Tamko la wajumbe wa halmashauri kuu ya CCM taifa

Alifukuza wabunge wa cuf bila sababu na akawakaribisha wabunge wa chadema kinyume! Chezea kitu ingine siyo ndugai na huna la kumfanya
 
Msishangilie huu upumbavu. Ni “shithole” countries tu Mhimili mmoja unaweza kuuchachafya mwingine left right and center na life likasonga as if hakuna kilichotokea

Hii ni precedence ya hatari sana inawekwa.
Hakuna precedent yoyote mpya, mambo yamekuwa hivyo siku zote
 
Hakuna precedent yoyote mpya, mambo yamekuwa hivyo siku zote
Speaker kutukanwa vile na potentialy kutupwa nje? Hii ni mpya
1DCB9C4F-48A5-428E-9851-E832E3A1108A.jpeg
 
Ndugai kakosea mno, yeye ni muhimili tofauti na wa Chief Hagaya, hii ya kuomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili ndio naiona kwa Ndugai....upuuzi huo usingeuona kwa Marehe Samuel Sitta
Mshahara wa ndugugay unatoka wapi
Ndugai kakosea mno, yeye ni muhimili tofauti na wa Chief Hagaya, hii ya kuomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili ndio naiona kwa Ndugai....upuuzi huo usingeuona kwa Marehe Samuel Sitta
 
Nawakumbusha tu wajumbe wa NEC-CCM ndio wajumbe wa kikao cha juu kabisa cha maamuzi ndani ya CCM.
 
Poor Ndugai, ulikosea sana kuomba msamaha ona sasa opponent(s) wako (mama na chawa wake) wanavyoenda kukumaliza

Speaker ni mtu mzito sana, sio wa kuomba msamaha kirahisi rahisi (kizembe zembe), ulipaswa kuendelea kuwa nunda (kuvimba) hata kama ungelikuwa umekosea kweli, kitendo chako cha kuomba msamaha kimempa nguvu Chief Hagaya.... hukujifunza hata kwa Marehemu Samuel Sitta!?! Aliyekuwa nunda kwa JK
Alitakiwa kumvimbia mamaake eti?
 
huwa wanasikilizia msimamo wa mwenyekiti kwanza halafu matamko yao yanakuwa na uelekeo huo huo.
Ukisia NYUMBU ndio hao...akishatumbukia mtoni mmoja bhaas, wengine wote wanafuata bila kutafakari lolote wala chochote...hao ndio ccm.
Hovyo kabisa!
 
Ndugai kakosea mno, yeye ni muhimili tofauti na wa Chief Hagaya, hii ya kuomba msamaha kwa mkuu mwenzie wa muhimili ndio naiona kwa Ndugai....upuuzi huo usingeuona kwa Marehe Samuel Sitta
Mkuu inawezekana walimlengesha kua aombe ili mambo yaendesawa matokeo yake mama kafanya kisichotarajiwa.

Naiona ajali kubwa yakisiasa inaenda kumkuta

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Wakati bado watanzania wakiwa wanajadili hotuba ya Mama Samia Rais wa JMT,mambo yanazidi kupamba moto,wajumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM wanatarajia kutoa tamko lao leo saa tano, januari 5,yaani dakika chache zijazo.....Stay tuned!!
A0213976-51F2-4B3A-ABB8-646237EF540D.jpeg
 
JOB Ndugai is a century Idiot, mzee mzima kuzidiwa maarifa na kijana kama Polepole ni aibu kwake…
 
Back
Top Bottom