Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Kama kuna kosa kubwa mahakama ya nchi itafanya ni kutokiadhibu chadema kutokana na haya makosa wanayoendelea kuyafanya tena kwa makusudi ya kuendelea kuropoka katika mambo ambayo wana forum ya kuyazungumza. Ccm chonde msireact maana hawa jamaa wanafanya hayo kwa makusudi na malengo maalumu
 
Mkuu si kwamba wanachukua kila walio wasiliana kipindi hicho bali kincho angaliwa dhumuni na contents za mawasiliano! Contes za mawasiliano haziwezi kuwekwa hapa hiyo itakuwa mahakamani!
waswas wangu ni kwamba, itakuja kuthibitika katika tarehe hizohizo, namba hizo na watu hao walikuqa wanawasiliana na ama Mbowe,Slaa , Zitto,Mnyika ama kiongozi yeyote muandamizi wa CDM. la nsingi sio nani aliwasiliana na nani kwa myda gani bali ni waliwasiliana kuhusu nini.... walio na akili fupi kama maisha ya funza wanaweza kudhani kuwa kesi imeisha kumbe ndio kwaaaaaanza kumekucha
 
Nimependa.nimeshtuka,nimefurahi na nimehuzunishwa pia na mbin hiz za ccm du! Lakin naomba wanasheria hapa JF watuambie kama kutoa doc.kama hizo ni halali ili Chadema wasije kuwa wame preentry mahakama,Mzee Marando you have made ma day!
 
Ndio maana hiiissue anayeitamka upande wa ccm ni nchemba pekee, unajua nashangaa issue ya ugaidi itamkwe hata na Nape, ina maana nao wamemshitukia, wanacheza salakasi huku wamevaa mataulo



ahaahaa kweli mkuu, hiyo ni sarakasi ndani ya taulo
 
Wadau, siamini kama tamko hili limetolewa na mwanasheria ambaye si tu amebobea katika fani yake bali pia ni mtu ambaye aliwahi kufanya kazi katika idara ya usalama wa taifa kutokana na ushahidi wa tamko lake hili. Cha kusikitisha zaidi, ameongea mambo ambayo anajua kuwa anayo fursa kupitia mahakama kueleza yote hayo ambako ninaamini ndiko kwenye msaada mkubwa kuliko kuongea na waandishi wa habari ambao wataishia kuandika tu. ninajua kwa sasa chadema wanatafuta huruma za wananchi kupitia matamko yao hayo kwa vile wamechungulia na kuona kuwa hawawezi kushinda kesi ya lwakatare.

Kachukue posho yako....... Gamba wewe
 
huyu nae itabidi aunganishwe kwenye kesi, kwa nini alishiriki kutuaminisha uongo kama hakutumwa kufanya hivyo?
Washwa Washwa, usi washwe washwe!, ingekuwa mahakama inafanya kazi kwa kusoma jf, then ni kweli ningeitwa kama "amicus curiae" kufafanua kwa nini nilisema ile video ni "bonafide genuine!". It is "bonafide genuine!" hapo ndipo niliposimama!. Kila siku nasema humu, sasa naugeuza ni wimbo!,
kuwa "bonafide genuine!" haimaanishi mkanda huo ndio ushahidi wa jinai husika!.
Pasco.
 
  • Thanks
Reactions: MC
mkuu, we nichukulie poa tu, nabwabwaja tu maana ndio starehe yangu... tena leo jumapili nashushia mibwabwajo na kabia kamoto

hapo kwenye red ndio tatizo lako pia wewe,

Du kumbe naargue na watu ambao pombe zimekolea kichwani. Ninaamini hata marando ameandaa tamko hili akiwa njwiii
 
hujaelewa au unajifanya hujaelewa?? Mwenye tatizo hilo ni wewe na si watanzania.

Watanzania lazima tuwe making na hawa wanasia make wako tayari kuanzisha lolote ili wao wanufaika haya mabo watanzania tuwe macho na hawa wanasiasa.
 
Nawashangaa magaidi kurukaruka Maana hizi mbwe mbwe kwenye Tamko haziondoi ukweli wa Yale yaliyopo kwenye video ya lwakatare. Marando angetuambia Yale anayoongea lwakatare Sio kweli Tamko lake lingekuwa na maana



Naona wewe ni Rizione, Mwigulu ama nchimbi kwa sababu unalazimisha kitu kishakuwa peupe mwanangu. Mchana kweupe mwanga mkali, mko kati kati ya soko mnawanga na mko kama mlivyozaliwa!!.

Labda kukurudishia fahamu. UMESOMA DUDE LILE LAKINI? UMEELEWA KLICHOMO? KWA FAIDA YAKO, WENZAKO CDN MMOJA KICHWA CHAKE NI ZAIDI YA HIYO SERIKALI YA MWIGULU NA RIZI ONE. WALICHUKUA SOFTWARE WAKACHAKACHULIA ZILE PICHA ALIZOKUWA AMERECORD LUDOVICK. AMBAZO ALIZIRECORD KAMA MTOTO WA NYUMBANI WAKIWA NA MAONGEZI TU NA MZEE WAKE.

SASA CHADEMA, HAWAJAISHIA HAPO TU. UJUE KWAMBA TAYARI WAMESHACHAMBUA KATIKA HIYO KAND YAPI NI MANENO HALISI YALIYOSEMWA WAKATI WA ORIGINAL MEETING, NA YAPI YAKATENGENEZWA KWA KINA MWIGULU STUDIO ILI KUTOA HIYO PICHA MNAYOING'ANG'ANIA HATA KAMA IMESHAPARANGANYIKA.

WAMEENDE MMBELE ZAIDI NA KUJUA KWAMBA HIZO SOFTWARE WALIZOTUMIA KUEIDITIA (KUCHAKACHULIA PICHA ALILYOCHUKUA LUDO) WALIZICHUKUA KWA ISSA MCHUZI. WEE MWANA VIPI? BADO MNALO JAMANI?

SASA WEWE SUBIRI GAME LITAKAVYONOGA SIKU YA UTETEZI!
 
Nahisi kwenye hili sakata na wewe unahusika wenzako wa magamba saa hizi wako kimya umebaki wewe tu.
Mkuu yawezekana ndo aliyeko zamu,
maana nawaona wana lumumba wengi tuu wanaufatilia uzi huu, akiwemo hugochavezi mleta muvi ya Lwakatare mtandaoni, hawakomenti isipokuwa mmoja tu aliyeko zamu
 
Washwa Washwa, usi washwe washwe!, ingekuwa mahakama inafanya kazi kwa kusoma jf, then ni kweli ningeitwa kama "amicus curiae" kufafanua kwa nini nilisema ile video ni "bonafide genuine!". It is "bonafide genuine!" hapo ndipo niliposimama!. Kila siku nasema humu, sasa naugeuza ni wimbo!,
kuwa "bonafide genuine!" haimaanishi mkanda huo ndio ushahidi wa jinai husika!.
Pasco.

Ni kutokana na ukweli kuwa ile video ni bonafide genuine ndiyo maana chadema wanaweweseka na wanatumia nguvu nyingi kumtetea lwaka. Hii ni kesi ya aina yake na itakuwa ni aibu kubwa kwa chadema wakishindwa maana wamechukua wanasheria wao wote. Ila naamini kwa sasa wanacheza na techinicalities ili kuhakikisha kuwa wanashinda kutokana na mwanya unaojitokeza
 
kama haya yote yalioanishwa ndio kama yalivyotokea, basi itakuwa ni zaidi ya siasa chafu na nchi kukosa kiongozi
 
jamaniiiiiii mbona mi naogopa?? ccm ni mashetani! period!! watokomeeee motoni mwa milele!
 
Na huyo ndio Pasco mzee wa bonafide genuine..

Yeah, ni mzee wa 'bonafide genuine' .......... labda kama ameshiriki kurecord hiyo movie, vinginevyo nisingemtegemea aongee hilo neno 'BonGen' katika post zake nyingi zinazohusu swala hili........ Watu wanafanya plastic surgery sembuse video...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom