Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Manyerere jaktoni alituma post hapa jf akisisitiza ludo akamatwe kwa kuhusika na uteswaji wa kibanda, kesho yake ludo alikamatwa. Swali ni je alijuaje uhusika wa ludo ktk sakata hilo?
 
only if mahakama zetu zisingekuwa corrupt as they are, mchezo ulikuwa umeisha.
mahakama iliyobaki ni ya watu tu, big up makamanda kwa kulifikisha hili kwa mahakama ya umma.
 
[
icon1.png
Re: Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

quote_icon.png
By mbara
Hapa JF hii namba anayetumia simu Na. 255756xxxxx imekuwa hided lakini kwenye Chadema Blog: TAMKO LA CHADEMA KUHUSU NJAMA ZA KUKICHAFUA ZINAZOFANYWA NA GENGE LA VIONGOZI WAKUU WA CCM NA VYOMBO VYA DOLA, LIMETOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, APRILI 14, 2013 NA MJUMBE WA KAMATI KUU NA MWANASHERIA WA CHAMA, MH. MABERE NYAUCHO MARA , namba yenyewe ni hii hapa (anayetumia simu Na. 255756809535) kwa kutumia M-PESA inaonekana namba hii imesajiliwa kwa jina gani hii imeakaaje?
Mohamedi Mtoi na Edwin Mtei hii namba mmeifanyia kazi?]


Hakuna kumumunya maneno. Hii namba +255 756 809 535 ni ya Zitto Zuberi Kabwe. Mmoja wa washiriki wakuu wa mpango wa kukiua CHADEMA !

Kwani ni nani asiyejua hili ? mawasiliano yake na Bwana Msaky wa Mwananchi na pia Usalama wa taifa mbona ulishawekwa wazi siku nyingi ???
Kumbuka : Kikulacho kii nguoni mwako.
 
Washwa Washwa, usi washwe washwe!, ingekuwa mahakama inafanya kazi kwa kusoma jf, then ni kweli ningeitwa kama "amicus curiae" kufafanua kwa nini nilisema ile video ni "bonafide genuine!". It is "bonafide genuine!" hapo ndipo niliposimama!. Kila siku nasema humu, sasa naugeuza ni wimbo!, kuwa "bonafide genuine!" haimaanishi mkanda huo ndio ushahidi wa jinai husika!.Pasco.
Mkuu mimi nilikuelewa tangu mwanzo. Unachokisema ni kuwa ile video haijachakachuliwa kama wengine wanavyosema sura sio ya lwakatare na sauti imechomekewa kisayansi lakini tukio halikuwepo. Wewe unachokisema ni kuwa video ile ilirekodiwa kweli na Lwakatare alijua anarekodiwa ila 'mazingaombwe' yaliyopelekea Lwakatare arekodiwe and the motive behind ndio hutaki kujishughulisha nayo...
 
only if mahakama zetu zisingekuwa corrupt as they are, mchezo ulikuwa umeisha.
mahakama iliyobaki ni ya watu tu, big up makamanda kwa kulifikisha hili kwa mahakama ya umma.

Huku ni kutafuta guru a ya jamii mtashtukiwa tu, nendeni mahakamani wala silo mitandaoni Hugo Ndiko kuna haki msiwadanganye watu
 
Hapa JF hii namba anayetumia simu Na. 255756xxxxx imekuwa hided lakini kwenye Chadema Blog: TAMKO LA CHADEMA KUHUSU NJAMA ZA KUKICHAFUA ZINAZOFANYWA NA GENGE LA VIONGOZI WAKUU WA CCM NA VYOMBO VYA DOLA, LIMETOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, APRILI 14, 2013 NA MJUMBE WA KAMATI KUU NA MWANASHERIA WA CHAMA, MH. MABERE NYAUCHO MARA , namba yenyewe ni hii hapa (anayetumia simu Na. 255756809535) kwa kutumia M-PESA inaonekana namba hii imesajiliwa kwa JINA LA ZITTO ZUBERI hii imeakaaje?

Mkuu Mbara hiyo no# ya Zitto ambayo imenaswa soo hapa ndo ujue rangi halisi ya Zitto mwana wa Kabwe.
 
Last edited by a moderator:
Amani ya nchi hii itaendelea kuwepo tu pale ukweli wa matukio kama haya utakapokuwa wazi. Kwa uelewa nilionao hii habari ya Lwakatare, ukichanganya na matukio yaliyopita ya Ulimboka na Kibanda na jinsi yalivyokuwa handled,akili inanifanya niamini CDM hawahusiki kwa lolote. Mungu awabariki wale wenye nia njema na hii nchi.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ninachokiona kwa haya yanayotokea ni kwamba kwa sababu wanazozijua wao watawala wa nchi hii na chama chao na serikali yao wamewachoka wananchi wao.hawana mpango wa kutenda mambo kwa ajili ya taifa.walifika hapo walipo kwa ajili ya matumbo yao na watoto wao.sasa wananchi kupitia vyama vya upinzani na hasa Chadema wanatafuta njia ya kujikomboa kutoka mikononi mwa watawala feki na demokrasia feki!ukishagundua hali hii hautashangaa kuiona serikali hii feki ikielekeza nguvu zake zote kupambana na Chadema badala ya njaa,magonjwa na umaskini.na pia hautashangaa kuiona Chadema ikikimbilia kushitaki kila jambo kwa wananchi.hii ni vita kati ya mfumo unaotetea maslahi ya wachache dhidi ya mfumo unaotetea maslahi ya taifa zima.waacheni CCM na serikali yake kutumia mabilioni ya pesa kuiteketeza Chadema,wanatetea maslahi yao jamani mlitaka wafanyeje?kama unakerwa na wewe chagua upande wenye maslahi kwako uingie vitani na usishangae hata ukisikia wananchi wote wa tz wanaitwa magaidi!hizo ni mbinu za kivita na wewe chagua pigo effective la kumdhoofisha mpinzani wako.ushauri wangu kwa Chadema haya mambo ya akina Mwigu waendelee kupambana nayo kwa umakini mkubwa bila kuathiri jambo linalowapa legitimacy ya kuitwa watetezi wa wanyonge na nguvu ya umma,ambalo ni kuendesha harakati za kutetea maslahi ya taifa.na katika hili nawashauri Chadema wawe werevu kujua wapi na jinsi gani wajibu hoja za akina Mwigu.ningekuwa Mbowe nisingezungumzia ishu za ugaidi bungeni kabisaa.kazi hiyo ningempa dk slaa na Marando nje ya bunge!huu ulikuwa mtego na CCM watataka kuleta vita hizi za maneno ya majukwaa ya kampeni ndani ya bunge ili kuvuruga hoja zinazogusa maslahi ya taifa wakijua wazi huko ndiko Chadema waliko na nguvu kwa sababu wao CCM ni dhaifu sana upande huo!
 
[
icon1.png
Re: Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

quote_icon.png
By mbara
Hapa JF hii namba anayetumia simu Na. 255756xxxxx imekuwa hided lakini kwenye Chadema Blog: TAMKO LA CHADEMA KUHUSU NJAMA ZA KUKICHAFUA ZINAZOFANYWA NA GENGE LA VIONGOZI WAKUU WA CCM NA VYOMBO VYA DOLA, LIMETOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, APRILI 14, 2013 NA MJUMBE WA KAMATI KUU NA MWANASHERIA WA CHAMA, MH. MABERE NYAUCHO MARA , namba yenyewe ni hii hapa (anayetumia simu Na. 255756809535) kwa kutumia M-PESA inaonekana namba hii imesajiliwa kwa jina gani hii imeakaaje?
Mohamedi Mtoi na Edwin Mtei hii namba mmeifanyia kazi?]


Hakuna kumumunya maneno. Hii namba +255 756 809 535 ni ya Zitto Zuberi Kabwe. Mmoja wa washiriki wakuu wa mpango wa kukiua CHADEMA !

Kwani ni nani asiyejua hili ? mawasiliano yake na Bwana Msaky wa Mwananchi na pia Usalama wa taifa mbona ulishawekwa wazi siku nyingi ???
Kumbuka : Kikulacho kii nguoni mwako.

Mkuu mpaka kichwa kinauma aisee.
 
Pasco atakujibu....... 'bonafide genuine' ....
"BONAFIDE GENUINE", "BONafide genUINE",
"bonafide genuine" "bonafIDE GENUINE"
"BONAFIDE GENUINE", "BONafide genUINE",
"bonafide genuine" "bonafIDE GENUINE"
"BONAFIDE GENUINE", "BONafide genUINE",
"bonafide genuine" "bonafIDE GENUINE"
"BONAFIDE GENUINE", "BONafide genUINE",
"bonafide genuine" "bonafIDE GENUINE"

"BONAFIDE GENUINE","BONafide genUINE",
"bonafide genuine" "bonafIDE GENUINE"

Pasco.

 
  • Thanks
Reactions: MC
hizo kumbukumbu kwa vodacom sijui kamA watazipata...mbele ya hela tena......?..kwa hii nchi ya maslai ya ccm, sijui kama tutafika
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom