Mita imefanyaje tafadhali?
mita ipo juu ya nguzo hivyo natumia king'amuzi na king'amuzi chenyewe hakionyeshi unit zilizopo na mara ya mwisho unit zilikua 30,kinachoandika kila nikijaribu kuangalia ni error 77 na umeme hauwaki
 
HIVI NYIE TANESCO MNAJIELEWA KWELI,HII ADHA YA KUKATA UMEME BILA TAARIFA TENA MIDA YA JIONI KWA WAKAZI WA KIMARA ITAISHA LINI??,TATIZO LENU NI NINI,HIVI HAMJUI MNAWAPA WATU HASARA SANA...UMEME MMEKATA TOKA SAA KUMI NA MBILI KASORO NA MPAKA SASA HAMJARUDISHA NA HAKUNA TAARIFA KWELI๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ ๐Ÿ˜ 
 
Wakuu kusajili Mita ni mpaka TANESCO wenyewe? Yaani Kama ndio mteja mpya umefungiwa Mita sasa ule umeme WA kuanzia umeisha.
 
TANESCO kimara mwisho kote hakuna umeme usiku huu.
Nilisharipoti matatizo ya kukatika umeme humu nna post hata elfu moja kwamba Kimara kuna tatizo la kipekee la umeme kukatika na haswa line ya dawasco,matangini na tra na maeneo ya karibu.
Ni miaka sasa haipiti wiki bila umeme kukatika.
Tafadhali kama mnashindwa kutuwekea mtambo mpya utakaotupumzisha na madhila haya basi tuhamisheni line.
Lazima kuna shida huko ubungo sio bure.ni muda mrefu tunaripoti lakini miaka sasa!eneo kubwa kama kimara tunawalipa hela ya maana kununua umeme lakini mnakata halafu
ukienda vijijini huko kusikokuwa na matumizi makubwa ya umeme ndiko umeme uko stable.huku ambako tanesco inaingiza hela nyingi sababu ya wateja wenye matumizi makubwa ndio hamututhamini,hakuna huduma bora!
Jiji la dar na vitongoji vyake ndio linaongoza kwa matatizo ya umeme.and yet sisi ndio tunasababisha nyie muendeshe shirika lenu kwa mchango mkubwa kutokana na matumizi yetu.Msipoiweza Dar mtaweza wapi?!vipaumbele vyenu ni vipi?!mko bize kusambaza umeme vichochoroni huko lakini hapa penye uhitaji mkubwa wa umeme hapana huduma bora,mnaharibu kazi za watu kila siku!
Hivi nyinyi hamuishi huku mitaani?!hii kero hamuioni?!
Huu ni mchezo gani miaka tangu 2012 wimbo ni huu huu?!
Aliyeiroga hii nchi sijui katumia uchawi wa wapi!aibu na inasikitisha sana.
Sawa tanesco,mie ntafunga biashara zangu ntanunua costa niehamishie hela yangu kwenye petrol maisha yaendelee.sijui nyinyi mnafaidika nini na huu upuuzi mnaoendelea nao!huu ni upuuzi!ni umaskini wa kichwani mnao huko!kila siku tanesco tanesco tanesco!hovyo kabisa nyinyi!
 
Tunafatilia taarifa zako kwa hatua zaidi tafadhali
Leo nimewapata watu wa Mkuranga wamenifahamisha kuwa bado vifaa (meter) hawajaletewa kutoka makao yao makuu ambayo ni kibaha,

Niendelee kusubiria hadi itakapokuwa tayari, kwa jibu la haraka ninaelekea kufikia siku ya 60, kimkataba tu kisheria makubaliano niliyopewa kabla sijalipia niliambiwa ndani ya siku 30, tayari mmeshauvunja.

Ombi langu kwenu naombeni namba ya watu wa kibaha niweze kuhangaika nao mwenyewe pengine nyinyi mpo busy mnahudumiwa watu wengi hamuwezi kukumbuka yupi amekaa sana yupi amewahi,
Naombeni niwapunguzie huo mzigo wa kufatilia nisaidieni hiyo namba ya kibaha niwe nafanya followup mwenyewe,

Sikutarajia huduma ya umeme unaweza nichukua mwaka mzima kufatilia, lakini nikiangalia kuna baadhi ya watu wanajenga nyumba wanaprocess umeme hata mwezi haufiki wanakuja kuwekewa,

Jina: Johnson mgaya
Simu: 0768900531
Eneo: mkokozi
Wilaya: mkuranga
Tatizo: kuungaishiwa umeme
Muda: siku 30 zimeshapita tangu nilipie umeme
Mazingira: nguzo ipo mlangoni kwangu.
 
Mkoa wa mbeya simu hazipokelew napiga simu had nachoka. Umeme hauwak nyumban siku ya tano leo lakini kwa majirani ambao tunatumia nguzo moja unawaka, pia unit zipo na socket breaker ipo vizur nahitaji msaada wa haraka leo siku ya tano bila umeme
JINA ATU TETE
ENEO ISYESYE KARIBU NA MWAKASOLE LODGE
NO. 0758220085
Namba ya ripot 1577
 
Hii app haifanyi Kazi. Ni kwangu tu au kwa wote?! Nili uninstall na ku install upya lakini bado
Screenshot_20210417-114439_1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210417-114439.jpg
    Screenshot_20210417-114439.jpg
    38.5 KB · Views: 2
Mkoa wa mbeya simu hazipokelew napiga simu had nachoka. Umeme hauwak nyumban siku ya tano leo lakini kwa majirani ambao tunatumia nguzo moja unawaka, pia unit zipo na socket breaker ipo vizur nahitaji msaada wa haraka leo siku ya tano bila umeme
JINA ATU TETE
ENEO ISYESYE KARIBU NA MWAKASOLE LODGE
NO. 0758220085
Namba ya ripot 1577
Je, namba ya taarifa umeipataje? Tunaomba namba unayopiga na kuikosa tafadhali huku tukifatilia swala lako.
 
Je namba ya taarifa umeipataje? Tunaomba namba unayopiga na kuikosa tafadhali huku tukifatilia swala lako
Namba ya taarifa niliipata jumatano usiku baada ya kupiga simu kwa muda mrefu nlipojaribu usiku ndo ikapokelewa ila tangia nmepewa hyo no nikpiga simu kuwakumbusha haipokelewi na wakat mwingine haipatikani kabisa.

No yenyew hii +255252504219
 
Namba ya taarifa niliipata jumatano usiku baada ya kupiga simu kwa muda mrefu nlipojaribu usiku ndo ikapokelewa ila tangia nmepewa hyo no nikpiga simu kuwakumbusha haipokelewi na wakat mwingine haipatikani kabisa
No yenyew hii +255252504219
Tumepokea taarifa kwa hatua zaidi
 
TANESCO, kwanini mnakatakata umeme sana huku Kigamboni mpaka nakosa raha ya kukaa huku? Mnatuchukuliaje hasa aisee? Mnakata as if hatustahili kupewa notisi kabla ya kukata umeme?
 
Tanesco rekebisheni upande mteja anapopata changamoto ya urekebishaji mashine ya luku inapohitaji matengenezo kutakiwa muhusika aliyeomba awali umeme kutakiwa kiwepo wakati kifaa ninatumika na luku hunua mtu mtu kwenye matengenezo ya kifaa chenu kinapokuwa na hitilafu mpaka mwombaji wa awepo hii sio sawa rekebisheni hapa hili
 
Back
Top Bottom