Taifa halina budi kumuandaa Magufuli Mpya

Taifa halina budi kumuandaa Magufuli Mpya

Hatutaki tena kuona watu wanatupwa baharini wakiwa wamefungwa kwenye mifuko ya sandarusi na kushindiliwa na mawe ili wasitokee juu ya maji/waasiibuke.
Ukiwa cheti fake unaishi ukiwa fake [emoji3447] brain.
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Jambazi haandaliwi, ujambazi ni laana na ye yote atakayezuka atakufa kifo kibaya kuliko dikteta Magufuli!
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Magufuli mpya ni Pole Pole, kwa sasa ndio tunamuandaa!
 
Hatutaki tena kuona watu wanatupwa baharini wakiwa wamefungwa kwenye mifuko ya sandarusi na kushindiliwa na mawe ili wasitokee juu ya maji/waasiibuke.
*Stupidity accusation without substantial evidence as compared to the current regime that is marred with all sort of treacherous,

vengeance and transgressions conduct shielding itself behind democratic approach which hitherto does not add up with authenticity.

Whether you like or not he shall be brought to eliminate all the hooligans and build up a harmonious state hurling all the gluttonous individuals amassing wealth amid silenced critics
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sabaya na Makonda wapo,
 
*Stupidity accusation without substantial evidence as compared to the current regime that is marred with all sort of treacherous, vengeance and transgressions conduct shielding itself behind democratic approach which hitherto does not add up with authenticity.

Whether you like or not he shall be brought to eliminate all the hooligans and build up a harmonious state hurling all the gluttonous individuals amassing wealth amid silenced critics
Akina Bashite ,Sabaya aliowatengeneza walikuwa watu wazuri?

Achilia hao waliokuwa wanafanyamishe zake za kuua kwa siri ?
 
Ukiwa cheti fake unaishi ukiwa fake [emoji3447] brain.

Cheti fake mbona hata Kikwete aliwahi kufanya ukaguzi Tena kwa vyuo vya waalimu.

Sema haikutangazwa, nakumbuka walipita vyuo vyote vya ualimu 2009 /2010 kukagua vyeti vya form four na six.

Wengi walidakwa wakafukuzwa.
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Labda John Heche
 
Baseless vp na kweli maiti zilikuwa zikiokotwa na kuzikwa bila uchunguzi wowote kufanywa au kwa sababu wewe hayakukufika hujali, kila ikifika tarehe hii tutamkubuka jamaa kwa ukatili wake dhidi ya binaadamu.
Hawa watu huwaelewi angekuwa ni mzee wake kaokotwa kwenye kiroba huko baharini asingekaa ataje jina lake kamwe
 
Back
Top Bottom