa naongeza luku nikajua imeisha inasomaa arafu aimarizi inazima leotena nimejaribu ile tokeni naambiwa umeshatumika tumika lakini umeme auwaki