TANESCO kuzima Umeme siku 2 kwa saa 12 (Agosti 26 -28 2023), Mikoa 15 gizani

TANESCO hawana shida, shida ni serikali ya CCM wamelifanya hilo shirika shamba la bibi.
 
kwa dhati kabisa ccm walishashindwa kuiongoza hii nnchi wamebaki kutumia mabavu yaani mkoa wa njombe, mbeya, mkoa wa ruvuma mito yote tuliyonayo tunashindwa kua na mbadala wa umeme yaani umeme utadhani unaagizwa toka china wananuka rushwa toka bandari mpaka tanesko, kamwe hatuwezi kua na umeme wakueleweka kwakusubiri ilani ya wajinga itutoe hapa tulipo kamwe, facken kabisa hawa wakoloni weusi.
 
Tanesco wanafeli Sana nadhani wangejitokeza competitors wengine ingekuwa poa
Mbona mwakataa wawekezaji Toka nje.wa TZ wenye pesa wanawaza kuwekeza baa na night club au hotel 🤣🤣🤣🪑
 
Umeme utakatwa usiku wa tarehe 26 kuamkia 27(1) na 27 kuuamkia 28(2), sasa hiyo ya tatu ni ipi! JF imekuwa ya hovyo kumejaa wajuaji.
Wewe unajua nini cha maana kwani?

Kama nchi yenye viongozi makini na wanaotumia akili kuendesha maswala ya nchi, unadhani kuna uhalali wowote wa karibu ¾ ya nchi kuwa gizani kwa siku mbili mfululizo na siku zote hizo shughuli zote za uzalishaji mali za wananchi zikiwa zinesimama??

Hizo Kodi na tozo ambazo serikali inazitaka kutoka Kwa wananchi itazipataje eti? Na Je, kama nchi Ina maana hatuna alternative power Kila inapotokea dharula kama hii?
 
Wewe unajua nini cha maana kwani?

Kama nchi yenye viongozi makini na wanaotumia akili kuendesha maswala ya nchi, unadhani kuna uhalali wowote wa karibu ¾ ya nchi kuwa gizani kwa siku mbili mfululizo na siku zote hizo shughuli zote za uzalishaji mali za wananchi zikiwa zinesimama??

Hizo Kodi na tozo ambazo serikali inazitaka kutoka Kwa wananchi itazipataje eti? Na Je, kama nchi Ina maana hatuna alternative power Kila inapotokea dharula kama hii?
Jibu langu lilihusu sisi kufanywa wajinga kwa madai ya tarehe 26 , 27 na 28 usiku kuwa ni siku tatu wakati uzimaji utafanyika tarehe 26 na 27 usiku tu na uwashaji utafanyika tarehe 27 na 28 asubuhi.

Jibu hili lilikuwa kwenye Post ya mtu mwingine iliyounganishwa kwenye Post ya mtu mwingine
 
Tunajua hizo ni ajenda za wenye fedha kuzima umeme ili wauze mafuta, majenereta kwa wingi...msije sema sikuwaambia ...zoezi hilo litakua ni endelevu kwa miezi isiojulikana.....RIP Magufuli enzi zako tulisahau giza
Hii ni Moja ya propaganda za kitoto sana, jenereta ni shilingi ngapi kiasi hao mnaowashutumu wazime umeme wa viwanda kwa ajili ya kuuza majenereta kwa siku 3 pekee?

Yaani mfano Mo biashara zake zinahitaji umeme kila siku ila eti akiuza majenereta ndio atafidia hasara ya kukosa umeme kwenye viwanda vyake? Embu tuweni serious basi.

Cc The Boss
 
Jiulize mvua zote zilizonyesha mwaka huu .....wanakosa kisingizio sasahivi wanasingizia marekebisho....hakika aliyenacho ataongezewa na asiye nacho atapokonywa alichonacho ndio haya yanatukuta leo maana umeme ukishakua wa mgao yamaanisha sisi masikini tufe na umasikini wetu sababu bila umeme hakuna mzunguko wa fedha
Punguza utoto wako hapa nani kakwambia umeme wa Tanzania unategemea Maji? 75% ya umeme unategemea Gesi so kama hao unaowaita wahujumu umeme wangetaka kuleta mgao unaposema hapa wangeenda pasua mabomba ya gesi utatokea mgao wa miezi hata 6!! Ila eti wasifanye hivyo ila mgao wa siku mbili tu Tena wa kuunga Gridi ya Taifa ndio iwe hujuma?

JPM aliwaharibu ubongo nyie sio Bure
 
Wanaunganisha kituo Cha kupooza umeme huko Ifakara kwenye Gridi ya Taifa. Sasa sijui watu walitaka Gridi ya Taifa iwe ON huku umeme mkubwa hivyo ukihamishwa?
Si kuna control stations? Hivi unajua TANESCO wanaweza kuzima umeme nchi nzima wakauachia ktk wilaya moja tu hapa Tanzania? Grid ya taifa inaweza kuwa on na wakafanya matengenezo au kuhamisha watakavyo.
Tuache longolongo.
 
Punguza utoto wako hapa nani kakwambia umeme wa Tanzania unategemea Maji? 75% ya umeme unategemea Gesi so kama hao unaowaita wahujumu umeme wangetaka kuleta mgao unaposema hapa wangeenda pasua mabomba ya gesi utatokea mgao wa miezi hata 6!! Ila eti wasifanye hivyo ila mgao wa siku mbili tu Tena wa kuunga Gridi ya Taifa ndio iwe hujuma?

JPM aliwaharibu ubongo nyie sio Bure
Embu nitolee muhemko huko.. .bando langu usinipangie chakuandika
 
Shirika hilo la Umeme limesema njia ya umeme itakayozimwa ni kutoka Kidatu kwenda Kihansi kwa siku mbili kuanzia Agosti 26 hadi 28 2023

Umeme utakuwa wa mgawo kwa Saa 12 kuanzia Saa 1 Jioni hadi 12 Asubuhi huku Mikoa ya Njombe, Ruvuma na Mbeya ikitarajiwa kuathirika

Mikoa mingine ni Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Shinyanga, Kilimanjaro, Simiyu, Tabora, Mwanza, Geita na Iringa

Vipi Mdau, umejiandaaje kukabiliana na Mgawo huo?
Bodi imejaa Wahuni Bankers na Mwenyekiti wa Bodi CEO wa mchongo wa Big Result Now failed project Omar Isa na DG wa mchongo muuuza vifurushi vya Bongo movie pale DStv Ndugu Maharage Chande.Hatari sana!
 
Back
Top Bottom