Watu ambao nitaomba mahakama itoe amri ya kuletwa taarifa zao simu
na meseji (sms) ni Naibu Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa nchini (TISS), Jack Zoka, anayetumia simu Na. 255756809535 hapo kwenye red mhusika ni Zitto Zuberi Kabwe!!!!!
Mohamedi Mtoi na Edwin Mtei hii namba mmeifanyia kazi?
[Re: Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013![]()
By mbara![]()
![]()
Hapa JF hii namba anayetumia simu Na. 255756xxxxx imekuwa hided lakini kwenye Chadema Blog: TAMKO LA CHADEMA KUHUSU NJAMA ZA KUKICHAFUA ZINAZOFANYWA NA GENGE LA VIONGOZI WAKUU WA CCM NA VYOMBO VYA DOLA, LIMETOLEWA JIJINI DAR ES SALAAM LEO, APRILI 14, 2013 NA MJUMBE WA KAMATI KUU NA MWANASHERIA WA CHAMA, MH. MABERE NYAUCHO MARA , namba yenyewe ni hii hapa (anayetumia simu Na. 255756809535) kwa kutumia M-PESA inaonekana namba hii imesajiliwa kwa jina gani hii imeakaaje?
Mohamedi Mtoi na Edwin Mtei hii namba mmeifanyia kazi?]
Hakuna kumumunya maneno. Hii namba +255 756 809 535 ni ya Zitto Zuberi Kabwe. Mmoja wa washiriki wakuu wa mpango wa kukiua CHADEMA !
Kwani ni nani asiyejua hili ? mawasiliano yake na Bwana Msaky wa Mwananchi na pia Usalama wa taifa mbona ulishawekwa wazi siku nyingi ???
Kumbuka : Kikulacho kii nguoni mwako.
Jamani wakuu wa chadema mbona katika tamko namba inayosemwa ni ya JACK ZOKA namba 0756809535 imesajiliwa kwa jina la ZITO ZUBERI? Hebu tupeni ufafanuzi hapo
Akili yako haina akili,inawezekana baba ako yuko usalama wa taifa
Mkuu Artorius, kama una uwezo to read in between the lines, authenticity ya video hapa haijazungumziwa tena!. Wameisha jiridhisha it is "bonafide genuine!" kitachotafutwa sasa ni kumnasua tuu Rwakatare kwa kujenga hoja mchezo mzima ulikuwa ni mtego wa TISS, wakimaanisha Ludo, Msaki, Mchemba na vijana wao lao ni moja, Rwaka ndio oddman out!.
Pasco.
Hii ndoto CDM ninayoifahamu. Chama makini
Katika andiko looooote hilo la Marando, wewe umeamua kuandika vitu visivyosurface kwenye hilo andiko. Ni kwamba hujaona cha kuandika kinachohusu hilo andiko au hujaelewa au ndo nyie wapanga mauaji???? Unaeleweka kwa shida sana kwa kukosa hoja ya kuongea kuhusu hili sakata lililopo mbele yetu. Wewe wapi panakutatiza kulielewa uulize tukueleweshe??? Mbona unatoka nje ya mada????chadema kila wiki wana tamko last week ilikuwa iringa wik hii marando may be wiki ijayo mushumbuzi kimekuwa chama cha matamko,maandamano.ugaidi,sumu,ukabila,ukanda bila kusahau propaganda badala ya hoja mbadala kwa ccm