kandamatope
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 589
- 627
Kaka hutajibiwa n'go , watakaojibiwa na kuhudumiwa ni wale wenye fedha zao na mamlaka mbalimbali serikalin. We kaa ukisubiri.Kwa jina naitwa ABBASY KAPERA Mimi naishi Mkoa wa tanga WILAYA ya Korogwe kata ya Kilole mtaa wa mikoroshini ombi langu kwenu kutuletea umeme watu yupo wengi tunaohitaji umeme kwanini msitulelee kama mradi ili wananchi tupate umeme na nyinyi mpate mapato Kwa maana Mimi peke yangu nguzo zaidi ya tano ni gharama kubwa sana ukilinganisha na kipato changu alafu mtu ukivuta wengine wanavuta kiulaini kwann sasa msilete kama mradi au nini kifanyike tuletewe kama mradiView attachment 940735
Umelipa kwa jina gani?tarehe na eneo gani tafadhaliTanesco Kigamboni, WARASIMU naomba mnirudishie hela yangu nikanunue solar hamtaki kuniunganishia umeme. Tanesco Makao Makuu mme kaa kimya naona mshirikiana na tawi lenu Tanesco hamtaki kunihudumia.
JinaNimeharibikiwa na mita ya Luku Sikh ya 3 Leo nafatilia Tanesco mpk sasa hawajaja kuibadilisha na kwa mujibu wa kitengo chao cha Technical support Mikocheni wanadai mita za Luku zimeisha na hawajui lini zitapatikana. Naomba tupewe utaratibu tufanyaje kuliko kutulaza gizani Sikh ya 3 .
Nilishataja jina,eneo ninalo ishi , mpaka namba yangu ya simu nimetoa humuhumu JF lakin sijapata huduma yeyote ni takriban miezi 4 Sasa utafikiri ninapewa huduma bure. Nimefunga mkanda na familia yangu kutafuta hicho kiasi, ili nipate huduma ya kuunganishiwa umeme kwa wakati lkn wapi. Tanesco Kigamboni ni tatizo sana, mbona mikoa mingine hawafanyi hivyo. Tanesco Makao Makuu inaelekea mnalifumbia macho au mnashirikiana nao kutenda maovu wanayofanya. Maana hakuna utatuzi.Umelipa kwa jina gani?tarehe na eneo gani tafadhali
Mnavyodai matatizo wakati hamyashuhulikiiNini tatizo mpendwa mteja wetu
Tanesco nasubiri feedback ya hili swalaTANESCO naombeni maelezo kwenye hili swala la tariffs mfano kuna mtu anatumia umeme mkubwa but still yupo tarrif 4 ila mm nina nyumba ina room 3 situmii fridge wala jiko la umeme but nimejikuta nimehamishwa kweny tarrif 1 ukizingatia kwa mwezi matumiz yangu ya umeme nimadogo mno