Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Hiki mbona kinaonekana kama kichekesho cha mwaka!

Yaani wakili ana ushahidi tena mzito halafu anaitisha press badala ya kuupeleka mahakamani! Ajabu.

Swali jepesi na kitendawili kizito kwa CHADEMA, je Lwakatare yale maneno katika ule mkanda aliyasema?

Kama Lwaka akikubali zile njama, hizo namba za simu ni useless kwa vile mtuhumiwa amepatikana na hatia ya kula njama za kuteka.

Labda CHADEMA ifungue kesi nyingine ya kupinga maafisa usalama wa taifa kuwasiliana na watu wengine nje ya usalama!

Hizo kumbukumbu wataalamu wanaweza wakacheza nazo halafu mkafunguliwa kesi ya kughushi taarifa za uongo.

Ndio maana umeambiwa wako makini ten times better!
Ni suala la muda....hayo uliyouliza walishajipanga kukabiliana nayo...
Ushahidi hawajautoa...ushahidi ni maneno yaliyomo kwenye mawasiliano.
 
chdm wanawaita ccm magaidi na ccm wanaita cdm magaidi,nana zaidi?
 
Cdm sasa imeonyesha dhairi ili suala la lwakatare linawachanganya kichwa
.siku ya mwanzo tumemsika DR Slaa akiweweseka sana kuhusu swala hili leo tunamsikia Mabere Marando tena anafuata huko huko inaonyesha dhairi swala hili lina ukweli ndani yake, maana amejaribu kuandika no za watu na majina ya watu akiwashutumu kushiriki suala hili wakati tukitambua kuwa majina na no za watu sio siri kila mtu anaweza kuwa nayo na kuwasiliana amefanya hivi ili wananchi waamini kuwa cdm wanaonewa kama yeye na wenzake ni wanasheria wazuri kwanini wanakimbilia kwa wana habari ili wawasafishe kwa uma
.Kwa video ni dhairi kwamba Lwakatare kausika hakuna editing yeyote kwani kila mtu sasa anaupeo mzuri wa kufikiri na kutafakari jambo; kwanini muweweseke kama mmesingiziwa
CHADEMA ACHENI KUWAFANYA WATANANIA KUWA NI WAJINGA KILA OVU MNALAFANYA MNATAKA WATANAZANIA WAJUE KUWA MMEONEWA KWA HILI HATUKO TAYARI KUAWAUNGA MKONO
 
KABOOOOOOOOM!MARANDO KALIPUKA!nilipata kusema humu kuwa watu wasifikiri Chadema ni dk Slaa tu.ukisikia watu wanasema "nguvu ya umma" ujue ni umma haswa!hadi magogoni kuna watumishi wa umma.tumewaonya sana watawala humu kuwa wasijaribu kuichafua Chadema kwa staili hizo itakula kwao,lakini sikio la kufa...narudia tena kusema hivi,...I AND I OLD I KNOW,I AND I OLD I SAY,I AND I RECONSIDER,I AND I SEE UPFULLY THAT LUMUMBA HOUSE IS FALLING DOWN WITH ZERO RESISTANCE AND THE CURSE IS FOLLOWING THEM DOWN TO THE WIRE!
 
mzee safari awe mpole tu mahakama zetu najua ziko makini ukweli utajulikana tu,pia kama safari anaimani na ushahidi wake apeleke mahakamani kesho.

Wewe gamba tulia Chadema iwashughulikie vizuri. Kama una ushauri wowote peleka lumumba kwakuwa Chadema imejitosheleza haihitaji chochote kutoka kwenu!

Hamuwezi kumuambia/kumshauri chochote Prof. Safari juu ya hii deal yenu ya kesi ya ugaidi.
 
Mabadiliko ni kama nature....hayakwepeki! So CCM hata mfanye umafia na ila zote lakini lazima oneday mung'oke madarakani.
 
Yaani katika vitu ninavyomuadmire kiasi kwamba l wish ningekuwa navyo kimoja wapo ni 'kukosa haya'; jamaa hana haya kabisa wala haoni ubaya, maana some of us tunashindwa ku-dare kusupport au kufanya ujinga kwa 'haya' tulizoumbwa nazo!

Njaa mama njaa. Mwenzako anachumia tumbo hapa. We unadhan anafanya hivi hivi?
 
Cdm sasa imeonyesha dhairi ili suala la lwakatare linawachanganya kichwa
.siku ya mwanzo tumemsika DR Slaa akiweweseka sana kuhusu swala hili leo tunamsikia Mabere Marando tena anafuata huko huko inaonyesha dhairi swala hili lina ukweli ndani yake, maana amejaribu kuandika no za watu na majina ya watu akiwashutumu kushiriki suala hili wakati tukitambua kuwa majina na no za watu sio siri kila mtu anaweza kuwa nayo na kuwasiliana amefanya hivi ili wananchi waamini kuwa cdm wanaonewa kama yeye na wenzake ni wanasheria wazuri kwanini wanakimbilia kwa wana habari ili wawasafishe kwa uma
.Kwa video ni dhairi kwamba Lwakatare kausika hakuna editing yeyote kwani kila mtu sasa anaupeo mzuri wa kufikiri na kutafakari jambo; kwanini muweweseke kama mmesingiziwa
CHADEMA ACHENI KUWAFANYA WATANANIA KUWA NI WAJINGA KILA OVU MNALAFANYA MNATAKA WATANAZANIA WAJUE KUWA MMEONEWA KWA HILI HATUKO TAYARI KUAWAUNGA MKONO

vichwa vingine bomu na zimejaa magamba,kuna namba za watu hapo? Hebu mpigie Ighondu kupitia namba yake ulotoa ktk srid hii ukimpata Najitoa jamiiforum..kwa nini mnatumika na magamba mpaka akili inakuwa tope?
 
Kama madai haya ni ya ukweli basi tunakoelekea sio kuzuri. Haya yawe ni chachu ya kuufikia ukombozi wa kweli, makamanda mapambano yaendelee hadi kieleweke.
 
Pasco
Nakuomba uache kuongea kishabiki na kwa kupotosha....mawasiliano ni siri pia ni illegal kuyaweka hadharani....kwa kutambua hilo CHADEMA wamekuwa makini kwa kuweka namba za wahusika tu jambo ambalo sio kosa....kwa sababu hata namba za Rais zipo mitandaoni na namba za watu hao zipo wazi tu.
Kilichomo (content) katika mawasiliano hayo hayajawekwa hadharani...labda kama kuna post nyingine ya tamko tofauti na hii....
Asante
Benaire.
 
Chezeya njaa weye Kaunga!!!! Kwa baadhi watajishebedua na hata kujishusha hadhi katika jamii ili tu waweze kuganga njaa na kupata kile wakitakacho "marashi ya pemba" ili nao wajione watu miongoni mwa WATU. Ahsante sana Kaunga.

Yaani katika vitu ninavyomuadmire kiasi kwamba l wish ningekuwa navyo kimoja wapo ni 'kukosa haya'; jamaa hana haya kabisa wala haoni ubaya, maana some of us tunashindwa ku-dare kusupport au kufanya ujinga kwa 'haya' tulizoumbwa nazo!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Artorius, kama una uwezo to read in between the lines, authenticity ya video hapa haijazungumziwa tena!. Wameisha jiridhisha it is "bonafide genuine!" kitachotafutwa sasa ni kumnasua tuu Rwakatare kwa kujenga hoja mchezo mzima ulikuwa ni mtego wa TISS, wakimaanisha Ludo, Msaki, Mchemba na vijana wao lao ni moja, Rwaka ndio oddman out!.
Pasco.
Inaonekana wewe ndiyo hujasoma between lines. Lakini kwa tuliyesoma between lines tumeona kabisa imeelezwa kwamba vifaa vya kazi vya michuzi ndiyo vilivyotumika kwenye editing ya ile video. So ni dhahiri kwamba utaalamu wa hali ya juu ulitumiwa na akina michuzi kubadilisha maneno ya Lwakatare na kuweka ya kwao. Katika hali ya kawaida Lwakatare asingekuwa mwehu apange hujuma kubwa kama zile mahali pa wazi vile.

Na zaidi ya yote, Mwigulu anasema anaushahidi wa maandishi na mwandiko. Huu ndiyo ushahidi hovyo kabisa. Mimi nilipokuwa sekondary nilikuwa naweza kuiga mwandiko wa kila mtu, nilikuwa naigiza miandiko ya mabinti na kuwaandikia barua wanaume wakware nikijifanya ni binti fulani ameandika. Na sikuwahi kukosea katika hilo. Ni suala la practice ya dk tano tu. Watu wanaiga sahihi na inatoka kama ilivyo, utakuwa mwandiko?

Ngoja tusubiri ushahidi utakaopelekwa mahakamani, naona serikali ya Kikwete imekamatwa pabaya.
 
Haya maelezo meeeeengi hayaondoi content ya video ya lwakatare
huna haya wala hujisikii vibaya kutetea maovu, ninyi ndio mnaweza kutoa kafara watoto wenu kwa ajili ya pesa, shame on you bungeni
 
Cdm sasa imeonyesha dhairi ili suala la lwakatare linawachanganya kichwa
.siku ya mwanzo tumemsika DR Slaa akiweweseka sana kuhusu swala hili leo tunamsikia Mabere Marando tena anafuata huko huko inaonyesha dhairi swala hili lina ukweli ndani yake, maana amejaribu kuandika no za watu na majina ya watu akiwashutumu kushiriki suala hili wakati tukitambua kuwa majina na no za watu sio siri kila mtu anaweza kuwa nayo na kuwasiliana amefanya hivi ili wananchi waamini kuwa cdm wanaonewa kama yeye na wenzake ni wanasheria wazuri kwanini wanakimbilia kwa wana habari ili wawasafishe kwa uma
.Kwa video ni dhairi kwamba Lwakatare kausika hakuna editing yeyote kwani kila mtu sasa anaupeo mzuri wa kufikiri na kutafakari jambo; kwanini muweweseke kama mmesingiziwa
CHADEMA ACHENI KUWAFANYA WATANANIA KUWA NI WAJINGA KILA OVU MNALAFANYA MNATAKA WATANAZANIA WAJUE KUWA MMEONEWA KWA HILI HATUKO TAYARI KUAWAUNGA MKONO
Kuna ID moja imeanzisha uzi kama comment yako! Una ID ngapi Mkuu naona unatumikishwa kama punda!
 
Mkuu Artorius, kama una uwezo to read in between the lines, authenticity ya video hapa haijazungumziwa tena!. Wameisha jiridhisha it is "bonafide genuine!" kitachotafutwa sasa ni kumnasua tuu Rwakatare kwa kujenga hoja mchezo mzima ulikuwa ni mtego wa TISS, wakimaanisha Ludo, Msaki, Mchemba na vijana wao lao ni moja, Rwaka ndio oddman out!.
Pasco.

Maana ya mkanda waliotengeneza usalama wa taifa hii ndio maana yake?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom