kandamatope
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 589
- 627
Mgao wa umeme naona ratiba imebadilika? Tabata dampo juzi umeme umekatwa ,jana umeme umekatwa na leo umeme umekatwa
Sasa ile ratiba ya j,nne na j,tano haipo tena sasa imeletwa nyingine mbaka leo alhamisi umeme hakuna tena
Toeni taarifa rasmi wananchi tujue mgao huu mpya unakwenda mbaka lini?
Sasa ile ratiba ya j,nne na j,tano haipo tena sasa imeletwa nyingine mbaka leo alhamisi umeme hakuna tena
Toeni taarifa rasmi wananchi tujue mgao huu mpya unakwenda mbaka lini?