Kwani hii ni nchi nzima au ni kwa dar tu?. .yani huduma kwa wateja hiiKimya kuhusu nini mpendwa mteja wetu
Wilaya ganiNimelipia umeme toka mwezi wa toka tarehe 28/8/2018 mpaka sasa hawajaniingizia kila nikimfuata meneja anadai nguzo bado hazijafika,je nitumie mbinu gani wakuu nipate umeme haraka,mwenye maoni na ushauri anisaidie jamani,nimechoshwa na giza.
Wilaya ya mbinga,mkoa ruvuma,simu 0769441442 jina SELEMAN MABINA NDUTTUWilaya gani
Namba ya simu
Jina ulilolipia
Yani kero hiyo ni kama mm huku masasi...nimelipia tangu mwezi wasita hadi leo wanakwambia nguzo hazijafika...kwani tanesco mtabadilika lini mbona huduma haziboreshwi?...mnashindwaje kuagiza nguzo kwa wakati wananchi tukapata huduma?...ni shirika la ajabu cjawah ona yani...imefika wakati sasa kila mkoa ujitegemee ili angalau huduma ziwe bora na kwa wakati tunapata tabu hadi tunachukia nchi jamaniiNimelipia umeme toka mwezi wa toka tarehe 28/8/2018 mpaka sasa hawajaniingizia kila nikimfuata meneja anadai nguzo bado hazijafika,je nitumie mbinu gani wakuu nipate umeme haraka,mwenye maoni na ushauri anisaidie jamani,nimechoshwa na giza.
Asanteni kama mnaongea ya ukweliTumepokea taarifa yako kwa hatua zaidi mpendwa mteja tunaomba uvumilivu huku tukifanyia kazi swala lako
Yaani mpaka unajilaumu kwa nn ulilipa hiyo pesa nibora ningebakinayo nikafanyia biashara laki tatu na ushee nyingi sana kwa kipindi hikiYani kero hiyo ni kama mm huku masasi...nimelipia tangu mwezi wasita hadi leo wanakwambia nguzo hazijafika...kwani tanesco mtabadilika lini mbona huduma haziboreshwi?...mnashindwaje kuagiza nguzo kwa wakati wananchi tukapata huduma?...ni shirika la ajabu cjawah ona yani...imefika wakati sasa kila mkoa ujitegemee ili angalau huduma ziwe bora na kwa wakati tunapata tabu hadi tunachukia nchi jamanii
Umelipa tarehe ngapiYani kero hiyo ni kama mm huku masasi...nimelipia tangu mwezi wasita hadi leo wanakwambia nguzo hazijafika...kwani tanesco mtabadilika lini mbona huduma haziboreshwi?...mnashindwaje kuagiza nguzo kwa wakati wananchi tukapata huduma?...ni shirika la ajabu cjawah ona yani...imefika wakati sasa kila mkoa ujitegemee ili angalau huduma ziwe bora na kwa wakati tunapata tabu hadi tunachukia nchi jamanii
Ni kweli kabisa wanaboa sanaaaa...then kuna ubaguzi mkubwa sanaa hususani kwa tuliokuwa pembeni mwa nchi...jamanii wamwambie mkurugenzi wao na sisi huku tunahitaji huduma hiyo kama sehemu zingine...mbona idara ya maji wako vizuri sanaaa hata kama vifaa vimekwisha haichukui muda mrefu vinaagizwa then wateja mnapata huduma kwa wakati lakini sio tanesco...unasubiri umeme miezi nane hadi mwaka c maajabu hayo.....nawachukia sanaaaaaYaani mpaka unajilaumu kwa nn ulilipa hiyo pesa nibora ningebakinayo nikafanyia biashara laki tatu na ushee nyingi sana kwa kipindi hiki
Bora umesaidikaTANESCOOOOOOOOOOOO, TANESCOOOOOOOO, nililalamika humu, nikaombwa no yangu ya mawasiliano ,nikawapa wakanijibu. Jibu lao LIMETEKELEZWA LEO. ahsanteni ! Sana chapeni kazi.
Mkokozi oyeeeee, TANESCO oyeeee mnastahili makofi matatu pa pa pa.
Hakika, Mara ya tatu, naandika wanajibu na kutatua tatizo.Bora umesaidika
Nina post ambayo wanaitazama tuHakika, Mara ya tatu, naandika wanajibu na kutatua tatizo.
Bado nataka kupata uhakika kwenuUmewasiliana nao kabla ya kuja huku?
Unadhani wao na sisi nani atakupa uhakika?Bado nataka kupata uhakika kwenu
Nyie ni watimiaji kama nilivo mimi inamaana hamna alie wahi kuingiza umeme humuUnadhani wao na sisi nani atakupa uhakika?
Nyie ni watimiaji kama nilivo mimi inamaana hamna alie wahi kuingiza umeme humu
Cwezi kuacha kufuatilia ila humu labda ndio utaratibu wao siku izi ndio maana nimeanzia hapa ili nipate pa kianzia.... safar ya kusaka haki iko pale paleIkitokea umekosa msaada humu utaacha kufuatilia ?