Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
hata huyo LWaka ni haohao TISS, kinachofanyika hapa ni counter-punching tu

CHADEMA naona wamebana kende za Lwaka huku wanamkumbatia, akiinama-akiinuka ngoma iko vilevile tight

Hii kitu imeshakaa vibaya kwa system, maana hata Lwaka alikua akitegemea kutimiza wajibu basi kazi inakua ngumu sana

Naamini (sikua naamini hivyo hapo awali) kwamba kumtosa Lwaka kungeidhoofisha zaidi hoja ya chadema kwamba TISS ndio playmakers na Zitto ni weakest link

He is a smart boy, atabaki chadema lakini skeletons zote zitakua zimeisha by them time anakabidhiwa madaraka ya maana

Hahahaaa. Hapo tiss wanahusikaje. Tatizo kubwa tulilonalo watanzania ni kuamini kila kito wanachokisema tuwapendao hata kama hakina ukweli ndani yake
 
ongea hoja siyo kukimbia tu hapa tunataka hoja wala siyo habari za magamba,jenga hoja lisaidie taifa.

mkuu kisu kimegusa mfupa?tulia kwanza umekurupushwa nini?mi na wewe nani anatakiwa kujenga hoja?hoja ipo kwenye uzi unataka hoja ipi tena?dawa ya jino ni kung'oa cyo kuziba
 
Mh marando nimekuelewa, i treasure you and cdm alwayz. Thats good move. Nimependa hapo ulisema cdm inamtandao toka police mpaka ikulu.
God bless cdm.
 
Yes, No points to be Calmer brings Drama.

In the name of Allah, The Benefficient, The Merciful.

Amen and amen

viva chadema
 
Kama kuna kosa kubwa CCM wanafanya ni kupuuzia nguvu na uwezo wa Chadema na mwamko wa wananchi ulipofikia.wanafikiri ni rahisi kumanipulate watu kwa njia nyepesi kama zamani!huu ni mtego mbaya sana kwao.hawajaamka usingizini na kugundua Tanzania ya leo sio ile ya Nyerere na Mwinyi!hii inatokana na kufanya kazi kwa mazoea.inawagharimu na itawagharimu sana.no way to help them, hata siku Goliath alipokufa alifanya negligence iliyopitiliza.alipoona ametumiwa "katoto" aliamua kuvua kofia kabisa kwa dharau,na jiwe la Daudi likatua pale pale kwenye paji la uso!

yaani hata ukitazama post zao humu utagundua hilo.hawana habari kabisa na janga wanalojitengenezea and they are very confident they can continue like that bila shida!kweli MUNGU akiamua kumshusha mtu humuondolea akili kwanza ili anaposhushwa asigundue zaidi ya kujiona anazidi kupanda na kushangilia!
 
Hahahaaa. Hapo tiss wanahusikaje. Tatizo kubwa tulilonalo watanzania ni kuamini kila kito wanachokisema tuwapendao hata kama hakina ukweli ndani yake

mkuu, we nichukulie poa tu, nabwabwaja tu maana ndio starehe yangu... tena leo jumapili nashushia mibwabwajo na kabia kamoto

hapo kwenye red ndio tatizo lako pia wewe,
 
Nimelisoma tamko hadi nimesisimka! Kama hayo aliyo yasema Marando ni kweli na iliyo kweli tupu basi nachelea kusema kuwa taifa letu haliko kwenye mikono salama hata kidogo! Wenzetu mataifa mengine wanazitumia siasa kwa ajili ya ustawi wa nchi sisi tunaitumia siasa kufanya uharamia na ugaidi wa kupanga.

Naomba niweke hakiba ya maneno kwa kusema, ukweli huwa una tabia ya kukawia kufika lakini huwa hauachi kufika uliko kusudiwa kufika.

CC chama, Ritz, ZeMarcopolo zumbemkuu Elli.

Mtoi,

Ni¨lifikiri na wewe ni wale wanaoheshimu ustaarabu wa kutokuzungumzia mambo yaliyo mahakamani.

Nakumbuka jana ulikuwa pamoja na wale wanaounga mkono kesi kufutwa kwa sababu imeongelewa kwenye Bunge. najua Marando akijibiwa mtawalaumu walomjibu.

Lakini kesi iko mahakamani na Tundu Lissu alisema atashinda kesi hiyo kwa nusu saa. Sasa nashangaa Marando anasema ataongeza wanasheria wengine! Hao wanini tena wakati Tundu Lissu alisema within half an hour atakuwa kashamaliza kesi?
 
Pasco said:
Mkuu Kapiteni Tamari, Mjengwa namfahamu fika, nilikuwa nae Sweden!, uadilifu wa mtuhuonekana machoni!, kwa tunaomjuaMjengwa kiukweli, tunaujua uadilifu wakekwa maneno na matendo!. He is and alwaysbeen very honest and down to earth!.Hata kwa Rwakatare, sijatoa baraka zozote!,nilichosema kama mzoefu wa AV, ulemkanda ni "bonafide genuine", tenanikaweka kabisa sifa za mkanda huo hauwezikutumika kama ushahidi mahakamani!.Nikaweka na very good defence kuwaRwakatare akikiri kuwa it was not real butjust acting!, kesi inakwisha!, nikashauriChadema kama chama, kitamke wazi kwakumkana na kukana kutohusika kwake!.Pasco.
Na huyo ndio Pasco mzee wa bonafide genuine..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: MC
Mpango huu kama ikulu inajua basi kikwete yumo ndani pumbavu kabisa hawa.
 
Bora uulize dhumuni la hili swala kuwekwa public kabla ya kwenda mahakamani! Hii case kwanza ina interest za kisiasa kwa hiyo lazima wapambanaji wa twange kote kote!

Pili haya yamewekwa hadharani hili watu wajue tena wajue kinacho endelea najua wengi wasingeweza kujua haya lakini hii ni fursa yao!

Hapa ngoma ni inogile tuu!

Wadau, siamini kama tamko hili limetolewa na mwanasheria ambaye si tu amebobea katika fani yake bali pia ni mtu ambaye aliwahi kufanya kazi katika idara ya usalama wa taifa kutokana na ushahidi wa tamko lake hili. Cha kusikitisha zaidi, ameongea mambo ambayo anajua kuwa anayo fursa kupitia mahakama kueleza yote hayo ambako ninaamini ndiko kwenye msaada mkubwa kuliko kuongea na waandishi wa habari ambao wataishia kuandika tu. ninajua kwa sasa chadema wanatafuta huruma za wananchi kupitia matamko yao hayo kwa vile wamechungulia na kuona kuwa hawawezi kushinda kesi ya lwakatare.
 
Hahahaaa. Hapo tiss wanahusikaje. Tatizo kubwa tulilonalo watanzania ni kuamini kila kito wanachokisema tuwapendao hata kama hakina ukweli ndani yake


hujaelewa au unajifanya hujaelewa?? Mwenye tatizo hilo ni wewe na si watanzania.
 
Jamaa hajui chochote kabisa yani anashindwa kwa nini mtu anatolewa kwa sharti la dhamana, nilicheka sana kule kwenye uzi wa kushikwa kwa maggid!

anapata posho kwa anachoandika. Na wanaomlipa ni vihiyo zaidi yake.
 
Hii ni habari njema sana. Tanzania yenye neema inanukia. Chadema ni chama kikubwa sana na ccm walitambue hili. Hata hivyo tunashukuru kwa hii video ya Lwakatare kutengenezwa na kuvujishwa na hao hao kumbe wanajimaliza wenyewe. Bado kuna mmoja ambaye anaitwa mtu wa mahusiano-wassira. Huyu nae ana kesi za kujibu. Kauli zake ziko kwenye hansard za vichwa vyetu. Maisha bora kwa kila mtanzania yananukia. Viva Chadema!
 
Kama ni kweli basi waliokua wakipigiana simu watakua ni wajinga wa mwisho.
Kwani baada ya tukio la ulimboka na mawasiliano yakaanikwa hadharani,hata mtoto wa chekechea anajua kuwa huwezi tumia namba yako ambayo iko registered kufanya mawasiliano ya hatari.
 
waswas wangu ni kwamba, itakuja kuthibitika katika tarehe hizohizo, namba hizo na watu hao walikuqa wanawasiliana na ama Mbowe,Slaa , Zitto,Mnyika ama kiongozi yeyote muandamizi wa CDM. la nsingi sio nani aliwasiliana na nani kwa myda gani bali ni waliwasiliana kuhusu nini.... walio na akili fupi kama maisha ya funza wanaweza kudhani kuwa kesi imeisha kumbe ndio kwaaaaaanza kumekucha
 
mmhh! tunakoenda sio salama, kama CDM waweza kuyajua haya, kikwete anafanya nini Ikulu, mbona naona yupo uchi?

Acha matusi unatukana hadi rais sijui malezi yako yakoje! Hujui Kuwa CDMA ni wataalamu wa kupika majungu na kuchochea mambo ili nchi isitawalike.
 
Nimesoma mpaka mwili wangu umekufa ganzi. Nahisi hili litakuwa gumu sababu hakuna namna yakukataa kuwa mkuu wa kaya hajahusika hapa. Najiandaa kwa maandamano yasiyoisha mpaka haki itendeke



naunga mkono hoja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom