juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,040
msingeweka ushahidi mzito kama huu kwenye mtandao....nani ajuaye atakayehonga Vodacom wasitoe ushirikiano?
wakihongwa basi huyo afisa wa voda aliyehongwa,aliyemhonga,namna alivyohongwa,tarehe,saa na details zote za tukio vitawekwa hadharani.hata wakifuta details na kubadilisha data kuwaokoa hawa mafisadi tukio hilo litatajwa hadi tarehe na data zilizobadilishwa,aliyebadilisha na alivyobadilisha na aliyemtuma,tangu anaamka asubuhi alikunywa chai na nini,chezea nguvu ya umma wewe?watu wameamua kutetea nchi yao hawana maskhara hata kidogo!