TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
- Thread starter
- #5,621
Tafadhali soma maelezo yetu vizuri utaelewa kuwa haulipii nguzo bali unalipia kuunganishiwa umeme.nyumba yangu iko serengeti. nahitaji nguzo moja tu lakin nambiwa nahitaji kulipia nguzo kwa bei ga zaid ya laki tatu mbali na vifaa vingne. nguzo tu achana na mita
Sent using Jamii Forums mobile app