Mkuu hata wakija hapa unadhani ndio watakubali kuwa kuna mgao, wakija watapiga porojo tuuh kuwa ni matengenezo kama walivyosema jana kwenye TV sijui gas ilikuwa inavuja lakini wamerekebisha ila sababu hawajui kuwa njia ya muongo ni fupi pamoja na kufix hiyo leakage ya gas ila umeme unaendelea kukatika kama kawa, so kama wakija kujibu hapa usitegemee jipya toka kwao mkuu, Nawaonea huruma sana watanzania haswa wale wenye biashara zinazotegemea nishati ya umeme.TANESCO Njooni huku kwenye uzi wa kawaida mtoe majibu, au anzisheni uzi wenu ili uunganishwe na huu ili mtoe majibu ya kuridhisha
Achana na huo wa sticker, watu wengi huwa hatusomi stickerUzi wanao mkuu
Yaan aibu....mnashinda kata 42 inatusaidiaje sisi tunaohitaji umeme kuendeshea shughuli zetu za kipato?sijaelewa bado.kila siku tunaomba radhi sijui kuna shida wapi....ina maana hawana uwezo wa kuiendesha Tanesco basi wapewe wawekezaji kwa ubia na serikali au la wahuruhusiwe wawekezaji kuna kuwekeza kwenye umeme nakwambia tutahama wote na tanesco itakufa kabisaacheni kelele chama kimepata ushindi was kishindo kata 42,
pia chama kimeweza kuwapokea wapinzani na bado Wapinzani 200 wanataka kujiunga nasi kwenye mkutano mkuu.
chama chetu kinapendwa sana na wananchi, hata wema na mamayake wako mbioni kurudi chamani.
na bado tuna mkakati was kusaka wanachama mitaani kwa kugawa fedha, vitisho, hata kwamtutu wa bunduki ili tuwe wengi zaidi ya Chadema.
hayo mnayosema sijui uchumi umesinya, sijui umeme hakuna shauri yenu.
Ni m.nge.se kabisa hii ni zaidi ya kero.Dr. Medard ni @#$%&#@!
Yaani hadi kero... mtu unasema upumzike home mara paap umekatika...saa 4 kamili tabata ushakatika. ngoja tuone utarudi saa ngapi? mkurupukaji ni mkurupukaji sana...laiti kama angejua asingetafuta kiki kwa profesa muhongo. yule profesa kweli siyo profesa wa maganda ya korosho.
Watu wasijulikana wanajua sababu zisizojulikana za matatizo ya kukatika kwa umeme kwa muda usiojulikana.Wakuu huu mgao wa umeme wa siri siri japo unaonekana kwa macho.. Nasema wa siri kwasababu huana maelezo ili watu tujipange kwa kununua ma generator.. Kwa mfano huku mbeya umeme ni kawaida kukatika sa mbili hasubuhi na kurudi sa tano usiku.. Ikumbukwe umeme kwa hii miaka ni muhimu sana kwa shughuli za viwanda vyetu vidogo vidogo kama saloon, welding n.k
Swali nnalo jiuliza ni nani wa kutumbuliwa kwa huu uzembe wa mgao wa umeme usio na kifani? Maana kama kutumbua kwenye sector ya umeme tumetumbua sanaaa hivi sahivi ni zamu ya nani!?
Na anayejua sababu ya umeme kukatika na huu mgao wa kutisha ni ipi?
nchi ya viwonder
Nchi ya condom inatabu sana. Imagine uko kwenye treni halafu umeme unakatikia kibaha porini huko
Oksamahani mkuu,hiyo old forest sikuiona
Inawezekana usemacho ni kweli kwanini wasitoe taarifa?Huu si mgao bali kuna shida kwenye grid ya taifa,
ambayo kwa leo imezima kama ilivyotokea jana
watu wapo kazini wanaendelea kurekebisha.
Ikumbukwe kuwa grid ikitoka umeme unakatika
karibia nchi nzima namaanisha mikoa yote
iliyounganishwa kwenye gri ya taifa.
Ahsante mkuu kwa busara zako