Taifa halina budi kumuandaa Magufuli Mpya

Taifa halina budi kumuandaa Magufuli Mpya

Magufuli ni masihi alisema amekuja kuandaa njia yupo anaye kuja.
Kwa Nini asiwe Mtume Mohamad aliyejenga himaya inayoutikisa ulimwengu wa dhulma mpaka Leo.
Kila jambo mnapenda kuliingiza kwenye Ukristo ba kuupaka matope kama Zumaridi japo hakuwa mkristo lakini anamtaja Yesu na sio Mtume Mohamad Kwa kuhofia kikatwa kichwa.

Hakuna Kiongozi Bora kwenye katiba mbovu.
Ni genge la wahuni TU wanaachiana nafasi za kuneemesha jamaa zao na marafik.
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.

Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Je, ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Pumbavu kabisa!!....
 
Back
Top Bottom