Angenyang'anywa kadi ya uanachama na uspika ungekoma. Baada ya hapo ukumbuke kuna kufilisiwa hasa zile mali alizopata kwa njia zisizo halali. Kuna kesi za uhujumu uchumi zingemfuatia.Poor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa oppornent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza...
Hayo ndio malipo ya unafikiPoor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa oppornent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza
Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya....hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! aliyekuwa nunda kwa JK
... huwa wanasikilizia msimamo wa mwenyekiti kwanza halafu matamko yao yanakuwa na uelekeo huo huo. Ukifanya correlation analysis unapata the maximum possible (+1) ; yaani perceptions zao ni completely sawa na za mwenyekiti! Very funny!Hatari sana, Wajumbe nao wanataka kupigilia msumari
Ndugai kakosea mno, yeye ni muhimili tofauti na wa Chief Hagaya, hii ya kuomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili ndio naiona kwa Ndugai....upuuzi huo usingeuona kwa Marehemu Samuel SittaNdugai alifanya kosa la kiufundi Sana kuomba msamaha. Maana msamaha wake haujapokelewa na amekuwa labeled Ni adui.
Umelenga mule mule hawa watu cjui wapoje aisee huwa wanaenda na upepo wa mwenyekiti wao... huwa wanasikilizia msimamo wa mwenyekiti kwanza halafu matamko yao yanakuwa na uelekeo huo huo. Ukifanya correlation analysis unapata the maximum possible (+1) ; yaani perceptions zao ni completely sawa na za mwenyekiti! Very funny!
AjiwahiWamwambie ndugai ajiuzulu kabla ya kumfukuza
Hayo ndio malipo ya unafiki