TANESCO
Official Account
- Jul 12, 2014
- 4,584
- 2,104
- Thread starter
- #4,881
Ndugu mpendwa mteja wetuTanesco fundisheni watumishi wenu kutoa huduma kwa wateja ipaswavyo. Yaani waache udhani wa kuwa wananchi wanashida na wanatakiwa kuifikia tanesco iwe kinyume tanesco ndio yenye shida kwani wananchi wanaiongezea mapato na tanesco ndio iwatafute wananchi. Over
tunaomba ushikirikiano wa unacholalamikia ni nin?namba ya simu? Eneo? Tatizo ni nin tukuhudumie