Tamko la wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM taifa

Kifo cha kujitakia hiki,huyu Ndungai alijidharaulisha mwenyewe kwa kukubali kutumika kiboya enzi za yule dhalim aliyeko motoni sasa, anavuna alichopanda

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Acha ujinga kwani nyinyi na huyo bibi yenu ni watakatifu wote ni majizi! Usifikiri Ndugai yuko mwenyewe ana watu nyuma yake! Mtajua hamjui mda si mrefu!
 
CCM mnaenda kufanya kosa mtakalojutia milele.
Mimi nasimama na Ndugai kulinda haki yake;

. 1. Kama raia kutoa mawazo yake hta kama ni pumba, katiba inampa uhuru huo
.
. 2. Kama spika Muhimili unaojitegemea anaweza ku CHECK AND BALANCE of executive order. Na anao huo wajibu na Haki kwa pamoja.

Mkifunga Mhumili moja mjiandae na Mahakama utadhibitiwa.


Logically ita display ya kuwa mama anataka kuwa DICTATOR.! (?)
Ndugu unasahau kwetu huku siasa ni kazi ya watu wengi walio masikini. Wao wanawazia matumbo yao na ya familia zao hayo mengine yatajipanga yenyewe.
 
Angenyang'anywa kadi ya uanachama na uspika ungekoma. Baada ya hapo ukumbuke kuna kufilisiwa hasa zile mali alizopata kwa njia zisizo halali. Kuna kesi za uhujumu uchumi zingemfuatia.

Ameona mbali sana kwa kuja kutubu mbele ya hadhara kabla mambo hayajamwaribikia. Baadae mngeanza kumcheka unajua sisi Watanzania ni wanafiki sana
Si ilishatungwa sheria kuwa spika hashtakiwi
 
Acha ujinga kwani nyinyi na huyo bibi yenu ni watakatifu wote ni majizi! Usifikiri Ndugai yuko mwenyewe ana watu nyuma yake! Mtajua hamjui mda si mrefu!
Unawajua ccm vizur wewe? kuna mtu alikua na nguvu kama Lowassa? na tukaaminishwa kwamba atameguka na kundi la maana,lakini kilichomkuta si unakijua? hao ndo ccm,huyo ndugai akila chuma atajikuta yuko yeye na familia yake tu.
 
Acha tunywe beer
afaf241fb27949aea577a78ca71e1dc8.jpg
 
CCM mnaenda kufanya kosa mtakalojutia milele.
Mimi nasimama na Ndugai kulinda haki yake;

. 1. Kama raia kutoa mawazo yake hta kama ni pumba, katiba inampa uhuru huo
.
. 2. Kama spika Muhimili unaojitegemea anaweza ku CHECK AND BALANCE of executive order. Na anao huo wajibu na Haki kwa pamoja.

Mkifunga Mhumili moja mjiandae na Mahakama utadhibitiwa.


Logically ita display ya kuwa mama anataka kuwa DICTATOR.! (?)
Mlifikiri wanaoimba katiba mpya wajinga?
 
Poor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa opponent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza

Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya.... hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! Aliyekuwa nunda kwa JK
Ayub alishajimaliza kisiasa toka 2015. Wakati Prof Assad (CAG) alipohoji matumizi mabaya ya fedha Za Serikali bila idhini ya Bunge, alikaa kimya akamuundia zengwe na kumdhalilisha Assad hadi akafukuzwa na JPM kwa kufanya hivyo muhimili wa Bunge ukafa ukabaki muhimili mmoja tu.

Leo hii Ayub anashtukia mazingira yale yale aliyosaidia kuyatengeneza kama vile siyo mshirika. Nashauri ajiandae kisaikolojia kwa yafuatayo;
1. Gharama Za matibabu zilizoibuliwa na Ripoti ya CAG,
2. Kukiuka Katiba ya nchi kwa kujiwekea kings ya kutoshtakiwa,
3. Kukiuka katiba kwa kuwaingiza bungeni wabunge wasiokuwa na chama.
It is a catch 22 situation for him, either way he is going to sink to the bottom and sadly he will not be missed.
 
🔰 TAMKO LA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA

🟢 Leo Tarehe 5 Januari,2022 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi

🟢 Eneo Ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam

#NyukiWaMama

View attachment 2068957
Nimeona sehemu kumbe Mama ndiye alikuwa mtoa siri za Ikulu enzi za Dkt Magufuli, na ndiyo maana Kigogo na Mange hawana namna maana mnyetishaji wao ndiye kawa rais so hawana mpya
 
Muhimili wenye sauti Tanzania ni mmoja tu, hiyo mihimili ingine miwili imemezwa na ule muhimuli mkubwa
 
Nimeona sehemu kumbe Mama ndiye alikuwa mtoa siri za Ikulu enzi za Dkt Magufuli, na ndiyo maana Kigogo na Mange hawana namna maana mnyetishaji wao ndiye kawa rais so hawana mpya
Mnafiki wewe.....

Usipomtii mwenyekiti wako UNAJIMALIZA MWENYEWE KISIASA.....

SIEMPRE CHIEF MKUU HANGAYA🙏
 
Hata waseme nini, mtu hawezi akakopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati tena bila ruhusa ya bunge, hii haikubaliki, maana tunaweza kuja kupigwa mnada namna hii, hili lazima litaondoka na mtu!
 
Back
Top Bottom