MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,228
- 2,418
Uzuri wake kuchinjwa ni kwa zamu, hata wao zamu yao itafika!Anakwenda kuchinjwa mtu leo
Uzuri wake kuchinjwa ni kwa zamu, hata wao zamu yao itafika!Anakwenda kuchinjwa mtu leo
Hakuna precedent yoyote mpya, mambo yamekuwa hivyo siku zoteMsishangilie huu upumbavu. Ni “shithole” countries tu Mhimili mmoja unaweza kuuchachafya mwingine left right and center na life likasonga as if hakuna kilichotokea
Hii ni precedence ya hatari sana inawekwa.
IngependezaKo alipaswa kuwa kama akina Nancy Pelosi enzi za Trump
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
Speaker kutukanwa vile na potentialy kutupwa nje? Hii ni mpyaHakuna precedent yoyote mpya, mambo yamekuwa hivyo siku zote
Ngoma imenoga. Job kufa nao wale Covid -19 usikubali kufa peke yako 😂
Mshahara wa ndugugay unatoka wapiNdugai kakosea mno, yeye ni muhimili tofauti na wa Chief Hagaya, hii ya kuomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili ndio naiona kwa Ndugai....upuuzi huo usingeuona kwa Marehe Samuel Sitta
Ndugai kakosea mno, yeye ni muhimili tofauti na wa Chief Hagaya, hii ya kuomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili ndio naiona kwa Ndugai....upuuzi huo usingeuona kwa Marehe Samuel Sitta
Unafiki tuKumuunga mkono mama.
Alitakiwa kumvimbia mamaake eti?Poor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa opponent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza
Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya.... hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! Aliyekuwa nunda kwa JK
Chama kikishakugeuka tena huna lako. Ubunge, uspika, ujembe wa NEC kila kituKumuunga mkono mama.
Ukisia NYUMBU ndio hao...akishatumbukia mtoni mmoja bhaas, wengine wote wanafuata bila kutafakari lolote wala chochote...hao ndio ccm.huwa wanasikilizia msimamo wa mwenyekiti kwanza halafu matamko yao yanakuwa na uelekeo huo huo.
Mkuu inawezekana walimlengesha kua aombe ili mambo yaendesawa matokeo yake mama kafanya kisichotarajiwa.Ndugai kakosea mno, yeye ni muhimili tofauti na wa Chief Hagaya, hii ya kuomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili ndio naiona kwa Ndugai....upuuzi huo usingeuona kwa Marehe Samuel Sitta
Haahahaaaa.....#NyukiWaMama
Hawa watu...Wakati bado watanzania wakiwa wanajadili hotuba ya Mama Samia Rais wa JMT,mambo yanazidi kupamba moto,wajumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM wanatarajia kutoa tamko lao leo saa tano, januari 5,yaani dakika chache zijazo.....Stay tuned!!
View attachment 2069080
Watamuunga Mkono SPIKA KIPENZI CHAO aliyewapatia WABUNGE 19 KUTOKA UPINZANITAMKO LA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA
🟢 Leo Tarehe 5 Januari,2022 kuanzia Saa 5:00 Asubuhi
🟢 Eneo Ofisi ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam
#NyukiWaMama
View attachment 2068957