Mhafidhina 2
Member
- Jan 23, 2021
- 13
- 7
🧐🧐🧐Ngoma imenoga. Job kufa nao wale Covid -19 usikubali kufa peke yako 😂
🧐🧐🧐Ngoma imenoga. Job kufa nao wale Covid -19 usikubali kufa peke yako 😂
Heri yao watumiao fursa vema kwa maana ufalme wa dunia ni wao. Shimo la mbwembwe si la mmoja.🔰 TAMKO LA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
🟢 Leo Tarehe 5 Januari,2022 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi
🟢 Eneo Ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
#NyukiWaMama
View attachment 2068957
Kadi inachukuliwa...Kumuunga mkono mama.
Muda ni muamuzi mzuriAjiwahi
CCM mnaenda kufanya kosa mtakalojutia milele.
Mimi nasimama na Ndugai kulinda haki yake;
. 1. Kama raia kutoa mawazo yake hta kama ni pumba, katiba inampa uhuru huo.
. 2. Kama spika Muhimili unaojitegemea anaweza ku CHECK AND BALANCE of executive order. Na anao huo wajibu na Haki kwa pamoja.
Mkifunga Mhumili moja mjiandae na Mahakama utadhibitiwa.
Logically ita display ya kuwa mama anataka kuwa DICTATOR.! (?)
Dunia tunapita. NO SITUATION IS PARMANENT IN THIS COUNTRY. Alipo Sasa anaomba Lisu amsammehe, lakini hasikii sauti yake. Tuwe tayari kupokea katika Hali yeyote itakayomkumba Mara baada ya saa tano.Poor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa oppornent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza
Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya....hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! aliyekuwa nunda kwa JK
... ndio hivyo Mkuu; hii inaashiria wahusika hawana fikra huru.Umelenga mule mule hawa watu cjui wapoje aisee huwa wanaenda na upepo wa mwenyekiti wao
😠😠😠 Ungemhukumu Ndugai na sio kabila.Hawa wagogo ni Watu wa ajabu sana hawajifunzi!! Malecela nae alifanya makosa kama haya haya wakati wa MUSSA ;matokeo yake akaandikiwa kitabu na ndoto zake za URAIS zikazimika!!
Mimi huwa naskia serikali ina mihimili ila sioni kama zipo huru... ndio hivyo Mkuu; hii inaashiria wahusika hawana fikra huru.
Ndugai mnamuonea bure kumlaumu kwa kuomba msamaha; msamaha ambao umedharauliwa na kutupiliwa mbali! Hana uwezo huo wa kufikiri - pros and cons za kufanya au kutofanya.Ndugai kakosea mno, yeye ni muhimili tofauti na wa Chief Hagaya, hii ya kuomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili ndio naiona kwa Ndugai....upuuzi huo usingeuona kwa Marehe Samuel Sitta
... kwamba mihimili iko huru hizo ni theory tu kwa Tanzania; practically ni quietly different.Mimi huwa naskia serikali ina mihimili ila sioni kama zipo huru
Unafiki unamtafuna.Poor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa opponent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza
Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya.... hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! Aliyekuwa nunda kwa JK
Poor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa opponent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza
Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya.... hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! Aliyekuwa nunda kwa JK
Kuna namna ya kumuondoa sipika sio kwa kumnyang'anya kadi ya chama.Angenyang'anywa kadi ya uanachama na uspika ungekoma. Baada ya hapo ukumbuke kuna kufilisiwa hasa zile mali alizopata kwa njia zisizo halali. Kuna kesi za uhujumu uchumi zingemfuatia.
Ameona mbali sana kwa kuja kutubu mbele ya hadhara kabla mambo hayajamwaribikia. Baadae mngeanza kumcheka unajua sisi Watanzania ni wanafiki sana
Anakwenda kuchinjwa mtu leo
HaaaahaaaNgoma imenoga. Job kufa nao wale Covid -19 usikubali kufa peke yako