Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Tamko la CHADEMA - Aprili 14, 2013

Status
Not open for further replies.
Main ishu ni hizo kumbukumbu za kwenye mitandao ya simu....nashauri cdm watumie ushushushu wao kuzipata mapema.

Wafanyakazi wa voda, tigo , airtel ambao ni wazalendo mtusaidie ili taifa lipone.

Yani ndugu yangu ukiona mpaka saizi haya yamefika hapa ujue wana kila kitu na haya waliyo weka hapa wameyapata huko kwenye mitambo ya simu bila shida wako full kwa kwel chadema ni noma sana yan sana
 
Njaa inamsumbua huyu!!! Wamemwagwa kwa wingi hapa jamvini na kufungua account kwa kutumia IDs chungu nzima ili waliteke jamvi kwa kuandika -----/pumba wao/zao kuhusu CHADEMA lakini juhudi zao za kuliteka jamvi zimegonga mwamba.

Kuna ID moja imeanzisha uzi kama comment yako! Una ID ngapi Mkuu naona unatumikishwa kama punda!
 
"Tutapambana usiku na mchana. Juna na mvua. Hadi tushinde hila hizi.Tunawaambia wanachama wetu na wale wanaotuunga mkono, Chadema ni chama kikubwa. Kina mtandao kila mahali, kuanzia Ikulu hadi polisi; na hivyo hakitakufa au kuzorota kwa mambo ya kupikwa."NIMEIPENDA SANA KAULI HII!!
 
mkuu umenichekesha kweli.....rukaruka ya kufa nadhani iko tofauti kidogo, mfano ni kama hii ya chadema...waambieni watulie wapeleke ushahidi mahakamani

Ukiandika porojo nami nakujibu porojo...ni mtanzania wa kawaida..
Okay,tusiharibu mjadala....hebu zungumzia uhalisia wa tamko walau kiduchu.
 
Chadema ipo kwenye system,wanavyosema usalama wa taifa umejigawa nadhani itakuwa kweli..na kila sehemu kuna chadema..na kama wakijaribu kuedit hizo taarifa za mitandao ya simu wajue walewale watu waliowapa chadema taarifa hizo za mwanzo wanazilinda na kuchunguza kisirisiri na ndo haohao watasaidia kujua nani kachakachua na nini kimechakachuliwa na kwa nini kichakachuliwe na sidhani kama haya makampuni ya cm ambayo yanaingiza faida sana management yao itawavulia hao wanaojaribu kuvunja taratibu na kurisk kampun kwa kesi isiyowahusu so kama kuna mtu unataka kutumiwa kuchakachua pima haya maelezo ya na tambua hasara kwako itakuwa ni kubwa sana kuliko hako ka laki tano watakachokuhonga...hivi CCM hapa mtatokea wapi?

lakini mabere pia ungekuwa na subira kwa kuwapa hili pigo lenye mshtuko mahakamani coz nao watakuwa wanajipanga kupangua baadhi ya hoja....but ol in ol kama mahakama itasimia misingi yake bila kuingiliwa uhuru wake hapa ccm hamna kitu tena. Na nyie ndo mtafunguliwa kesi ya ugaidi.
 
Njaa inamsumbua huyu!!! Wamemwagwa kwa wingi hapa jamvini na kufungua account kwa kutumia IDs chungu nzima ili waliteke jamvi kwa kuandika -----/pumba wao/zao kuhusu CHADEMA lakini juhudi zao za kuliteka jamvi zimegonga mwamba.
Wana kazi kweli kweli, naona na facebook wamejaa hivyo hivyo lakini wapi bwana. Kivumbi wanachokutana nacho huko ni cha kufa mtu. Naamini hivi sasa hata na wale vijana waliokubali kutumika na CCM ie PM7 watakuwa wanajuta, maana ukweli upo dhahiri kwamba CCM haina chake tena.
 
Daaaa hakika kumekucha lazima mbaya ajulikane! Chadema chama kikubwa!

Nikuhakikishie tu to ur surprise badala ya hayo mabomu kulipukia CDM yatalipukia yalikotengenezewa na kuwaangamiza waliyo yatega. CDM itapita bila kujua what happened watch and see...Says the mighty one of Israe!

Tayari mtu waliom-tagarte amechomoka na wanashangaa what happened!

Hii ni garika lazima mtakiri kwa ndimi zenu kuwa Mungu yu hai!



Hiyo inaitwa dunamis......Chezea Mungu wa Israel weye....!
 
Nawashangaa magaidi kurukaruka Maana hizi mbwe mbwe kwenye Tamko haziondoi ukweli wa Yale yaliyopo kwenye video ya lwakatare. Marando angetuambia Yale anayoongea lwakatare Sio kweli Tamko lake lingekuwa na maana

Ni wapi imesemwa chadema ni Lwakatare na Lwakatare ni chadema? Marando anaongelea juhudi chafu za kulifanya tukio la kiongozi mmoja kuwa la chama kizima. Kesi iliyoko mahakamani ni Jamhuri v. Lwakatare na sio Jamhuri v. Chadema ila harakati zinafanyika kufoji ushahidi kuonyesha tukio hilo ni la ugaidi wa chama kizima na sio wa mtu mmoja au wawili. Mwenye akili lazima awe ameshaelewa Marando anaongelea content ya mkanda au content ya fikra za wabambikiaji na ubambimbikiaji unakuwa mchafu zaidi unapotaka kubambikia hata chama ambacho sio sehemu ya mashitaka husika
 
Upuuzi tu! CHADEMA acheni kuweweseka, ukweli wote utajulikana mahakamani.

Kama mna uhakika hamna hatia kwanini mnaweweseka hivyo? Tulieni.

Tumechoshwa na matamko yenu ya kipuuzi.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cdm sasa imeonyesha dhairi ili suala la lwakatare linawachanganya kichwa
.siku ya mwanzo tumemsika DR Slaa akiweweseka sana kuhusu swala hili leo tunamsikia Mabere Marando tena anafuata huko huko inaonyesha dhairi swala hili lina ukweli ndani yake, maana amejaribu kuandika no za watu na majina ya watu akiwashutumu kushiriki suala hili wakati tukitambua kuwa majina na no za watu sio siri kila mtu anaweza kuwa nayo na kuwasiliana amefanya hivi ili wananchi waamini kuwa cdm wanaonewa kama yeye na wenzake ni wanasheria wazuri kwanini wanakimbilia kwa wana habari ili wawasafishe kwa uma
.Kwa video ni dhairi kwamba Lwakatare kausika hakuna editing yeyote kwani kila mtu sasa anaupeo mzuri wa kufikiri na kutafakari jambo; kwanini muweweseke kama mmesingiziwa
CHADEMA ACHENI KUWAFANYA WATANANIA KUWA NI WAJINGA KILA OVU MNALAFANYA MNATAKA WATANAZANIA WAJUE KUWA MMEONEWA KWA HILI HATUKO TAYARI KUAWAUNGA MKONO

Wewe unaetumiwa na ID lako fake acha wenye akili timamu wa changie yani unataka kuza post hii weeee tu kwa upuuzi wakooooooo..... kuwa bhana.
 
Kaunga wasio mjua pasco wanaweza kuangaika sana! Yani leo kanichekesha sana kwa sarakasi zake! Kule kwenye uzi wa kushikwa kwa maggid alinichekesha sana eti anasema alikwenda kuhojiwa tuu na ataachiwa tuu lakini ajui kwa nini alipewa sharti la kuwekewa dhamana!

Yaani katika vitu ninavyomuadmire kiasi kwamba l wish ningekuwa navyo kimoja wapo ni 'kukosa haya'; jamaa hana haya kabisa wala haoni ubaya, maana some of us tunashindwa ku-dare kusupport au kufanya ujinga kwa 'haya' tulizoumbwa nazo!
 
Last edited by a moderator:
Kwani hawa wauaji mashishiem menzako tayari yamesambaratika? wewe tubajua ni wale wachumia utumbo mpana na akili kiduchu. Mlikuja na ukabila mkafeli,mkaja na ukanda mkalegea,mkaja na udini mkafulia,mkaja na kadi ya Dr. mkasinyaa na ssasa mmekuja na ugaidi mtafulia
 
Wadau, siamini kama tamko hili limetolewa na mwanasheria ambaye si tu amebobea katika fani yake bali pia ni mtu ambaye aliwahi kufanya kazi katika idara ya usalama wa taifa kutokana na ushahidi wa tamko lake hili. Cha kusikitisha zaidi, ameongea mambo ambayo anajua kuwa anayo fursa kupitia mahakama kueleza yote hayo ambako ninaamini ndiko kwenye msaada mkubwa kuliko kuongea na waandishi wa habari ambao wataishia kuandika tu. ninajua kwa sasa chadema wanatafuta huruma za wananchi kupitia matamko yao hayo kwa vile wamechungulia na kuona kuwa hawawezi kushinda kesi ya lwakatare.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom