Mtu akikaribia kufa lazima arushe rushe miguu. Chadema inarusha rusha miguu
Zimeshadakwa ila mahakamna inatakiwa izidai kwa taratibu za kimahakama
Software za video (editing) walizotumia zilitoka kwake. Fedha ya kuandaa hiyo video zilitoka usalama na Ikulu. Tunajua kuwa wale vijana wa Ada Estate na yule jamaa anayempelekea kigogo wa Jamii Forum, walilalamika sana kwa mmoja wa wamiliki wa JF.
Nitoeni haya mashaka niliyo nayo;
Je, mahakama haiwezi kukataa ombi la Chadema kutaka kutoa kibali cha makampuni ya simu kutoa taarifa za Namba hzo za simu?
Ikiwa mahakama itaridhia ombi la Chadema, je haya makampuni ya simu hayawezi kurubuniwa na kuchakachua hizo taarifa za namba za simu za hao wahusika 10?
Please naomba nijuzwe kuhusu hayo maswali yangu!
Mwigulu amewashika vibaya hawa magaidi ndio mana wanaweweseka,mtulie dawa iingie vizuri
Naona leo una angaika sana! Umeelewa kilicho andikwa!
Mkuu hilo la mahakamani sina cha kusema maana sheria na taratibu za kimahakama sizijui vizuri ila hili hili la makampuni ya simu nahisi hawa jamaa tayari wameshajipanga na wana evidence. Na kwa kuweka angalizo kuhusu sheria inayoyaongoza haya makampuni ina maana wakijaribu kufanya uchuro yanaweza ingia matatani (sheria ipo). Lakini pia naamini mitambo ya simu ukitaka kucheza nayo mtu akitaka fuatilia kama kuna changes zimefanyika lazima itajulikana.
Well said mkuu. Ningekuwa kwenye PC ningekugongea like.Mkuu ingekua vizuri ikaihurumia taifa lako Tz maana njama zote hizi za kuangamiza chadema zina lengo la kuendelea juihujumu taifa kupitia wizi wa rasimali za taifa na kuendelea kuwafanya watanzania maskini wa kutupwa huku watu wachache wakiendelea kutajirijika، jambo ambalo mwisho wake huenda ikazua vita kali kati ya walionacho na waliochoka na tukufika huko siyo chadema itakua imekufa bali taifa la Tanzania ndiyo itakua imeangamia.
watanzania tuhurumie taifa letu kwa kuikataa hiki chama kinachozidi kututia umaskini badala ya kuihurumia chadema, chadema na ccm kama vyama vinaweza kufa akini tz kama taifa is there to stay.
Kuna kitu tunaweza kujifunza hapa. Katika hivi vinchi vyetu vya kipuuzi ambavyo watawala wanahubiri hivi lakini wanatenda vile; wanahubiri demokrasia lakini wanatenda ufashisti; kuanzisha chama cha siasa unahitaji pia kuwekeza sana kwenye system bila hivyo sahau.
Nadhani kwa kipindi kirefu ambacho hawakujishughulisha sana "kukimbilia" Ikulu hawa Chadema waliamua kwanza kuwekeza kwenye system na ndiyo inayo payback hivi leo.
Siasa katika haya mataifa masikini inahitaji akili ya hali ya juu badala ya kutegemea hisani ya watawala unless mnataka kuwa wasindikizaji tu bila vision au mission yoyote. Sio utani Chadema wana vichwa! Duh!
"tuko makini kuliko wao, tuko makini kuliko CCM, tuko makini kuliko UWT, tuko makini kuliko hata serikali yao".
Mmmmhhh hapo Nchemba kazima ajambe
Mkuu hilo la mahakamani sina cha kusema maana sheria na taratibu za kimahakama sizijui vizuri ila hili hili la makampuni ya simu nahisi hawa jamaa tayari wameshajipanga na wana evidence. Na kwa kuweka angalizo kuhusu sheria inayoyaongoza haya makampuni ina maana wakijaribu kufanya uchuro yanaweza ingia matatani (sheria ipo). Lakini pia naamini mitambo ya simu ukitaka kucheza nayo mtu akitaka fuatilia kama kuna changes zimefanyika lazima itajulikana.