johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,076
Makamu mwenyekiti wa CCM Komredi Kinana leo amefungua Seminar ya mafunzo kwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM.
Komredi Kinana amewataka Wajumbe hai Kuwa Wabunifu na Wazalendo wa kweli ili kukifanya Chama kiaminike kwa wananchi na kiendelee Kuwa Imara.
Komredi Kinana amewataka Wajumbe hai Kuwa Wabunifu na Wazalendo wa kweli ili kukifanya Chama kiaminike kwa wananchi na kiendelee Kuwa Imara.