BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Umeme utakuwa wa mgawo kwa Saa 12 kuanzia Saa 1 Jioni hadi 12 Asubuhi huku Mikoa ya Njombe, Ruvuma na Mbeya ikitarajiwa kuathirika
Mikoa mingine ni Dodoma, Singida, Manyara, Arusha, Shinyanga, Kilimanjaro, Simiyu, Tabora, Mwanza, Geita na Iringa
Vipi Mdau, umejiandaaje kukabiliana na Mgawo huo?