Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,379
- 8,849
Kwanini msiruhusu wawekezaji kwenye mita kama nyie zinawashinda? Mama kasema mnapokwama ombeni msaadaTANESCO mnatuangusha sana...nimejenga nyumba ya kupangisha nimemaliza nasubiri umeme wapangaji waingie lakini TANESCO KIGAMBONI hawaeleweki nimelipia kila kitu...nikiiangalia nyumba naumia sana ...