Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 4,210
- 5,676
Aliibuka tuu daada ya CCM kukosa mgombea safi.pagala likawaangukia.kwani JPM orijino aliandaliwa?
Aliibuka tuu daada ya CCM kukosa mgombea safi.pagala likawaangukia.kwani JPM orijino aliandaliwa?
kwahiyo Magufuli ndio alikuwa anawatupa! wanaotupwa sasa hivi itakuwa ni mzimu wake? nimeamini mpumbavu huwezi kumjua mpaka atoe neno
Heri James, Ally Hapi, Albert ChalamilaNani Sabaya?? Au Makonda? Maana ndio vijana pekee wenye huo 'uthubutu' wa Magufuli[emoji23]
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mbona hayuko mbali...?Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.
Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.
hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.
Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kabisa.SSH anatimiza Mwaka mmoja tangu ajipatie madaraka.
Anafanya vizuri sana kuliko mtangulizi wake.
Unadhani kwanini Samia amesema anatamani kuacha Taifa lenye watu wanaojielewa?Ni kweli alikuwa na mabaya ila mema yalizidi. Leo mitandao imefurika kum post Jiwe. Aisee jamaa alikuwa bonge la Rais mwenye IQ kubwa.
NdugaiMagufuli ni masihi alisema amekuja kuandaa njia yupo anaye kuja.
Usitutajie makanjanja haoNani Sabaya?? Au Makonda? Maana ndio vijana pekee wenye huo 'uthubutu' wa Magufuli😂
Kuna siku meza itapinduka tena watake wasitakeCCM imerudi kwa wenyewe. Hawawezi tena kufanya huo uzembe kumwachia mtu wa kaliba ya Magufuli atawale
Huwezi tenganisha Chama na Serikali Tanzania ...na siku utakapofikia level hiyo ya the so called democracy ndio siku taifa litakapo anguka.Yaani hilo jingalao halijui kutofautisha State machinery na party allies!
Sio leo wale kesho mzee, itachukua miaka 50 mbeleKuna siku meza itapinduka tena watake wasitake
Huu uelekeo wa sasa wa taifa upo pamoja na Mungu au ndio baadaye Mungu ataingilia kati tena?... itoshe kumshukuru Mungu wa Mbinguni kwa matendo yake makuu! Taifa lilishaelekezwa kibla kama sio Mungu kuingilia tulikuwa tunaelekea pabaya.
Nchi hii tatizo letu sugu halijawahi kuwa Magufuli bali ni ccm, tuanzie hapo kupima upendo wa Mungu kwa taifa hili.Tanzania hatutaki tena aje atokee kiongozi MFITINI, mbaguzi, mwizi na MWONGO kama Magufuli.
Mungu aliipenda sana Nchi yetu ndiyo maana akampeleka jehanam Magufuli siku chache tu baada ya kuiba kura za uchaguzi wa mwaka 2020.
Kamwe hatatokea HAYAWANI na FEDHULI mwingine kama Magufuli
Yale yote mabaya yaachwe !Hatutaki tena kuona watu wanatupwa baharini wakiwa wamefungwa kwenye mifuko ya sandarusi na kushindiliwa na mawe ili wasitokee juu ya maji/waasiibuke.