Napatikana mbagala kongowe A mzinga tatizo langu siku ya tatu leo nalal giza umeme auwaki luku inasoma hipo lakini umeme auwaki tatizo ni nini arafu nilikuwa naongeza luku nikajua imeisha inasomaa arafu aimarizi inazima leotena nimejaribu ile tokeni naambiwa umeshatumika tumika lakini umeme auwaki
 
TANESCO nimenunua umeme wa laki moja badala wa elfu 10,je naweza kurudishiwa fedha , naomba msaada wa haraka,
 
TANESCO naomba kujua hatma ya tokeni tulizonunua ktk mita ya zamani ambayo iliharibika, baada ya batani zake kugoma kubonyezeka. Sasa imefungwa mpya.

Inamaana tokeni zilizonunuliwa ktk mita ya zamani hazitatumika tena?
 
Umeme unakatika sana siku hizi hatujui shida ni nini. Ni maeneo ya Tabata karibia yote kuanzia Bima hadi Segerea na Kinyerezi. Mchana kutwa hamna umeme. Pia usiku angalau kila siku hukatika na kurudi baada ya saa1, masaa 2 nk. Kuna shida yoyote?
 
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu.

Tunawaomba mzingatie yafuatayo ili kurahisisha ufafanuzi na ufumbuzi wa tatizo au taarifa husika;

1. ENEO HUSIKA

(Mnaweza kuwa eneo moja lakini mnahudumiwa na transfoma au njia ya kusambaza umeme (feeder) tofauti)

2. NAMBA YA SIMU

(Wakati mwingine umeme upo kote isipokuwa kwako hivyo na rahisi kuwasiliana na wewe)

3. KARIBU NA NINI

(Kuna alama vitu au watu mashuhuri karibu na eneo lako mfano ofisi ya Serikali ya Mtaa, Mahakama, Kituo cha Polisi nk)

4. JINSI YA KUFIKA MAKAZI YAKO

(Toa ufafanuzi wa jinsi ya kufika makazi yako,chukulia unamuelekeza mtu ambaya hajawahi kufika kabisa)

5. MKOA,WILAYA NA KITONGOJI/KIJIJI

(Taarifa hii ni muhimu sana kusaidia kubaini eneo husika lipo wapi kwani yapo maeneo yanayofanana kwa majina lakini yapo Mikoa tofauti mfano Magomeni ipo Dar es Salaam na Mkoa wa Mtwara pia.)

6. KAMA NI TATIZO LA MITA NINI KINATOKEA UKIWEKA UMEME

(Kila mita ina ujumbe wake unaoashiria kitu fulani hivyo kubainisha ujumbe kunamsaidia mpokea taarifa kukupatia maelezo sahihi mfano mita namba 24339173921 inaonyesha error 77)

7. KAMA NI KUSHINDWA KUNUNUNUA UMEME UNAPATA UJUMBE GANI NA UNANUNUA KWA NJIA GANI

(Ujumbe huu ni muhimu sana kuweza kubaini chanzo cha tatizo pamoja na njia iliyotumika kununulia umeme mfamo Mpesa, Tigopesa, Maxcom nk)

TUNAENDELEA KUWASIHII WATEJA WETU KUZINGATIA UTOAJI WA TAARIFA SAHIHI NA FASAHA KWA HUDUMA BORA ZAIDI KUTOKA TANESCO.

ENDELEA KUFURAHIA HUDUMA BORA KUTOKA TANESCO

Vilevile pitia threads hizi kupata Maelezo ya ziada;

LUKU:Mfumo wenye Tija kwa Wateja na TANESCO

Fahamu mita za LUKU zinazofungwa majumbani

Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

Kw mawasiliano Kituo cha Miito ya Simu (+255) 22194400 or (+255) 768 985 100 Mitandao ya kijamii Tanescoyetu (@tanescoyetu) | Twitter Facebook: Tanesco Yetu

HAPA CHINI NI NAMBA ZA SIMU ZA MIKOA

Ofisi ya Mkoa wa Mbeya Simu ya Mkononi (+255) 757 529 380 ya Mezani (+255) 252 504 219

Ofisi ya Mkoa wa Ilala Simu ya Mkononi (+255) 784 768 586 ya Mezani (+255) 222 133 330

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kusini (Magomeni) Simu ya Mkononi (+255) 715 271 461/ (+255) 784 271 461

Ofisi ya Mkoa wa Kinondoni Kaskazini (Mikocheni) Simu ya Mkononi (+255) 784 768 584 / (+255) 716 768 584 ya Mezani (+255) 222 700 367/ (+255) 222 701 602 / (+255) 222 774 098

Ofisi ya Mkoa wa Temeke Simu ya Mkononi (+255) 712 052720 / (+255) 758 880155 / (+255) 732 997361

Ofisi ya Mkoa wa Pwani Simu ya Mkononi (+255) 78 5122020 / (+255) 65 7108782ya Mezani (+255) 23 2 402 386

Ofisi ya Mkoa wa Arusha Simu ya Mkononi (+255) 75 8 174 343 Mezani (+255) 272 506 110

Ofisi ya Mkoa wa Tanga Simu ya Mkononi (+255) 658 122 412/ (+255) 687 677 667 Mezani (+255) 27 2 646 779

Ofisi ya Mkoa wa Kilimanjaro Simu ya Mkononi (+255) 765 397 925/ (+255) 682 771 310 Mezani (+255) 272 755 007/8

Ofisi ya Mkoa wa Manyara Simu ya Mkononi (+255) 689 795 599 / (+255) 75 9 534 130 Mezani (+255) 272 530 590

Ofisi ya Mkoa wa Mwanza Simu ya Mkononi (+255) 759 777 786 / (+255) 687 910 202 Mezani (+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

Ofisi ya Mkoa wa Geita Simu ya Mkononi (+255) 744 085 696 Mezani (+255) 28 2520330

Ofisi ya Mkoa wa Kagera Simu ya Mkononi (+255) 78 5 787 898 / (+255) 75 3 120 701 Mezani (+255) 282 220 061

Ofisi ya Mkoa wa Mara Simu ya Mkononi (+255) 762 165 087 / (+255) 732 985 672

Ofisi ya Mkoa wa Simiyu Simu ya Mezani (+255) 282 700 180

Ofisi ya Mkoa wa Dodoma Simu ya Mkononi (+255) 782 161 643 Mezani (+255) 262 321 728

Ofisi ya Mkoa wa Morogoro Simu ya Mkononi (+255) 68 4889272 / (+255) 65 4829046 Mezani (+255) 232 613 501/2

Ofisi ya Mkoa wa Singida Simu ya Mkononi (+255) 71 4 477 445 / (+255) 732 960 924 / (+255) 689 373 757 Mezani (+255) 262 502 133

Ofisi ya Mkoa wa Tabora Simu ya Mkononi (+255) 786 558 510 / (+255) 763 162 868

Ofisi ya Mkoa wa Shinyanga Simu ya Mkononi (+255) 754 521 070 Mezani (+255) 28 2762120

Ofisi ya Mkoa wa Kigoma Simu ya Mkononi (+255) 78 3720598 Mezani (+255) 28 2802668

Ofisi ya Mkoa wa Katavi Simu ya Mkononi (+255) 68 8345200

IMETOLEWA NA:- Ofisi ya Uhusiano

TANESCO Makao Makauu.

NAMBA ZA SIMU ZA MADAWATI YA DHARURA YA TANESCO MIKOA YOTE

1. Ilala

0222133330/ 0784 768586/ 0715 768586.

2.Kinondoni Kusini (Magomeni)

0784271461/ 0715271461

3. Kinondoni Kasikazini(Mikocheni)

0784 768584/ 0716 768584

4. Temeke

0222138352/ 0732 997361/ 0758881055/ 0712 052720

5. Pwani
078 5122020/065 7108782/023 2402386

6. Mbeya
0759 777781/0787 023422


7.Arusha
0758174343/
0622612501/
+255 27 2506110

8.Tanga
0658 122 412/0687 677 667/ 027 2646 779

9. Kilimanjaro
0765 397 925/0682 771 310/ (+255) 272 755 007/8

10 Manyara
0689 795 599/ 0627938951

11. Mwanza
0759 777 786/0687 910 202/
(+255) 282 501 060 / (+255) 282 500 090

12. Geita
0744 085 696/(+255) 28 2520330

13.Kagera
078 5 787 898 / 075 3 120 701/(+255) 282 220 061

14.Mara
0788 950 688/
028 262 2020/
0762 165 087

15.Simiyu
+255 282 700 180/0626383440/0745044072

16. Dodoma
0782 161 643/(+255) 262 321 728

17. Morogoro
068 4889272 /065 4829046/ (+255) 232 613 501/2

18 Singida
071 4 477 445 /0732 960 924 / 0689 373 757/(+255) 262 502 133

19. Tabora
0786 558 510 /0763 162 868

20. Shinyanga
0754 521 070/(+255) 28 2762120 /
0783 521 070

21. Kigoma
078 3720598/(+255) 2988226

22. Katavi
0688345200

23. Rukwa
0252161120/0768879813
24. Songwe
0684 611716/0763 430381.

25. Ruvuma
0252602281/0763 194 979/0787 758 986

26. Njombe
0744703988

27. Mtwara:
0789 999942/023 2333902

28. Iringa 0262702019/0739203015

29. Lindi
0752518247/0685692786


Kituo cha Miito ya simu/Call Centre Makao Makuu

0768 985 100/0222194400

Facebook
www.facebook.com/tanescoyetu

Twitter
www.twitter.com/tanescoyetu

Tovuti
www.tanesco.co.tz

Barua pepe
Customer.service@tanesco.co.tz

Imetolewa na:
Ofisi ya Uhusiano
TANESCO Makao Makuu
Inaelekea Kuna mnachokitaka kingine sio kutukatia umeme tu. Semeni tuwape. Tanesco ya magufuli vs Samia
 
TANESCO hivi tatizo la umeme Kimara litaisha lini?
Kila miezi na version yake.

Sasa hivi umeme unakatwa hata mara sita kwa siku.

Kwanini tatizo hili haliishi?

TANESCO hebu kafuatilie na kutathmini utendaji kazi wa zile feeders zenu za nordic pale Ubungo utuambie tatizo hili la kimara linaisha lini?!
Ngoja tukusaidie kazi sasa maana tumechoka.
TANESCO leo jpili watu wako ibadani mmekata umeme Kimara mwisho!
Hivi haya malalamiko mengi nnayosoma humu hasa ya wakazi wa Dar hamuyaoni?

Niliwauliza kuwa kama hamuwezi kuihudumia Dar es salaam vizuri, legitimacy yenu kuitwa shirika la umeme Tanzania iko wapi then? maana huu ndio mji wa mfano.

Huwezi kushindwa kuihudumia Dar ukatudanganya unaweza kuihudumia Kigoma.Hamna kitu hicho.
Ilipaswa kuwa kosa la jinai umeme kukatika Dar.Lakini soma malalamiko humu,majority ni sisi wakazi wa Dar!

Ndio watumiaji wakubwa zaidi wa umeme,tena tunautumia kuzalisha mali, iwe jtano iwe jpili, lakini hamtuheshimu, mnakatakata umeme hovyo hovyo na mko consistent kwenye hilo!mko imara katika jambo lililo kinyume na kazi yenu. Huu ni uhalifu.

Mimi pekee soma post zangu kuhusu ukatikaji wa umeme kimara mwisho pekee, ni miaka na miaka nalalamika, lakini hadi leo nipo hapa bado natoa taarifa kila baada yamda mfupi.siwezi kukaa wiki mbili kabla ya kukerwa na umeme na kuja humu.Inashangaza sana.
 
TANESCO leo jpili watu wako ibadani mmekata umeme Kimara mwisho!
Hivi haya malalamiko mengi nnayosoma humu hasa ya wakazi wa Dar hamuyaoni?
Niliwauliza kuwa kama hamuwezi kuihudumia Dar es salaam vizuri,legitimacy yenu kuitwa shirika la umeme Tanzania iko wapi then?maana huu ndio mji wa mfano.Huwezi kushindwa kuihudumia Dar ukatudanganya unaweza kuihudumia Kigoma.Hamna kitu hicho.
Ilipaswa kuwa kosa la jinai umeme kukatika Dar.Lakini soma malalamiko humu,majority ni sisi wakazi wa Dar!Ndio watumiaji wakubwa zaidi wa umeme,tena tunautumia kuzalisha mali,iwe jtano iwe jpili,lakini hamtuheshimu,mnakatakata umeme hovyo hovyo na mko consistent kwenye hilo!mko imara katika jambo lililo kinyume na kazi yenu.Huu ni uhalifu.
Mimi pekee soma post zangu kuhusu ukatikaji wa umeme kimara mwisho pekee,ni miaka na miaka nalalamika,lakini hadi leo nipo hapa bado natoa taarifa kila baada yamda mfupi.siwezi kukaa wiki mbili kabla ya kukerwa na umeme na kuja humu.Inashangaza sana.
Tumepokea taarifa wataalamu wetu wanaendelea kufanyia kazi tatizo lilitokea eneo la Mbezi na Kimara huduma itarejea.Tunawaomba radhi sana
 
Dah mbona haya makato yamezidi leo nimenunua umeme wa 10000 matokeo yake nimepata unit 22 tu na mwanzo ilikuwa 28 unit,
Na Tanesco naomba ufafanuzi jinsi gani nitarudishwa kwenye Tarifu 0 maana hii imekuwa too much nahapa ni kijijini mnatuuzia umeme zaidi ya sh. 300 kwa unit
 
Dah mbona haya makato yamezidi leo nimenunua umeme wa 10000 matokeo yake nimepata unit 22 tu na mwanzo ilikuwa 28 unit,
Na Tanesco naomba ufafanuzi jinsi gani nitarudishwa kwenye Tarifu 0 maana hii imekuwa too much nahapa ni kijijini mnatuuzia umeme zaidi ya sh. 300 kwa unit
Ndugu mpendwa Mteja wetu!

Kama ambavyo Serikali ilivyotangaza kuwa kodi ya majengo italipwa kupitia manunuzi ya umeme hivyo basi kwa sasa wateja wanalipia kodi ya Mwezi wa Saba (Tsh 1000) na Mwezi wa nane (Tsh 1000) sawa na kiasi cha Tsh 2000 kwa mwezi huu, baada ya mwezi huu wateja wetu wataendelea kukatwa Tsh 1000 tu kwa kulila malipo ya kwanza ya mwanzo wa mwezi

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

Makao Makuu
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu!

Kama ambavyo Serikali ilivyotangaza kuwa kodi ya majengo italipwa kupitia manunuzi ya umeme hivyo basi kwa sasa wateja wanalipia kodi ya Mwezi wa Saba (Tsh 1000) na Mwezi wa nane (Tsh 1000) sawa na kiasi cha Tsh 2000 kwa mwezi huu, baada ya mwezi huu wateja wetu wataendelea kukatwa Tsh 1000 tu kwa kulila malipo ya kwanza ya mwanzo wa mwezi

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

Makao Makuu
Na hilo la kurudishwa tarifu 0 maana umeme tunanunua bei juu na hapa ni kijijini naomba ufumbuzi wa hili maana nilimsikia hata waziri akisema umeme usiuzwe zaidi ya sh. 100 kwa 1 unit
 
TANESCO haraka sana eneo la Kijichi mwanamtoti karibu na msikiti wa isticama kuna transfoma inaungua taratibu. Umeme eneo hilo unawaka na kuzima unaweza kusababisha hasara kwa watumiaji. Maarufu kama kwenye "matenk"
 
SHIKRIKA LA UMEME TANZANIA TANESCO MKOA WA MOROGORO.

TAARIFA YA KUOMBA RADHI KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME BAADHI YA MAENEO YA MKOA WA MOROGORO.

Shirika la umeme Tanesco linaomba radhi wateja wetu wanaotumia laini ya Tungia,Mzinga,Kilosa,Mikese kwa kukosa huduma ya Umeme usiku wa kuamkia leo kutokana na changamoto zilizojitokza:

Siku :Jumanne.
Tarehe 31/08/2021.

Sababu :hitilafu iliyosababisha kosekana kwa huduma ya Umeme Usiku wa kuamkia leo kutokana na changamoto iliyojitokeza wakati wa kuunga trasfoma kubwa la Msamvu.

Maeneo yanayokosa umeme ni Tungi,Mikese,Mzinga,Mkambarani,Mgeta,Mlali,Tandali,Maguruwe,Area 5&6,Kola A&B,Wilaya yote ya Kilosa yote Kilosa ,Wilaya ya Morogoro vijijini.

Juhudi zilizofanyika team imeanza kurejesha huduma ya iii meme baadhi ya Maeneo mengi ya Mji kupitia transfoma hilo na sasa Tunaendelea na kuunga laini zilizokosa umeme usiku wa kuamkia leo .

Tunaomba radhi sana kwa usumbufbcu utakao kuwasa umejitokeza.

Tahadhari usishike wala kukanyaga nyaya zilizolala chini yoa taarifa Emergency Tanesco Morogoro kipitia namba 06770630010684>89272 tutakufikia .


imetolewa na :
Ofisi ya Uhusiano huduma kwa wateja Tanesco Morogoro.

31/08/2021.
 
Tanesco mtuoe muongozo tafadhali, surveyor kaja site MLANDIZI KIBAHA 12/7/2021. Mpaka leo sijapata control no nikimuuliza anasema wanasubiri budget ndio watoe control no. Je huu ndio utaratibu na lini hiyo budget inategemewa kupitishwa?
INAUMA SANA UNA HELA MFUKONI HALAFU UNALALA GIZANI
 
Tanesco mtuoe muongozo tafadhali, surveyor kaja site MLANDIZI KIBAHA 12/7/2021. Mpaka leo sijapata control no nikimuuliza anasema wanasubiri budget ndio watoe control no. Je huu ndio utaratibu na lini hiyo budget inategemewa kupitishwa?
INAUMA SANA UNA HELA MFUKONI HALAFU UNALALA GIZANI
Tafadhali onyesha namba ya simu kwa hatua zaidi
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu!

Kama ambavyo Serikali ilivyotangaza kuwa kodi ya majengo italipwa kupitia manunuzi ya umeme hivyo basi kwa sasa wateja wanalipia kodi ya Mwezi wa Saba (Tsh 1000) na Mwezi wa nane (Tsh 1000) sawa na kiasi cha Tsh 2000 kwa mwezi huu, baada ya mwezi huu wateja wetu wataendelea kukatwa Tsh 1000 tu kwa kulila malipo ya kwanza ya mwanzo wa mwezi

TANESCO HUDUMA KWA WATEJA

Makao Makuu
Nimeuliza swali ya tatu hii na hakuna majibu. Je kweli mmesoma mkakausha.

Niliuliza ensapo nina mita 3 za luku kwa jengo /plot moja ninalipiaje? Kwa kuchagua mita mojawapo au ni zote?

Kitu ambacho kitakuwa kulipia mara 3 jengo moja!
 
Back
Top Bottom