Taifa halina budi kumuandaa Magufuli Mpya

Taifa halina budi kumuandaa Magufuli Mpya

Hata Wajerumani kuna wakati walitaka Hitler mwingine arudi ujerumani.
Niliongea na mjerumani mmoja akaniambia Hitler alitaka kuiunganisha ulaya kwa kutumia nguvu lakini ikashindikana !

Baadaye akaja Helmut Kohl akaiunganisha ulaya bila kufyatua risasi moja !!

Utaona kumbe hata Hitler alikuwa na nia nzuri lakini mbinu yake haikuwa nzuri akapatikana huyo Helmut Kohl akaitimiza ile nia nzuri aliyokuwa nayo Hitler bila kutumia umwamba wowote ule !!

" panapo nia njia hupatikana "
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ili apoteze watu nakuwabambikia kesi?
 
Vijana wa Leo Hamna kitu njaa tamaa na urafi wa juu....
 
Ila watendaji wake wasiwe na MAPEMBE, waliharibu sana.

LAKINI HAPANA. MTU WA AINA YAKE HAPANA SABABU WATENDAJI BADO WAPO NA HATUYAONI HAYO MAPEMBE.
 
Huwezi tenganisha Chama na Serikali Tanzania ...na siku utakapofikia level hiyo ya the so called democracy ndio siku taifa litakapo anguka.
Kwa muktadha wa Tanzania Chama ndio kilizaa Serikali hivyo Serikali haina budi kukilinda Chama ...huu ni ukweli mchungu unaopaswa kuutambua na kuwaelimisha mabwanyenye.
Naikumbuka ile siku Aidan Eyakuze aliposoma eti maoni ya mdau Jingalao toka JF 2015...

Utakua na mengi sana nyuma ya pazia juu ya Magufuli's Administration.... pole sana ila jua tu yake yamepita na hayatarudi tena.

Again pole sana.
 
Huwezi tenganisha Chama na Serikali Tanzania ...na siku utakapofikia level hiyo ya the so called democracy ndio siku taifa litakapo anguka.
Kwa muktadha wa Tanzania Chama ndio kilizaa Serikali hivyo Serikali haina budi kukilinda Chama ...huu ni ukweli mchungu unaopaswa kuutambua na kuwaelimisha mabwanyenye.
Very very wrong and awful analogy!
So wewe na wenzako mnaiogopa demokrasia kwa kiwango hicho?

Listen up: state machinery inatakiwa iwe kwa maslahi ya nchi.

Ijitenge na chama.

Iwe na uwezo wa kuweka na kusimamia malengo ya nchi.
 
Hatutaki Magufuli mwingine akae tu hukohuko.
2339015_Screenshot_20200303-141241-picsay.jpeg
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ni kawaida Kwa binadamu asiyejitambua kutamani alikotoka hata kama kulikuwa na mateso.

Hata Waisrael walitamani kurudi Misri kwenye suluba Kwa sababu ya kukosa nyama.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.
Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Swali?Je ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hatutaki mtu wakutugawa tena watanzania kutokana na vyama, teka, tesa,uaa, wape kesi za uhujumu uchumi, ua upinzan!!!
 
Tukiadhimisha mwaka mmoja wa kumpoteza Jemedari mwenye uthubutu hususani uthubutu dhidi ya wakoloni mamboleo kama Taifa tunapaswa kumuandaa "Magufuli " wa Pili.

Inaeleweka wazi kuwa The legend JPM alisimama imara na kwa kujitolea uhai wake kwa watanzania ili tufanikiwe.

Kamwe walami hawawaezi kumpenda kiongozi mwenye uthubutu wa Hayati JPM.

Hivyo basi ni muda muafaka kuanza kumsaka kijana shupavu atakayekuja na Sera za Magufuli.

Je, ni vijana wangapi wenye haiba na hulka ya the late and the legend John Pombe Magufuli??

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Kwani jenerali Sabaya au kondakta mnawaona je si ndiyo akiwaita wazalendo kweri kweri kama yeye?
 
Back
Top Bottom